djcastlelite
Senior Member
- Mar 8, 2014
- 159
- 21
Yangu macho na masikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatutaki mambo ya siri sir hapa,tunataka uwazi,anaye taka kufanya siri akafanye chumbani na mkeo
hatutaki mambo ya siri sir hapa,tunataka uwazi,anaye taka kufanya siri akafanye chumbani na mkeo
Ndiyo maana tunataka maamuzi ya upatikanaji wa KATIBA MPYA uandaliwe na hili BUNGE maalumu la katiba, na siyo kundi lolote. Hivyo ni vema vyama ama makundi yoyote yasishinikize misimamo yao, ni vizuri wakubaliane kwa hoja za msingi katika mambo yote.
yeye si mbunge hivyo maoni hayo si msimamo wa wabunge binafsi. Halafu ifahamike kuwa wabunge wa bunge la muungano na wawakilishi wote ni wajumbe wa bunge la katiba wakiwa katika kundi moja na wa vyama vya upinzani kwa mujibu wa sheria. Wabunge tumieni nafasi yenu kisheria kutetea maoni ya wananchi na si misimamo ya vyama vyenu. Suala la kutumia kura ya siri au wazi liamuliwe kwa kupigiwa kura na wajumbe wote kama mlivyofanya katika kumchagua mwenyekiti wa muda. Ushauri wangu ni kwa wajumbe kutoka CCM kuwa jasiri bila kuyumbushwa na misimamo ya Chama kwani katiba ya maoni ya wananchi ikipitishwa basi itaruhusu mgombea binafsi hivyo hata kama utafukuzwa katika chama bado wananchi tunaweza kukurejesha Mjengoni.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwenyekiti wa ccm taifa amewataka wajumbe wote wa bunge maalumu la katiba wanaotoka chama cha mapimduzi wasipige kura ya siri na yoyete atakaye unga mkono kura ya wazi atakuwa ameenda kinyume na matakwa ya chama
wiki nyingine hiyo inakuja tena, issue itakuwa ni wazi ama siri mpaka wiki iishe.
Ili kupata muafaka lazima kuwe na upande ulegeze, vinginevyo hatuwezi kusonga mbele.
Jamani mahali popote kura kura huwa ni za siri!
yeye mwenyewe alichaguliwa na kura za wazi ?
hivi unawezaje kuridhiana na ccm ? Hata mungu atakushangaa !
Ametamka wapi, lini na saa ngapi? Habari haijakamilika