Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Akikataa tutamlazimisha Kwa nguvu!Kwamba atalazimishwa atake asitake-Alisema mbunge mstaafu NKASI 😃😃😃
DuhWhat if Mola akamtwaa before 2025?
Tuishi sasa, yajayo ni Majaliwa..
Kwenye siasa 2025 sio mbali...now ni 2023Mbona bado mbali sanaaaa?
2025
Mpango gani wa JPM ambao ulikuwa na nafuu ya maisha kwa wananchi lakini serikali hii imeupa kisogo?Kwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.
Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.
Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
"Labda mambo yaharibike sana"What if Mola akamtwaa before 2025?
Tuishi sasa, yajayo ni Majaliwa..
Umetumwa? Mwambie alie kutuma yupo Mungu wa wa Tanzania.Kauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.
Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Sisi walala hoi tunajua na tunafurahi mvua imenyesha, sababu njaa na maisha magumu ni vitu viwili hatari Sana.Tunashukuru Mungu mvua imenyesha,angalau unga utanunulikaKwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.
Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.
Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
Acha uzushi wa kipuuzi Rais Samia Suluhu tuko nae mpaka 20230 hili halina mpinzaniKauli ya Raisi wa awamu ya nne dk Jakaya mrisho kikwete hii kauli haikuwa ya kubahatisha huenda kwa jinsi chombo kinavyozidi kuzama mabadiliko makubwa yakafanyika ya kiuongozi mwaka 2025 hata hivyo kauli hiyo aliitoa hadharani lakini ukweli ni kwamba mama mwenyewe kashawaambia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa hatagombea kiti cha uraisi kwani anasema kwamba kama nikutumikia nchi ametumikia vya kutosha anahitaji apumzike.
Chawa wa ccm ambao wamezoea kulamba asali hawataki mama apumzike kutwa nzima ni kusema mama hadi 2030 kitu ambacho hataki kukisikia pamoja na yote Mama amepima upepo kwa sasa waliomzunguka ni watu hatari walafi wa madaraka na mafisadi na hapendi kuleta uhasama nao yeye ameona astaafu kwa heshima wengine waongoze chombo hiki ambacho kinayumbayumba wakati huu.
Kwa sasa uchumi umesinyaa na tunapoelekea huenda hata mishahara ya wafanyakazi baadhi ya taasisi hawatapata mishahara yao kwa wakati na hili linasema na watu wa juu kabisa ndani ya serikali, watu wanasema kuongoza nchi siyo lelemama inahitaji roho ngumu na jasiri kuamua baadhi ya mambo.
Shukrani sana kwa mama Samia kuliona hilo maana hao watu wanamtesa katika uongozi wake , si kwamba anashindwa kupambana nao bali ameona mbali kwa kuwa yeye ni hataki makuu na wale wanaojiita wenye nchi. mama ana vyombo vyote vya dola lakini ameona isiwe tabu 2025 astaafu aanze kuwa mtazamaji.
Hakuna kitu kama hicho hizi ni propaganda tu Rais Samia Suluhu lazima atagombea kama katiba ya nchi inavyosema na atapita kwa kishindo acheni kuamini hizo propagandaKwa jinsi mambo yanavyoendelea hata sisi watu wa hali ya chini sana tunaona kuna mapungufu makubwa ya kiuongozi nadhani ingawa huyo mama apumzike tu.
Natamani hayo ya kuharibika sana yaharibike ili iwe hivyo.
Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru.
Hivi watu huwa mnaongea mkiwa mnamaanisha au chuki zimewajaa kiasi akili hujitenga na macho na masikio? Ni mipango ipi unsyodai imeanzishwa na Magufuli Samia amekataa kwenda nayo kama unavyodai? Baada ya Nyerere, Samia ndiye Rais atakayeacha legacy kubwa sana kwa nchi yetu. Muheshimu Sana kiongozi anayeheshimu elimu na kuweka nguvu kwenye elimu. Tatizo la msingi la nchi hii ni elimu, jitihada za Samia kwenye elimu hazina mfanowe. Kujenga shule, madarasa mengi ya standard nzuri kabisa na vyuo vya Kati ndiyo muarobaini wa nchi hii.Hakukuwa na maandalizi na mipango wala marejea yoyote kwenye uongozi wa awamu hiii , na vile walivyo kataa kwenda na mipango ya hayati Magufuli ikiwa wao hawana mpango wowote, hapo ndipo walipo feli , na watakavyo achia madaraka wataiacha nchi kwenye hali ambayo ni neema ya Mungu tu ndio itakayo tunusuru
Pole sanaSamia hadi 2030.
Take a breath for a second, umelipwa sh ngapi?Huu ni uwongo wa machana kweupe ama ni maneeno ya kujitia faraja tu.
Kwa wafuatiliaji wa siasa ni rahisi Sana kubaini nia na hamu kubwa ya mama kutaka kupata muhula mwingine wa kuongoza.
Tazama jazba yake kwa Ndugai.
Tazama jazba yake kwa gazeti la Uhuru.
Tazama jazba yake kwa akina Lukuvi na Kabudi.
Ukiwa na jicho la uono wa siasa huwezi kushindwa kuiona nia ya mama hata ktk teuzi zake .