Ina maana Batilda hataki tena ubunge Arusha?
Yote haya ni mateso ya Lema ndiyo maana Mama wa watu hana Makao maalum sasa.
Ushauri wa Bure kwa Mama huyu aunagame Dhambi zake zote, na kurudi Kundini., Mama Karibu uone ufalme wa Mbigu na kuwaacha Mafedhuli hao.
Kutoka katibu mkuu wa wizara mpaka balozi,nje ya nchi,dah!!
Yuko wapi huyu mrembo siku hizi?Rais Kikwete amemteua Batilda Salha Burian kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Japan kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini humo Bi. Salome Sijaona ambaye amestaafu. Vilevile Rais Kikwete amemteua Bw. John Michael Haule kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya kuchukua nafasi ya Batilda. Kabla ya uteuzi huu Bw. John Haule alikuwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
Mama alikuwa ana nyodo huyu,ila lema alimnyoosha kwenye ubungeYuko wapi huyu mrembo siku hizi?
Mama alikuwa ana nwodo huyu,ila lema alimnyoosha kwenye ubunge
Inaonekana Jiwe alimuomba akiwa Waziri na kumpiga chini. Wee huoni kaingia tu urais hata eiki kuisha kamfukuza ubalozi.
Pia wanadai yule mmama sister du msomi alyekuwa sijui TSI sijui uwekezaji Jiwe alimuomba akapigwa chini licha ya urais. Jiwe akamuanzishia fitina sijui analipwa mshahara mkubwaJiwe anapenda miswambwanda!
Pia wanadai yule mmama sister du msomi alyekuwa sijui TSI sijui uwekezaji Jiwe alimuomba akapigwa chini licha ya urais. Jiwe akamuanzishia fitina sijui analipwa mshahara mkubwa