Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Huyu chizi ana ushujaa UPI?RIP Shujaa Maguful
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu chizi ana ushujaa UPI?RIP Shujaa Maguful
Alifanya kosa kubwa sana. Alileta jitu limetupotezea nguvu kazi limeuwa vijana wenye akili limeharibu democrasia likaunda wanausalama wa kisukuma.Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
labda hawakutaka mwenye afya njemaKama waliangalia afya,jiwe alipitaje?
True,Magufuli alikuwa ni Raisi wa kwanza Mkabila na Mkanda kuwahi kutokea.wanausalama wa kisukuma.
Afya mliwapima ukimwi?Mtangazaji: Watanzania wangetamani kusikia kutoka kwenye kinywa chako, nini ambacho kilitokea mwaka 2015? Matarajio ya wengi yalikuwa Benard Membe na Edward Lowassa, mmoja rafiki yako, mmoja ndugu yako ukiwaandaa wote kuwa marais lakini matokeo yakaja tofauti kabisa ambayo wengi hawakutarajia.
Kikwete: Kwanza niseme, Membe sio ndugu yangu(Kicheko), hatuna undugu kabisa, Membe Mmwera mie Mkwere, hakuna undugu mengine maneno ya siasa, nimeshangaa kweli.
Membe nimekuja kumfahamu baadae sana maishani.
Mchakato ule tumeufanya kuwa ni mchakato open, sisi 95 tulikuwa wagombea 17, 2005 tulikuwa wagombea 11, 2015 kulikuwa na wagombea 42.
Kwa utaratibu ambao CCM tumeweka hatuwezi kupeleka wote 42. Kazi ya kamati kuu ni kufanya shortlist ya watu watano, tukafanya shortlist ya watu watano, wanaume 3 na wanawake 2.
Tukawa na mjadala mkubwa sana kwanza kwenye kamati ya maadili, tunaangalia mambo mengi, afya zao, tabia, makandokando, vitu vingi hatimae tukaja na orodha ya watu watano.
Tulivyokwenda kwenye kamati kuu ikawa na mjadala mkubwa sana, kwanini huyu mmemuacha.
Wakati huo wanasema Magufuli hajawahi kuwa kiongozi yoyote kwenye chama hiki hata kuwa balozi atakuwa mwenyekiti wa chama.
Kikwete anasema walizingumza mpaka wakaona bora wapige kura na yakaja yale majina matatu yakaenda.
Mtangazaji: Wakasema umekuja nayo mfukoni!
Kikwete: Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti, mkutano ni lazima uuongoze. Unasema mimi kwa maoni yangu watano hawa. Tunafika mahali tunakubaliana, lile libaraza la wazee halina kazi nyingine zaidi ya kipindi cha transition.
[emoji16]Alifanya kosa kubwa sana. Alileta jitu limetupotezea nguvu kazi limeuwa vijana wenye akili limeharibu democrasia likaunda wanausalama wa kisukuma.
Alikuwa rais mseng.e kuwahi kutokea
Tena umeme wa Mabeberu halafu yeye kila siku anawaaminisha "Wamachinga"wake kuwa yuko kwenye vita na Mabeberu wakati Betrii yake inatumia Bluetooth[emoji1787]
IQ yake ilikuwa hafifu sana.
Kulikuwa hakuna vita bali ulaghai wake tu.Hv Ile vita iliishaje?
Kwa Tanzania ipi? Watanzania wenyewe ni kama maiti tu mkipelekwa huku mnaenda mkirudishwa kule mnaenda.Alifanya kosa kubwa sana. Alileta jitu limetupotezea nguvu kazi limeuwa vijana wenye akili limeharibu democrasia likaunda wanausalama wa kisukuma.
Alikuwa rais mseng.e kuwahi kutokea
Kwani kuna nchi watu hawajafa kwa covid?Kulikuwa hakuna vita bali ulaghai wake tu.
Alisababisha Watanzania wenzetu wengi kufa kwa covid19, mimi nawajua jamaa zangu na marafiki wazuri na open minded zaidi ya 20 kufa ndani ya miezi mitatu.
NdioKwani kuna nchi watu hawajafa kwa covid?
Tusilaumu tulipoangukia bali tulipojikwaa. Makosa yalianza pale Kikwete alipopewa urais badala ya Salim.Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Salim angeturudisha kwenye Ujamaa wa Kiafrika uliofeli.Tusilaumu tulipoangukia bali tulipojikwaa. Makosa yalianza pale Kikwete alipopewa urais badala ya Salim.
Mbona wewe hukufa kundu lako!?Alisababisha Watanzania wenzetu wengi kufa kwa covid19, mimi nawajua jamaa zangu na marafiki wazuri na open minded zaidi ya 20 kufa ndani ya miezi mitatu.
RIP Shujaa Maguful
Hahaha.......Yule ni shujaa wa kizamani
Nata Mimi nimemsameheMzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.