Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK mtu poa sana, yupo simple, hajioni mungu mtu, wala kuwa na vinyongoMzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Membe kabila dogo,yule mwamba kete ya ukabila unapata urahisi wa Kura tabora,shinyanga,simiyu,geita,mwanza...wamwera hata laki Tano hawafikiMzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Mi laugh...🤣🤣🤣🤣Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧒Tena umeme wa Mabeberu halafu yeye kila siku anawaaminisha "Wamachinga"wake kuwa yuko kwenye vita na Mabeberu wakati Betrii yake inatumia Bluetooth🤣
IQ yake ilikuwa hafifu sana.
Haikuwa chaguo lake kila mtu anajua lile lilikuwa chaguo la wajumbe baada ya mtu wao Lowassa kuondolewa jina lake l!! Huo ndio ukweliExactly, kwa hili alikosea Sana sana
Raisi aliyeruhusu Demokrasia istawi na Uchumi matokeo yake tukawa tunamtukana na kumdhalilisha.JK mtu poa sana, yupo simple, hajioni mungu mtu, wala kuwa na vinyongo
Ataishi miaka mingi kama Mzee Mwinyi, japokuwa Warundi wa Tanzania hawampendi
Kuna mmoja hata kuchana nywwele alikua hajachana.....unamhoji Rais Mstaafu utapata wapi hard questions! Pale angeenda babra au babykabaeNinajaribu kupata kuisikiliza mwenyewe mahojiano yale na Clouds,ila nasikia wauliza maswali walikua sio mahiri sana,hakukua na hard question
Afadhali angesema tuliwaambia washindane kupiga push up yule mfupi akawashindaEti tuliangalia Afya zao!
Uzuri wake alikuwa pia anajua akizingua,anamzingua na yeye.Ndo hivyo bhana akajifanya mjanja kwelikweli,tukaa vikao vyetu tukasema hapana,hatuwezi kwenda naye,ni lazima tuachane naye.Lakini Sasa,mtu huyu kakamata kila pahala,kakamata kila mtu,tunaendaje? Ni kamuita Abdul,nikamuita huyo unayesema ndugu yangu.Tukaongea Sana,ndipo tukakumbuka nadharia ya dakika ya 89.Busara ya mbayuwayu.....za kwako ,changanya na za kuambiwa.Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Bora Membe kuliko Mtu aliyestahili kufungiwa Milembe na ufunguo kutupwa kwenye Volcano ya Oldonyo leNgai.
Anyway mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Anaendelea kula maisha ,Mzee Eddo wa Monduli.Waliangalia afya na wakajua kabisa kuwa jamaa moyo wake unaitilafu katika mfumo wa umeme na wakapitisha hivyo hivyo cha ajabu yule waliokuwa wanamuita mgonjwa mpaka leo yupo hai
Duu! We jamaa kwa unafiki?!RIP Shujaa Maguful
Basi rip weweDuu! We jamaa kwa unafiki?!
JK nilimkosoa sababu kuna mambo hakuwa aggressive vya kutoshaRaisi aliyeruhusu Demokrasia istawi na Uchumi matokeo yake tukawa tunamtukana na kumdhalilisha.
Mimi sikuwahi hata siku moja kumsema vibaya huyu Mzee wangu.
Mungu ampe maisha marefu na siha njema
Tena sisi Wapinzani ndio tuluokuwa tumejufunga "kibwebwe" na kumfedhehesha, yeye alikuwa anacheka tu.JK nilimkosoa sababu kuna mambo hakuwa aggressive vya kutosha
Lakini kabla hajaondoka madarakani nakumbuka mwaka 2014 niliwaambia watu waliokuwa wakimponda kuwa huyu mzee pamoja na kumsema anapenda demokrasia, wakanipuuza