Demotion. Balozi anaripoti kwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje
Huyo maza anaela ile mbaya
ama kweli wewe ni jisenge. haya nenda kafumuliwe, weekend hii.Lazima atapewa muislamu
Actually kamhamisha toka kuwa balozi wetu nchini Kenya kwenda Japan. Labda anataka akakae mbali na yule jamaa aliye waumbua wakati wa BMK (ex-Chief Justice wa Zanzibar)
Nchi kwa kuwanyenyua vimwana.....dah!!!! Safari zitaanza kuelekea japan sasa.
Huyo ndio basi tenaWakuu hivi Captain masawe aliekuwa mkuu wa mkoa wa kagera yupo wapiii au kastaafu naee maana toka kawekwa kipoloo simuoni
Rais Kikwete amemteua Batilda Salha Burian kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Japan kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini humo Bi. Salome Sijaona ambaye amestaafu. Vilevile Rais Kikwete amemteua Bw. John Michael Haule kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya kuchukua nafasi ya Batilda. Kabla ya uteuzi huu Bw. John Haule alikuwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
Lazima atapewa muislamu
Demotion. Balozi anaripoti kwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje
Wakuu hivi Captain masawe aliekuwa mkuu wa mkoa wa kagera yupo wapiii au kastaafu naee maana toka kawekwa kipoloo simuoni
alishasahaulika batilda! Alivumavuma kipind flan