Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
nguvu na ushawishi wa Kikwete kwenye chama na serikali ipo active,chawa wa CCM wa njaa njaa hawa hii kauli ya"labda mambo yaharibike saana"angeundiwa zengwe na hata kuonywa au kuitwa kujieleza nini maana ya"labda mambo yaharibike saana".
chawa wakisifu na kuabudu huwa wanafunga kufuli,"mama atagombea tena",,,,au mama hana mpinzani',,lakini mzee Kikwete kaona uwenda mambo yakaharibika wakachagua mwingine.
chawa wakisifu na kuabudu huwa wanafunga kufuli,"mama atagombea tena",,,,au mama hana mpinzani',,lakini mzee Kikwete kaona uwenda mambo yakaharibika wakachagua mwingine.