Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm itadumu madarakani
Ccm kwa ustawi wa taifa letu
Kumbe ukilia ccm wanakubali unachotaka.Kwani katiba inayoandaliwa ni ya wapinzani!!??, Mbona kila chama kina msimamo Wake, kwanini uone msimamo Wa CCM ndo m'baya!?��
Mkuu, hata mie nimeliona hilo. Kuna watu wanakurupuka sana humuAmetamka wapi, lini na saa ngapi? Habari haijakamilika
Mods, ondoa huu upuuzi. Unaharibu mchakato wa maridhiano
Cuf,chadema na vyama vingine navishauri visusie bunge hili kwa kuwa tangu napata akili ya kufikili sikuona chaguzi yeyote ilfanyika kura ya wazi.maadam ccm wana taka katiba yao na sio ya wananchi basi waachieni.