Kikwazo ambacho Marekani aliyomuekea Uchina kimemrudia mwenyewe

Kikwazo ambacho Marekani aliyomuekea Uchina kimemrudia mwenyewe

Kwahiyo tukuamini wewe sasa,ila huyo Tresury secretary wa US ambaye sasa yuko China kujaribu kuweka mambo sawa,ni muongo!

Janet Yellen warns US decoupling from China would be ‘disastrous’​

Treasury secretary calls for ‘constructive and fair’ economic relationship as Washington moves to repair frayed ties
US Treasury secretary Janet Yellen has warned any effort to decouple from China would be “disastrous”, saying national security measures targeted at Beijing were not designed to “stifle” the Chinese economy.In a major speech on Thursday, Yellen called for a “constructive and fair” economic relationship between China and the US, as Washington seeks to repair badly fraying relations between the two economic powers
Hivi umeelewa kilichoandikwa??
 
Tangu lini congo amekuwa mzalishaji wa gallium ,chip inayotengenezwa na Marekani,china, Russia wote wanatumia physics moja.

Hakunaga physics mbili au tatu kwenye kifaa kimoja there always one principle, sasa nitakushangaa ukiniambia china wameiga physics kwa mzungu

“Physics” bro tafuta meaning na technology za kutengeneza chip
 
It's a matter of a months Biden ataomba kukutana na Xi ,rejea Yale Russia wakati vita inaanza baada ya kuona vikwazo vina strike back wakaanza kupunguza....au unadhani watapata wapi refined gallium za kukidhi mahitaji yao ikiwa China , Russia na south Korea ndio wazalishaji wakubwa
South Korea hawezi mvimbia USA.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Tusiwe na mindset ya everything is impossible hakuna kisichowezekana, vyombo vya habari vikubwa bbc, cnn, pamoja na intelligence za Marekani wameonya kwamba China imeanza kuwazidi technology mpya Marekani, katika karne ya 21Mchina ameonesha uwezo mkubwa kuliko marekani kitechnolojia ........
Stop saying SOMEONE IS NOT CAPABLE .. bora useme ni vigumu marekani kupitwa na china technology it could take years
Ila kwa technology ya chip. Mchina anahitaji miaka kama 10 hivi kumfikia USA na washirika wake kina TAIWANI, S. KOREA NA JAPAN
 
It's a matter of a months Biden ataomba kukutana na Xi ,rejea Yale Russia wakati vita inaanza baada ya kuona vikwazo vina strike back wakaanza kupunguza....au unadhani watapata wapi refined gallium za kukidhi mahitaji yao ikiwa China , Russia na south Korea ndio wazalishaji wakubwa
Wapuuzi sana hawa hawajifinzi kitu!!! Wanafikiri they own this World ie wanaweza kufanya lolote Duniani bila ya mataifa husika ku-revert to massive retribution ya yaku-teach a lesson the USA - labda waendelee ku- recycle hizo metals bila hivyo watakwama na kumuomba Xi yaishe.
 
It's a matter of a months Biden ataomba kukutana na Xi ,rejea Yale Russia wakati vita inaanza baada ya kuona vikwazo vina strike back wakaanza kupunguza....au unadhani watapata wapi refined gallium za kukidhi mahitaji yao ikiwa China , Russia na south Korea ndio wazalishaji wakubwa
Watachukua South Korea obviously
 
Kumuwekea Marekani kikwazo ni kama vile kukalia tawi la mti alafu unalikata mchina hana uwezo wa teknologia aliokuwa nayo Marekani huo ndio ukweli tuache kujidanganya
Kuamini hivyo kwa dunia ya sasa ni ushamba na ulimbukeni! Hakuna lisilowezekana chini ya dunia! Kama wewe huwezi wenzio wanaweza!
 
Hivi wewe unaelewa Marekani ni nini na ni nani??punguani utakuwa wewe inatumia kila kitu cha Marekani , dawa za ukimwi, simu na internet na magari, ndege hata viatu na nguo uliyovaa alafu unaleta ujuaji wa kijinga unaandika upumbavu umeshawahi fika Marekani wewe??Mchina hana kitu kuwaleteeni substandard products Tanzania ndio umeona ana uwezo anaiba ujuzi wa makampuni ya Marekani kila siku alafu unaleta ujinga kuwa Mchina atamzidi Marekani lini karne ipi??
ishiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23] wewe kweli ni mavi mavi sasa kwani hizo simu internet .....dawa za ukimwi ...magari ....ndege na blaah blaaah blahhh zingine kwani hao marekani wnanipa bure si ninafanya kazi napata pesa alafu nanunua hizo uchafu ulizosema
buda chini ya jua hakunaga vitu vya bure bure ukiona umepewa dawa za ukimwi au net za mbu za bure kenge wewe ujue chini ya karpet wamesha chukua vya kwako mara mbili ya msaada wa ukimwi au net jinga kabisa uliopewa hakunaga tajiri anaefanya vitu vya hasara mzee ..
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi wewe unaelewa Marekani ni nini na ni nani??punguani utakuwa wewe inatumia kila kitu cha Marekani , dawa za ukimwi, simu na internet na magari, ndege hata viatu na nguo uliyovaa alafu unaleta ujuaji wa kijinga unaandika upumbavu umeshawahi fika Marekani wewe??Mchina hana kitu kuwaleteeni substandard products Tanzania ndio umeona ana uwezo anaiba ujuzi wa makampuni ya Marekani kila siku alafu unaleta ujinga kuwa Mchina atamzidi Marekani lini karne ipi??
alafu unavyoinanga CHINA utafkir marekni hakuna product za mchina...[emoji41][emoji41]
Screenshot_20230707-080713.jpg
 
Hivi wewe unaelewa Marekani ni nini na ni nani??punguani utakuwa wewe inatumia kila kitu cha Marekani , dawa za ukimwi, simu na internet na magari, ndege hata viatu na nguo uliyovaa alafu unaleta ujuaji wa kijinga unaandika upumbavu umeshawahi fika Marekani wewe??Mchina hana kitu kuwaleteeni substandard products Tanzania ndio umeona ana uwezo anaiba ujuzi wa makampuni ya Marekani kila siku alafu unaleta ujinga kuwa Mchina atamzidi Marekani lini karne ipi??
Masikini!!!!
 
Tusiwe na mindset ya everything is impossible hakuna kisichowezekana, vyombo vya habari vikubwa bbc, cnn, pamoja na intelligence za Marekani wameonya kwamba China imeanza kuwazidi technology mpya Marekani, katika karne ya 21Mchina ameonesha uwezo mkubwa kuliko marekani kitechnolojia ........
Stop saying SOMEONE IS NOT CAPABLE .. bora useme ni vigumu marekani kupitwa na china technology it could take years
Mkuu it won't take many years as you think,mchina atampita mmarekani ndani ya muda mfupi sana. Kuna kitu labda mmarekani anazalisha ambacho mchina hazalishi as per now? American supremacy is fading away as China is blooming.
 
Back
Top Bottom