Pre GE2025 Kikwete: 2025 hakuna wa kuchukua fomu ya Urais ya kumpinga Samia Suluhu Hassan labda mambo yaharibike sana

Pre GE2025 Kikwete: 2025 hakuna wa kuchukua fomu ya Urais ya kumpinga Samia Suluhu Hassan labda mambo yaharibike sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Kauli ya Rais wa Awamu ya 4 Dk. Jakaya Mrisho Kikwete haikuwa ya kubahatisha, huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025.

Hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani, lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha Urais, akisema kwamba kama ni kutumikia nchi ametumikia vya kutosha, anahitaji apumzike.

Chawa wa CCM ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike, kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia. Pamoja na yote mama amepima upepo kwa sasa, waliomzunguka ni watu hatari, walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao. Yeye ameona astaafu kwa heshima, wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.

Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapewa kwa wakati na hili linasemwa na watu wa juu kabisa ndani ya serikali. Watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama, inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.

Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo, maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake si kwamba anashindwa kupambana nao, bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. Mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu, 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
 
Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.

Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.

Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.

Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Mbona Leo huyo Mzee anatajwa sana, Kunani??!
 
Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.

Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.

Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.

Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Bt alikiri Atagombea baada ya kutegwa na gazeti la Uhuru.
 
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.

Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.

Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
 
ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.
Huu ni uwongo wa machana kweupe ama ni maneeno ya kujitia faraja tu.

Kwa wafuatiliaji wa siasa ni rahisi Sana kubaini nia na hamu kubwa ya mama kutaka kupata muhula mwingine wa kuongoza.

Tazama jazba yake kwa Ndugai.
Tazama jazba yake kwa gazeti la Uhuru.
Tazama jazba yake kwa akina Lukuvi na Kabudi.

Ukiwa na jicho la uono wa siasa huwezi kushindwa kuiona nia ya mama hata ktk teuzi zake .
 
Huu ni uwongo wa machana kweupe ama ni maneeno ya kujitia faraja tu.

Kwa wafuatiliaji wa siasa ni rahisi Sana kubaini nia na hamu kubwa ya mama kutaka kupata muhula mwingine wa kuongoza.

Tazama jazba yake kwa Ndugai.
Tazama jazba yake kwa gazeti la Uhuru.
Tazama jazba yake kwa akina Lukuvi na Kabudi.

Ukiwa na jicho la uono wa siasa huwezi kushindwa kuiona nia ya mama hata ktk teuzi zake .
Jana ni tofauti na leo
 
Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.

Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.

Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.

Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Mnaweweseka Sgang
 
Back
Top Bottom