BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzi wako!Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Tukosowane kwa staha.Mbona wewe hukufa kundu
Afadhali angesema tuliwaambia washindane kupiga push up yule mfupi akawashinda
Nadhani Salim angekuwa rais bora na ambaye angefuata angekuwa bora. Tusingeingia kwenye hii visual circle ya sasa. Tulikubali kushusha standard za urais kwa kumpa Kikwete hivyo circle imeendelea na kujitoa hapo itakuwa kazi kubwa.Salim angeturudisha kwenye Ujamaa wa Kiafrika uliofeli.
Mimi ni mmoja wa watu niliompinga sana Salim.
Raisi aliyeruhusu Demokrasia istawi na Uchumi matokeo yake tukawa tunamtukana na kumdhalilisha.
Mimi sikuwahi hata siku moja kumsema vibaya huyu Mzee wangu.
Mungu ampe maisha marefu na siha njema
Mungu akusamehe, maana nikisema akulaani nitamfanya akubariki....Salim angeturudisha kwenye Ujamaa wa Kiafrika uliofeli.
Mimi ni mmoja wa watu niliompinga sana Salim.
Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu amesema tukosoane kwa staha.Mungu akusamehe, maana nikisema akulaani nitamfanya akubariki....
Ukitaka kujuwa ubovu wa CCM ulipofikia, basi soma kwa makini haya yanayoelezwa na huyu Kikwete humu.Mtangazaji: Watanzania wangetamani kusikia kutoka kwenye kinywa chako, nini ambacho kilitokea mwaka 2015? Matarajio ya wengi yalikuwa Benard Membe na Edward Lowassa, mmoja rafiki yako, mmoja ndugu yako ukiwaandaa wote kuwa marais lakini matokeo yakaja tofauti kabisa ambayo wengi hawakutarajia.
Kikwete: Kwanza niseme, Membe sio ndugu yangu(Kicheko), hatuna undugu kabisa, Membe Mmwera mie Mkwere, hakuna undugu mengine maneno ya siasa, nimeshangaa kweli.
Membe nimekuja kumfahamu baadae sana maishani.
Mchakato ule tumeufanya kuwa ni mchakato open, sisi 95 tulikuwa wagombea 17, 2005 tulikuwa wagombea 11, 2015 kulikuwa na wagombea 42.
Kwa utaratibu ambao CCM tumeweka hatuwezi kupeleka wote 42. Kazi ya kamati kuu ni kufanya shortlist ya watu watano, tukafanya shortlist ya watu watano, wanaume 3 na wanawake 2.
Tukawa na mjadala mkubwa sana kwanza kwenye kamati ya maadili, tunaangalia mambo mengi, afya zao, tabia, makandokando, vitu vingi hatimae tukaja na orodha ya watu watano.
Tulivyokwenda kwenye kamati kuu ikawa na mjadala mkubwa sana, kwanini huyu mmemuacha.
Wakati huo wanasema Magufuli hajawahi kuwa kiongozi yoyote kwenye chama hiki hata kuwa balozi atakuwa mwenyekiti wa chama.
Kikwete anasema walizingumza mpaka wakaona bora wapige kura na yakaja yale majina matatu yakaenda.
Mtangazaji: Wakasema umekuja nayo mfukoni!
Kikwete: Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti, mkutano ni lazima uuongoze. Unasema mimi kwa maoni yangu watano hawa. Tunafika mahali tunakubaliana, lile libaraza la wazee halina kazi nyingine zaidi ya kipindi cha transition.
Washabiki wa Dikteta wanazidi kurudi Vijijini Mji umewashinda.😂Wazee wa legacy mpoooooooo
Wewe una staha gani unaita watu chiziTukosowane kwa staha.
Kama faili liko Milembe wewe utaitaje.Wewe una staha gani unaita watu chizi matako yako meusi!
Acha matusi ya nguoni.Tuliza kundu jizi la msoga we
Naona bado unauguli jinsi Magufuli alivyokubutua akakuachia kovu!Yule jamaa alikuwa unfit kiafya ya akili na kimwili.
Hata magoti alikuwa hajui kupiga.
View attachment 2379626
Hapa kwenye hii picha likuwa anajua fika kuwa keshapanga wizi wa kura halafu anajifanya kupiga magoti akiwa na chawa wake.
Wala haikua laghai bali ni uchizi tu.
Jenga hoja acha matusi.Yule jamaa nahisi alikufira.
Unaweza kuwa hai ila huna uwezo wa kuongoza mzee baba. Magufuli amekufa kwa magonjwa ambayo wengi tunatembea nayo. Changamoto ya Lowassa ni kwamba ugonjwa wake unapelekea hata kumbukumbu kuondoka hivyo tungemuweka kando tu kwa namna yoyote ingali yuko hai.Waliangalia afya na wakajua kabisa kuwa jamaa moyo wake unaitilafu katika mfumo wa umeme na wakapitisha hivyo hivyo cha ajabu yule waliokuwa wanamuita mgonjwa mpaka leo yupo hai.