Kikwete amteua Batilda Salha Burian kuwa Balozi wa Tanzania nchini Japan


ili afe uchi msalabani kama yesu kristu
 
Je John Haule kutoka kuwa Katibu Mkuu hadi kuwa Balozi wa Kenya amekosa nini? Isije ikawa ni Membe amemgundua kuwa Haule yuko kambi ya Lowassa
 
Yuko wapi huyu mrembo siku hizi?
 
Pia wanadai yule mmama sister du msomi alyekuwa sijui TSI sijui uwekezaji Jiwe alimuomba akapigwa chini licha ya urais. Jiwe akamuanzishia fitina sijui analipwa mshahara mkubwa


🤣🤣🤣🤣kumbe vibuti had kwa Rais hhhhahhhhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…