Kikwete afunguka yaliyojiri CCM mpaka Hayati Magufuli akapeperusha bendera ya CCM

Mzee Kikwete alitukosea sana kwa kutuletea Chizi mwenye matatizo ya Moyo.
Anyway... mimi binafsi nimeshamsamehe Mzee wetu Jakaya Kikwete.
Kama chadema walivyotukosea kutuletea zezeta tundu lisu 2020 ambaye #dishlimetilt wazi wazi.
Mimi sijamsamehe mbowe, hawezi kutudharau mara mbili mfululizo. 2015 akatuletea fisadi lowassa, 2020 akatuletea chizi lisu.
 
Waliangalia afya na wakajua kabisa kuwa jamaa moyo wake unaitilafu katika mfumo wa umeme na wakapitisha hivyo hivyo cha ajabu yule waliokuwa wanamuita mgonjwa mpaka leo yupo hai.
Nadhani hili la afya kaliingiza kwenye sifa walizotazama kwa lengo la kumwondoa Mwandosya.

Sijui bahati iliyokuwaje CCM haikufa chini ya Kikwete.

Matakataka yote yanayoonekana ndani ya chama hicho yalishamiri sana wakati wa Kikwete. Nilitabiri kwamba huo ndio ungekuwa mwisho wa CCM kama tulivyoijua tokea huko nyuma, na ikawa kweli.
 
Sijui bahati iliyokuwaje CCM haikufa chini ya Kikwete.
Ilikuwa mahututi kabisa. Ccm ya sasa wanapaswa kumshukuru sana Hayati Magufuli kwa kuihuisha na kuifanya ionekane kama chama cha siasa tena.
 
Wewe uliona wapi Zezeta anapigwa risasi we uliona wapi?
Risasi anaweza kupigwa yeyote kutegemeana na nini kinasababisha apigwe. Kichaa akiingia nyumbani mwako akaanza kukaba koo watoto wako utamwacha eti kwa sababu ni chizi?
 
Nimeipenda hii, kuna kitu hapa JK hakukisema, kitu kinachoitwa , "the inner core" JPM aliisha chaguliwa kabla ya 2014 na iliamuliwa lazima awe JPM kwasababu fulani ya ajabu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
 
 
Ukiijua historia ya Tanzania, hautashangaa nilichokisema. Ni kutokana na utawala wa Nyerere, ndipo hapo nchi ilipopoteza muelekeo kwa kuwa na kiongozi aliyekuwa idealist zaidi. 1. Ni miongoni wa marais waliopinga Africa kuwa Union na rais mmoja. Alipendekeza tuanze na regional setting kama EAC ambayo alikuja changia kuiua mwenyewe. 2. Alifuta vyama vya upinzani. 3 Alifuta Uchifu (Utawala/uongozi wa asili). 4. Akafuta cooperative unions zilzokuwa zinafanya vizuri sana. 5. Akaanzisha azimio la Arusha ambalo halikuwa realistic. mwenyewe likamshinda. 6. Akataifisha mali. Uchumi ukafa. 7. kaanzisha vijiji vya ujamaa, maduka ya ushirika. 8. Akaleta madaraka mikoani. 9. Akaanzisha vyama vya ushirika vyake bila kufuata misingi ya ushirika. Meneja anatoka songea kwenda kuendesha chama Bukoba. Ikamshinda pia. 10. Vita ya uganda, 11. Kusaidia ukombozi wa Africa kwa ukombozi wa Africa kwa gharama ya watanzania. Matokeo yake nci zilipopata uhuru wala hazija reciprocate. Bila viza kwa watanzaniaSouth africa ni juzi tu. 12. Alijua ubovu wa katiba but hakuirekebisha. 13. Aliitengeneza CCM na mfumo wa kuongoza nchi ambao ndo matokeo ya leo. nk nk nk nk. Soma na kuielewa historia tuje kuongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…