Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amewasilisha maoni yake kidiplomasia kuwa hapo hakuna mwendelezoKwenye mkutano mkuu wa CCM, raisi Kikwete alisema hamuoni mgombea yeyote maarufu ndani ya CCM wa kumzidi Samia. Na akatanabisha kuwa Samia ndo mgombea wa uraisi CCM 2025, labda itokee mambo yaharibike hapa katikati.
Kwa upande wangu naona mambo yashaharibika tayari.
Huyu JK alimaanisha nini?
Karibu
HaaaaaaHUYU MAMA ASEPE AISEE
HATUMTAKI KABISAAA
SawaUsitilie maanani Kila neno
Alimaanisha, watamvuruga sana hadi akose sifa.Kwenye mkutano mkuu wa CCM, raisi Kikwete alisema hamuoni mgombea yeyote maarufu ndani ya CCM wa kumzidi Samia. Na akatanabisha kuwa Samia ndo mgombea wa uraisi CCM 2025, labda itokee mambo yaharibike hapa katikati.
Kwa upande wangu naona mambo yashaharibika tayari.
Huyu JK alimaanisha nini?
Karibu
Kwenye mkutano mkuu wa CCM, raisi Kikwete alisema hamuoni mgombea yeyote maarufu ndani ya CCM wa kumzidi Samia. Na akatanabisha kuwa Samia ndo mgombea wa uraisi CCM 2025, labda itokee mambo yaharibike hapa katikati.
Kwa upande wangu naona mambo yashaharibika tayari.
Huyu JK alimaanisha nini?
Karibu
Kwenye mkutano mkuu wa CCM, raisi Kikwete alisema hamuoni mgombea yeyote maarufu ndani ya CCM wa kumzidi Samia. Na akatanabisha kuwa Samia ndo mgombea wa uraisi CCM 2025, labda itokee mambo yaharibike hapa katikati.
Kwa upande wangu naona mambo yashaharibika tayari.
Huyu JK alimaanisha nini?
Karibu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wamekuwa makini na kauli siku hizi.... yale mambo ya "ataka asitake" wanajua Mungu anaweza kufanya yake
HawaaaaaaaAlimaanisha, watamvuruga sana hadi akose sifa.
Cc dpw
JamaniYeye ndiye mwenye kuongoza nchi, samia ni kama ni kivuli tu. Sasa kwa sababu anajua kilichopo ndani ya ccm, ndiyo maana kasema hivyo.
Wanachi wataamua ni nani wanayemtaka, mwache tu huyo mzeeaongee