imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Swali zuri sanaYule jiwe nao mlipipitia file la afya yake??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sanaYule jiwe nao mlipipitia file la afya yake??
Snipper tu, tunamtoa Congo Drc halafu hehe👇Naamini tutampata Magufuli mwingine wa kuivusha Tanzania yetu
Kama chadema walivyotukosea kutuletea zezeta tundu lisu 2020 ambaye #dishlimetilt wazi wazi.Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Anyway... mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Wewe uliona wapi Zezeta anapigwa risasi we uliona wapi?Kama chadema walivyotukosea kutuletea zezeta tundu lisu 2020
Nadhani hili la afya kaliingiza kwenye sifa walizotazama kwa lengo la kumwondoa Mwandosya.Waliangalia afya na wakajua kabisa kuwa jamaa moyo wake unaitilafu katika mfumo wa umeme na wakapitisha hivyo hivyo cha ajabu yule waliokuwa wanamuita mgonjwa mpaka leo yupo hai.
Ilikuwa mahututi kabisa. Ccm ya sasa wanapaswa kumshukuru sana Hayati Magufuli kwa kuihuisha na kuifanya ionekane kama chama cha siasa tena.Sijui bahati iliyokuwaje CCM haikufa chini ya Kikwete.
Risasi anaweza kupigwa yeyote kutegemeana na nini kinasababisha apigwe. Kichaa akiingia nyumbani mwako akaanza kukaba koo watoto wako utamwacha eti kwa sababu ni chizi?Wewe uliona wapi Zezeta anapigwa risasi we uliona wapi?
Nimeipenda hii, kuna kitu hapa JK hakukisema, kitu kinachoitwa , "the inner core" JPM aliisha chaguliwa kabla ya 2014 na iliamuliwa lazima awe JPM kwasababu fulani ya ajabu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe MagufuliMtangazaji: Watanzania wangetamani kusikia kutoka kwenye kinywa chako, nini ambacho kilitokea mwaka 2015? Matarajio ya wengi yalikuwa Benard Membe na Edward Lowassa, mmoja rafiki yako, mmoja ndugu yako ukiwaandaa wote kuwa marais lakini matokeo yakaja tofauti kabisa ambayo wengi hawakutarajia.
Kikwete: Kwanza niseme, Membe sio ndugu yangu(Kicheko), hatuna undugu kabisa, Membe Mmwera mie Mkwere, hakuna undugu mengine maneno ya siasa, nimeshangaa kweli.
Membe nimekuja kumfahamu baadae sana maishani.
Mchakato ule tumeufanya kuwa ni mchakato open, sisi 95 tulikuwa wagombea 17, 2005 tulikuwa wagombea 11, 2015 kulikuwa na wagombea 42.
Kwa utaratibu ambao CCM tumeweka hatuwezi kupeleka wote 42. Kazi ya kamati kuu ni kufanya shortlist ya watu watano, tukafanya shortlist ya watu watano, wanaume 3 na wanawake 2.
Tukawa na mjadala mkubwa sana kwanza kwenye kamati ya maadili, tunaangalia mambo mengi, afya zao, tabia, makandokando, vitu vingi hatimae tukaja na orodha ya watu watano.
Tulivyokwenda kwenye kamati kuu ikawa na mjadala mkubwa sana, kwanini huyu mmemuacha.
Wakati huo wanasema Magufuli hajawahi kuwa kiongozi yoyote kwenye chama hiki hata kuwa balozi atakuwa mwenyekiti wa chama.
Kikwete anasema walizingumza mpaka wakaona bora wapige kura na yakaja yale majina matatu yakaenda.
Mtangazaji: Wakasema umekuja nayo mfukoni!
