Kikwazo ambacho Marekani aliyomuekea Uchina kimemrudia mwenyewe

Kikwazo ambacho Marekani aliyomuekea Uchina kimemrudia mwenyewe

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Baada ya Marekani kuiwekewa vikwazo sekta ya utengenezaji wa chips ya China, China nayo imelipiza kisasi kwa kuwekea udhibiti wa mauzo ya nje(export) kwenye madini ya gallium na germanium, hizo ni metal mbili muhimu zinazohitajika katika utengenezaji wa chips.

China inachangia 98% ya uzalishaji wa gallium kimataifa na mwaka 2022 iliongoza duniani kwa uzalishaji wa madini ya hayo

Kinachofanya hali kuwa mbaya zaidi kwa Marekani ni kwamba mwaka 2021, Marekani iliagiza zaidi ya 50% ya gallium na germanium kutoka china.

Marekani kwa mwaka inazalisha kg 3000 tu madini hayo tena kwa kufanya recycling, wakati huo kwa upande wa china yenyewe inazalisha kg 430,000 kwa mwaka hivyo inamfanya Marekani kuwa tegemezi na mtumwa kwenye bidhaa hizo muhimu katika Dunia ya leo ya teknolojia .

Gallium thamani yake ni $527.80 kwa kg

IMG_20230705_175100.jpg
 
kwani congo wanazalisha mabati ?.
ugonvi wao ni china kuiba teknolojia sio mengine na unajua kwa nini china mpaka alipo kaishia robo kwenye kukopy technologia za chip.

Dunia nzima inategemea congo isingekuwa hivo hayo mengine ni uchambuzi wa michezo kuhusu mchezaji mnamchambua masaa 3
 
Kwahiyo uzalishaji wa hizo chip huko US kwa sasa umekwama baada China kumuwekea vikwazo?
 
Kwa hiyo uzalishaji wa hizo chip huko US kwa sasa umekwama baada China kumuwekea vikwazo?
It's a matter of a months Biden ataomba kukutana na Xi ,rejea Yale Russia wakati vita inaanza baada ya kuona vikwazo vina strike back wakaanza kupunguza....au unadhani watapata wapi refined gallium za kukidhi mahitaji yao ikiwa China , Russia na south Korea ndio wazalishaji wakubwa
 
It's a matter of a months Biden ataomba kukutana na Xi ,rejea Yale Russia wakati vita inaanza baada ya kuona vikwazo vina strike back wakaanza kupunguza....au unadhani watapata wapi refined gallium za kukidhi mahitaji yao ikiwa China , Russia na south Korea ndio wazalishaji wakubwa
Aisee, kweli kuna viumbe Mungu amewaumba tu
 
kwani congo wanazalisha mabati ?.
ugonvi wao ni china kuiba teknolojia sio mengine na unajua kwa nini china mpaka alipo kaishia robo kwenye kukopy technologia za chip.

Dunia nzima inategemea congo isingekuwa hivo hayo mengine ni uchambuzi wa michezo kuhusu mchezaji mnamchambua masaa 3
Tangu lini congo amekuwa mzalishaji wa gallium ,chip inayotengenezwa na Marekani,china, Russia wote wanatumia physics moja.

Hakunaga physics mbili au tatu kwenye kifaa kimoja there always one principle, sasa nitakushangaa ukiniambia china wameiga physics kwa mzungu
 
Nasema hivi, Mchina kamatia hapo hapo hadi Washington wooote waende kupiga ^matigo^ yao Beijing.

Kabla ya kuisha mwaka huu, Marekani mbona dola yake ataikimbia mwenyewe!

Bi Mkubwa akiendelea kwa mwendo huu wa kasi ya uchumi, TZS inaweza kuwa adopted rasmi kuwa international global currency baada ya dollar kutoswa na chini ya MATOFALI (BRIC'S).
 
Baada ya Marekani kuiwekewa vikwazo sekta ya utengenezaji wa chips ya China, China nayo imelipiza kisasi kwa kuwekea udhibiti wa mauzo ya nje(export) kwenye madini ya gallium na germanium, hizo ni metal mbili muhimu zinazohitajika katika utengenezaji wa chips.

China inachangia 98% ya uzalishaji wa gallium kimataifa na mwaka 2022 iliongoza duniani kwa uzalishaji wa madini ya hayo

Kinachofanya hali kuwa mbaya zaidi kwa Marekani ni kwamba mwaka 2021, Marekani iliagiza zaidi ya 50% ya gallium na germanium kutoka china.

Marekani kwa mwaka inazalisha kg 3000 tu madini hayo tena kwa kufanya recycling, wakati huo kwa upande wa china yenyewe inazalisha kg 430,000 kwa mwaka hivyo inamfanya Marekani kuwa tegemezi na mtumwa kwenye bidhaa hizo muhimu katika Dunia ya leo ya teknolojia .

Gallium thamani yake ni $527.80 kwa kg ni mara 9 ya bei ya gold.

View attachment 2679371
Ashikilie hapohapo hadi tiktoka na huawei zirudi sokoni USA na Ulaya😎
 
kwani congo wanazalisha mabati ?.
ugonvi wao ni china kuiba teknolojia sio mengine na unajua kwa nini china mpaka alipo kaishia robo kwenye kukopy technologia za chip.

Dunia nzima inategemea congo isingekuwa hivo hayo mengine ni uchambuzi wa michezo kuhusu mchezaji mnamchambua masaa 3
Elewa aina ya madini, Congo kuna Copper.

Pia china mzalishani mkuuuubwa ma LITHIUM madini ya kutengenezea BETRI
 
Baada ya Marekani kuiwekewa vikwazo sekta ya utengenezaji wa chips ya China, China nayo imelipiza kisasi kwa kuwekea udhibiti wa mauzo ya nje(export) kwenye madini ya gallium na germanium, hizo ni metal mbili muhimu zinazohitajika katika utengenezaji wa chips.

China inachangia 98% ya uzalishaji wa gallium kimataifa na mwaka 2022 iliongoza duniani kwa uzalishaji wa madini ya hayo

Kinachofanya hali kuwa mbaya zaidi kwa Marekani ni kwamba mwaka 2021, Marekani iliagiza zaidi ya 50% ya gallium na germanium kutoka china.

Marekani kwa mwaka inazalisha kg 3000 tu madini hayo tena kwa kufanya recycling, wakati huo kwa upande wa china yenyewe inazalisha kg 430,000 kwa mwaka hivyo inamfanya Marekani kuwa tegemezi na mtumwa kwenye bidhaa hizo muhimu katika Dunia ya leo ya teknolojia .

Gallium thamani yake ni $527.80 kwa kg ni mara 9 ya bei ya gold.

View attachment 2679371
1kg of gold si chini ya usd 60000
 
Japan, Russia na South Korea ndio wazalishaji wakubwa
Ndio maana wana kaurafiki
Ila S Africa pia wamo
Siasa inaendana na Uchumi na uzalishaji zaidi

Sisi tunaibiwa kwa sababu hatujielewi siku tukijielewewa na kuwa na nguvu kiuchumi tutaheshimika
 
Back
Top Bottom