Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Kila neno hubeba ujumbe.Usitilie maanani Kila neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila neno hubeba ujumbe.Usitilie maanani Kila neno
Yako sawa. Ila wale anaowaamini wanamwangusha..Mambo yashaanza kuharibika.
He Saw it coming..Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.
Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
OkAnaweza kuwa na maana yeyote ile kwani kuna kufa pia
Sawa na aondoke na hili zimwi na DPwKauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.
Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
mambo yameshaharibika anataka mpaka yaharibike sana? Huyu mzee halitakii mema taifa letu.Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.
Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Hapo kwenye labda mambo yaharibike nazani ndo sasaKauli ya Rais wa Awamu ya 4 Dk. Jakaya Mrisho Kikwete haikuwa ya kubahatisha, huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025.
Hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani, lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha Urais, akisema kwamba kama ni kutumikia nchi ametumikia vya kutosha, anahitaji apumzike.
Chawa wa CCM ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike, kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia. Pamoja na yote mama amepima upepo kwa sasa, waliomzunguka ni watu hatari, walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao. Yeye ameona astaafu kwa heshima, wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapewa kwa wakati na hili linasemwa na watu wa juu kabisa ndani ya serikali. Watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama, inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo, maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake si kwamba anashindwa kupambana nao, bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. Mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu, 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
HUYU MAMA ASEPE AISEE
HATUMTAKI KABISAAA
Kwenye mkutano mkuu wa CCM, raisi Kikwete alisema hamuoni mgombea yeyote maarufu ndani ya CCM wa kumzidi Samia. Na akatanabisha kuwa Samia ndo mgombea wa uraisi CCM 2025, labda itokee mambo yaharibike hapa katikati.
Kwa upande wangu naona mambo yashaharibika tayari.
Huyu JK alimaanisha nini?
Karibu
Kauli ya Rais wa Awamu ya 4 Dk. Jakaya Mrisho Kikwete haikuwa ya kubahatisha, huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025.
Hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani, lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha Urais, akisema kwamba kama ni kutumikia nchi ametumikia vya kutosha, anahitaji apumzike.
Chawa wa CCM ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike, kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia. Pamoja na yote mama amepima upepo kwa sasa, waliomzunguka ni watu hatari, walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao. Yeye ameona astaafu kwa heshima, wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapewa kwa wakati na hili linasemwa na watu wa juu kabisa ndani ya serikali. Watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama, inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo, maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake si kwamba anashindwa kupambana nao, bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. Mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu, 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Alikwambia kuwa hagombei tena yeye mwenyewe binafsi,au umesikia maneno kwa watu,acha kutulisha matikiti pori hapa,Kwani ule mkutano alioufanya alikutana na wanawake wa Dar hapo kwenye ukumbi mmoja hapo city center umeishazisahau kauli alozozitoa kwa wanawake hao? Au umeishamsahau mhariri mmoja wa gazeti la chama tawala alijaribu kuupotosha umma kwa kuandikia kichwa Cha habari chenye kueleza kuwa ifikapo 2025 Samia hagombei tena,mhariri huyo aliishia kutumbuliwa,kwa taarifa Yako usimchukulie Samia kama ni mama tu aliyekikwaa hicho kiti kibahati bahati kwa hiyo hana shida nacho,Samia ni kiongozi mwana siasa mwenye ambitions za kuingiza kama wanasiasa wengine walivyo,usimchukulie powa, uchaguzi wa 2025 atakuwepo sana na mtaendelea kuteseka,kama vile ule usemi usio rasmi unavyosema "CCM hata ikisimamisha jiwe ligombee litapita" uchukulie maanani usemi huo.Kauli ya Rais wa Awamu ya 4 Dk. Jakaya Mrisho Kikwete haikuwa ya kubahatisha, huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025.
Hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani, lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha Urais, akisema kwamba kama ni kutumikia nchi ametumikia vya kutosha, anahitaji apumzike.
Chawa wa CCM ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike, kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia. Pamoja na yote mama amepima upepo kwa sasa, waliomzunguka ni watu hatari, walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao. Yeye ameona astaafu kwa heshima, wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapewa kwa wakati na hili linasemwa na watu wa juu kabisa ndani ya serikali. Watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama, inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo, maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake si kwamba anashindwa kupambana nao, bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. Mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu, 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Astaafu kwa heshima na mkataba huu wa DP World?Kauli ya Rais wa Awamu ya 4 Dk. Jakaya Mrisho Kikwete haikuwa ya kubahatisha, huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025.
Hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani, lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha Urais, akisema kwamba kama ni kutumikia nchi ametumikia vya kutosha, anahitaji apumzike.
Chawa wa CCM ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike, kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia. Pamoja na yote mama amepima upepo kwa sasa, waliomzunguka ni watu hatari, walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao. Yeye ameona astaafu kwa heshima, wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapewa kwa wakati na hili linasemwa na watu wa juu kabisa ndani ya serikali. Watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama, inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo, maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake si kwamba anashindwa kupambana nao, bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. Mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu, 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.