upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Kama kawaida yake jk yeye hachagui viongozi kwa uwezo wao yeye anawachagua ilimradi kujuana na kupeana ulaji, balozi mzigo kachaguliwa
crontism
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaida yake jk yeye hachagui viongozi kwa uwezo wao yeye anawachagua ilimradi kujuana na kupeana ulaji, balozi mzigo kachaguliwa
Sahau utakuwa msindikizaji, benki kuu wao na idara nyeti zote, ukoo wa panyaYaani Kila TEUZI NYETI Anafanya RAIS(Bila kuthibitishwa na bunge),Sasa sisi tusio ndani ya NETWORK huku TANDALE itakuwaj
Huyu ameshindwa kuimarisha uhusiano wetu na Kenya Bado Rais anampandisha cheo kwa kumpa ubalozi wa kanda!!
Bongo kweli tumejaa vichekesho!! Balozi wa Japan alitakuwa kuwa aliyekomaa kwene mambo ya diplomasia na intelijensia. angalau angempeleka mzee Adadi Rajib au Mzee Mapiri au kabisa mzee saidi mwema!!
Kwanini upendekeze wazee tu, je hakuna vijana wenye uwezo hadi kila siku tuweke mabalozi wazee?
Fursa vipi?au wewe kwako fursa sio issue?
Nimekupa like ila please fafanua bhana
Rais Kikwete amemteua Batilda Salha Burian kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Japan kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini humo Bi. Salome Sijaona ambaye amestaafu. Vilevile Rais Kikwete amemteua Bw. John Michael Haule kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya kuchukua nafasi ya Batilda. Kabla ya uteuzi huu Bw. John Haule alikuwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
yani wote wateule wa rais halafu mmoja aripoti kwa mwenzake,kama ni kweli basi reporting system yetu ni shida!!!
Madawati ya balozi zote yapo Wizara ya mambo ya nje sio Ikulu. Mkurugenzi wa taasisi anateuliwa na rais lakini anaripoti kwa waziri/katibu mkuu wizara husika.
Anamfuta baado kwa aibu aliyoipata Arusha kushindwa ubunge na baado kushindwa Kesi aibuu ya ccm hiyo
Duh! John Haule naye kawa Balozi?! Ama kweli huu ni mwaka wa mwisho wa mheshimiwa mkuu wa kaya.
Ova
Kiukweli alishindwa ubunge, ila naona alipata post kubwa kuliko ubunge. ama kuhusu kesi naona umekosea, huyo dada yangu wala hakufungua kesi labda umesahau au umeamua kujisahaulisha. waliofungua kesi walikuwa wanachama wa ccm na sio yeye kama mgombea.
still kuna kitu kinahitaji kurekebishwa...kwanini katibu mkuu/waziri asimteue huyo mkurugenzi?!!
![]()
Dah! Ana mdomo mzuri huyu! Hadi machale ya dauni yamenicheza kudadeki walahi walasuli!
Ana dhirihisha zaidi Kuwa yeye ni zaidi ya msanii...ovaaaa
Lakini alishasema sana mamaterry. mwanaume anapomwangalia mwanamke ati kumbe focus yake iko kwenye kile kisichojaa hata mkononi. Mwanaume haangalii sura kwani ndo maana kila mwanamke ni mzuri. Urembo is a relative terminology. Mrembo kwangu sio lazima ni mrembo kwako au kwa yule. The converse is also true.Hon. Batilda is nt beautiful by the way