Kikwete: Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti, mkutano ni lazima uuongoze. Unasema mimi kwa maoni yangu watano hawa. Tunafika mahali tunakubaliana, lile libaraza la wazee halina kazi nyingine zaidi ya kipindi cha transition.
wanatuona hatujui kitu hao wazee.Nimeipenda hii, kuna kitu hapa JK hakukisema, kitu kinachoitwa , "the inner core" JPM aliisha chaguliwa kabla ya 2014 na iliamuliwa lazima awe JPM kwasababu fulani ya ajabu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
wanatuona hatujui kitu hao wazee.Nimeipenda hii, kuna kitu hapa JK hakukisema, kitu kinachoitwa , "the inner core" JPM aliisha chaguliwa kabla ya 2014 na iliamuliwa lazima awe JPM kwasababu fulani ya ajabu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
Kikwete anasema walizingumza mpaka wakaona bora wapige kura na yakaja yale majina matatu yakaenda.
Mtangazaji: Wakasema umekuja nayo mfukoni!
Kikwete: Ndio inavyokuwa, orodha ya watu watano niliidraw mimi, mimi ndio mwenyekiti, mkutano ni lazima uuongoze. Unasema mimi kwa maoni yangu watano hawa. Tunafika mahali tunakubaliana, lile libaraza la wazee halina kazi nyingine zaidi ya kipindi cha transition.
Ustaz najua kwann unamtusi magu [emoji16]
Twende msikitini tukapunguze chuki
Nani alikuthibitishia hakuwa fit?Jk nakukubali ila hapo uliteleza kugusu afya ,mgombea hakuwa fit kabisa kwa akili na moyo
Ukiijua historia ya Tanzania, hautashangaa nilichokisema. Ni kutokana na utawala wa Nyerere, ndipo hapo nchi ilipopoteza muelekeo kwa kuwa na kiongozi aliyekuwa idealist zaidi. 1. Ni miongoni wa marais waliopinga Africa kuwa Union na rais mmoja. Alipendekeza tuanze na regional setting kama EAC ambayo alikuja changia kuiua mwenyewe. 2. Alifuta vyama vya upinzani. 3 Alifuta Uchifu (Utawala/uongozi wa asili). 4. Akafuta cooperative unions zilzokuwa zinafanya vizuri sana. 5. Akaanzisha azimio la Arusha ambalo halikuwa realistic. mwenyewe likamshinda. 6. Akataifisha mali. Uchumi ukafa. 7. kaanzisha vijiji vya ujamaa, maduka ya ushirika. 8. Akaleta madaraka mikoani. 9. Akaanzisha vyama vya ushirika vyake bila kufuata misingi ya ushirika. Meneja anatoka songea kwenda kuendesha chama Bukoba. Ikamshinda pia. 10. Vita ya uganda, 11. Kusaidia ukombozi wa Africa kwa ukombozi wa Africa kwa gharama ya watanzania. Matokeo yake nci zilipopata uhuru wala hazija reciprocate. Bila viza kwa watanzaniaSouth africa ni juzi tu. 12. Alijua ubovu wa katiba but hakuirekebisha. 13. Aliitengeneza CCM na mfumo wa kuongoza nchi ambao ndo matokeo ya leo. nk nk nk nk. Soma na kuielewa historia tuje kuongeaTurudi nyuma. Nyerere alikuwa idealist na hakuwa na action? Are you kidding me? Unajua mpaka sasa hivi Nyerere ndiye rais bora kuliko marais wote ambao tumekuwa nao Tanzania? Unajua extent ambayo Kikwete ameharibu nchi yetu? Unaona jinsi viongozi wengi wabovu na vilaza walivyoweza kujipenyeza kwenye system na kuwaondoa tena itakuwa ni kazi kubwa? Mtanlaumu Samia, mtamlaumu Magufuli ila Tanzania imeanza kwenda kombo pale Kikwete alipopata urais wa kununua kwa fedha. Au pengine sahihi zaidi tumlaumu Mkapa kwa kutoweza kudhibiti waliotumia fedha kupata urais. Ilatakiwa afanye kama Kikwete alivyofanya kwa Lowassa.