Pre GE2025 Kikwete: 2025 hakuna wa kuchukua fomu ya Urais ya kumpinga Samia Suluhu Hassan labda mambo yaharibike sana

Pre GE2025 Kikwete: 2025 hakuna wa kuchukua fomu ya Urais ya kumpinga Samia Suluhu Hassan labda mambo yaharibike sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
nguvu na ushawishi wa Kikwete kwenye chama na serikali ipo active,chawa wa CCM wa njaa njaa hawa hii kauli ya"labda mambo yaharibike saana"angeundiwa zengwe na hata kuonywa au kuitwa kujieleza nini maana ya"labda mambo yaharibike saana".

chawa wakisifu na kuabudu huwa wanafunga kufuli,"mama atagombea tena",,,,au mama hana mpinzani',,lakini mzee Kikwete kaona uwenda mambo yakaharibika wakachagua mwingine.
 
Waseme ukweli tuu"

Hii ni awamu ya tano na raisi wa sita ama ni awamu ya sita na raisi ni awamu ya Tano?
 
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.

Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.

Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
Mpango gani wa JPM ambao ulikuwa na nafuu ya maisha kwa wananchi lakini serikali hii imeupa kisogo?
 
Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.

Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.

Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.

Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Umetumwa? Mwambie alie kutuma yupo Mungu wa wa Tanzania.
 
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.

Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.

Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
Sisi walala hoi tunajua na tunafurahi mvua imenyesha, sababu njaa na maisha magumu ni vitu viwili hatari Sana.Tunashukuru Mungu mvua imenyesha,angalau unga utanunulika
 
Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.

Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.

Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.

Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Acha uzushi wa kipuuzi Rais Samia Suluhu tuko nae mpaka 20230 hili halina mpinzani
 
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.

Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.

Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
Hakuna kitu kama hicho hizi ni propaganda tu Rais Samia Suluhu lazima atagombea kama katiba ya nchi inavyosema na atapita kwa kishindo acheni kuamini hizo propaganda
Maendeleo ni makubwa na yanaonekana hasa katika suala la uchumi siku izi pesa inaonekana mtaani sio kama zamani
 
Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru
Hivi watu huwa mnaongea mkiwa mnamaanisha au chuki zimewajaa kiasi akili hujitenga na macho na masikio? Ni mipango ipi unsyodai imeanzishwa na Magufuli Samia amekataa kwenda nayo kama unavyodai? Baada ya Nyerere, Samia ndiye Rais atakayeacha legacy kubwa sana kwa nchi yetu. Muheshimu Sana kiongozi anayeheshimu elimu na kuweka nguvu kwenye elimu. Tatizo la msingi la nchi hii ni elimu, jitihada za Samia kwenye elimu hazina mfanowe. Kujenga shule, madarasa mengi ya standard nzuri kabisa na vyuo vya Kati ndiyo muarobaini wa nchi hii.

Kwa upande mwingine, ulisikia Rais gani aliyeanzisha program ya block farms na kuwachukua vijana kuwapa mafunzo na kuwagawia mashamba katika maeneo yenye miundombinu ya kilimo?

Je unaona taarifa za habari siku hizi kuhusu miradi ya maji na afya inavyofunguliwa kila siku vijijini? Kuna kilio cha bei ya mbolea sasa hivi? Umeona wakulima wa korosho walilakamika dawa ya kupulizia mwaka huu? Samia anagusa kipa sekta kwa umakini mkubwa. Samia akifika 2030, ataiacha Tanzania kwenye hali nzuri Sana tena kila sekta.
 
Huu ni uwongo wa machana kweupe ama ni maneeno ya kujitia faraja tu.

Kwa wafuatiliaji wa siasa ni rahisi Sana kubaini nia na hamu kubwa ya mama kutaka kupata muhula mwingine wa kuongoza.

Tazama jazba yake kwa Ndugai.
Tazama jazba yake kwa gazeti la Uhuru.
Tazama jazba yake kwa akina Lukuvi na Kabudi.

Ukiwa na jicho la uono wa siasa huwezi kushindwa kuiona nia ya mama hata ktk teuzi zake .
Take a breath for a second, umelipwa sh ngapi?
 
Back
Top Bottom