Kikwete afunguka yaliyojiri CCM mpaka Hayati Magufuli akapeperusha bendera ya CCM

Kikwete afunguka yaliyojiri CCM mpaka Hayati Magufuli akapeperusha bendera ya CCM

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mtangazaji: Watanzania wangetamani kusikia kutoka kwenye kinywa chako, nini ambacho kilitokea mwaka 2015? Matarajio ya wengi yalikuwa Benard Membe na Edward Lowassa, mmoja rafiki yako, mmoja ndugu yako ukiwaandaa wote kuwa marais lakini matokeo yakaja tofauti kabisa ambayo wengi hawakutarajia.

Kikwete: Kwanza niseme, Membe sio ndugu yangu(Kicheko), hatuna undugu kabisa, Membe Mmwera mie Mkwere, hakuna undugu mengine maneno ya siasa, nimeshangaa kweli.

Membe nimekuja kumfahamu baadae sana maishani.

Mchakato ule tumeufanya kuwa ni mchakato open, sisi 95 tulikuwa wagombea 17, 2005 tulikuwa wagombea 11, 2015 kulikuwa na wagombea 42.

Kwa utaratibu ambao CCM tumeweka hatuwezi kupeleka wote 42. Kazi ya kamati kuu ni kufanya shortlist ya watu watano, tukafanya shortlist ya watu watano, wanaume 3 na wanawake 2.

Tukawa na mjadala mkubwa sana kwanza kwenye kamati ya maadili, tunaangalia mambo mengi, afya zao, tabia, makandokando, vitu vingi hatimae tukaja na orodha ya watu watano.

Tulivyokwenda kwenye kamati kuu ikawa na mjadala mkubwa sana, kwanini huyu mmemuacha.

Wakati huo wanasema Magufuli hajawahi kuwa kiongozi yoyote kwenye chama hiki hata kuwa balozi atakuwa mwenyekiti wa chama.

Kikwete anasema walizingumza mpaka wakaona bora wapige kura na yakaja yale majina matatu yakaenda.

Mtangazaji: Wakasema umekuja nayo mfukoni!

Kikwete: Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti, mkutano ni lazima uuongoze. Unasema mimi kwa maoni yangu watano hawa. Tunafika mahali tunakubaliana, lile libaraza la wazee halina kazi nyingine zaidi ya kipindi cha transition.
 
Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti
Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.

Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.

Anyway... mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.

Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.

Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
 
Ustaz najua kwann unamtusi magu [emoji16]

Twende msikitini tukapunguze chuki
Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.

Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.

Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
 
Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.

Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.

Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Dah....nimecheka sana
 
Waliangalia afya na wakajua kabisa kuwa jamaa moyo wake unaitilafu katika mfumo wa umeme na wakapitisha hivyo hivyo cha ajabu yule waliokuwa wanamuita mgonjwa mpaka leo yupo hai
Yule jamaa alikuwa unfit kiafya ya akili na kimwili.
Hata magoti alikuwa hajui kupiga.

2999586_2537165_P6F2RAW0ULeENPMJA9tbbCN4.jpg

Hapa kwenye hii picha likuwa anajua fika kuwa keshapanga wizi wa kura halafu anajifanya kupiga magoti akiwa na chawa wake.

Wala haikua laghai bali ni uchizi tu.
 
Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.

Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.

Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Mzee wa mavyeti feki
 
Mtangazaji: Watanzania wangetamani kusikia kutoka kwenye kinywa chako, nini ambacho kilitokea mwaka 2015? Matarajio ya wengi yalikuwa Benard Membe na Edward Lowassa, mmoja rafiki yako, mmoja ndugu yako ukiwaandaa wote kuwa marais lakini matokeo yakaja tofauti kabisa ambayo wengi hawakutarajia.

Kikwete: Kwanza niseme, Membe sio ndugu yangu(Kicheko), hatuna undugu kabisa, Membe Mmwera mie Mkwere, hakuna undugu mengine maneno ya siasa, nimeshangaa kweli.

Membe nimekuja kumfahamu baadae sana maishani.

Mchakato ule tumeufanya kuwa ni mchakato open, sisi 95 tulikuwa wagombea 17, 2005 tulikuwa wagombea 11, 2015 kulikuwa na wagombea 42.

Kwa utaratibu ambao CCM tumeweka hatuwezi kupeleka wote 42. Kazi ya kamati kuu ni kufanya shortlist ya watu watano, tukafanya shortlist ya watu watano, wanaume 3 na wanawake 2.

Tukawa na mjadala mkubwa sana kwanza kwenye kamati ya maadili, tunaangalia mambo mengi, afya zao, tabia, makandokando, vitu vingi hatimae tukaja na orodha ya watu watano.

Tulivyokwenda kwenye kamati kuu ikawa na mjadala mkubwa sana, kwanini huyu mmemuacha.

Wakati huo wanasema Magufuli hajawahi kuwa kiongozi yoyote kwenye chama hiki hata kuwa balozi atakuwa mwenyekiti wa chama.

Kikwete anasema walizingumza mpaka wakaona bora wapige kura na yakaja yale majina matatu yakaenda.

Mtangazaji: Wakasema umekuja nayo mfukoni!

Kikwete: Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti, mkutano ni lazima uuongoze. Unasema mimi kwa maoni yangu watano hawa. Tunafika mahali tunakubaliana, lile libaraza la wazee halina kazi nyingine zaidi ya kipindi cha transition.
Hata kwenye hili JK alikuwa sahihi mno. Tulimkatalia na tumeona yaliyotupata. Always plans za JK huwa zina nia njema sana na nchi hii, isipokuwa huwa zinakuja kufeli tu baada ya kuwa tumemkwamisha sisis wananchi.

Tangu mwaka 2005 JK anaingia madarakani; alikuwa na nija njema sana na nchii hii. Nakumbuka statement yake moja wakati huo alipokuwa anaongelea ajira kwa wazawa aliwahi kuuliza swali akasema ".....JAMANI HATA MENEJA MDOGO"?
 
Back
Top Bottom