Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Umezungumzia uteuzi wa Makonda na kuhusu teamwork kwenye CC.

Umezungumzia kucheka kwa Mzee Kikwete huku akificha kisasi cha hatari moyoni na kupuuzwa ushauri wake.

Na haya yote yametokana na hotuba ya Mzee Kikwete kuhusu Ushauri.


Sasa DP World imetoka wapi?

Hao ‘many’ wametoka wapi?
Matrix za kisiasa kama huzijui wewe kalime karafuu tu!
Halafu mwambie mama, teuzi za watu wa kwenu kwenye mambo yasiyo ya muungano zinatukera.
 
Mkuu hizo ndo siasa za Bongo.
Mbwa kumrarua mbwa.
Usiingie siasa kutegemea utasifiwa tu, kuna wakati hata wanaokupenda watakurarua, tena kwa nia njema.

Muhimu mwanasiasa kufanya siasa kwa misingi ya maendeleo ya watu, utu na kuheshimu wale anaowaongoza kwa siasa za ukweli.
Mama alianza vizuri sana, lakini suala la DP Weldi has left a bitter taste.
Bado yupo vizuri sana. Njia anayopita ni sahihi kabisa. Mfupa alioubakiza ni huu wa katiba mpya.
Pengine hao wanaolia na ushauri, ni kwa sababu ya kuona ana nia njema ya kuipata katiba mpya ambayo ni mwiba kwa CCM kama chama huko mbeleni.

Mama kanyaga twende, hao wametuchelewesha sana.
 
Mkuu hii inchi Ina hitaji akina makonda wengi Sana kusudi mambo ya songe 😂😂
Mkuu alikuja Sokoine waziri mkuu matata sana ikawa historia na akaja Magufuli tena akiwa na minguvu kama yote kaenda zake mapema sembuse makonda tena mwenezi, ujue katangulizwa mlima kitonga na baisikeli ya mbao!
 
I hate people who think are smarter than and own the majority.I regard them as fools because they take the position of God whilst they are mortal creatures.
Mkuu you seem to be Harbouring serious personal hate against HE JK for him giving an elderly advice to leadership of the day! Hate is not good for the hater bro!
 
Jifunze kuoga kila mara unapotoka kufanya ufedhuli. Itakusaidia kuacha kuhisi harufu ya kinyesi muda wote kiasi kinakukaa akilini na matokeo tunayasoma kwenye maandishi yako.


I’m truly sorry for your misery.
You're a blcksheep to your family ....your green brains its not for politics ni wakunyea mavi Tuu......unaongea na mwanaume sio demu kama wewe ...naweza kukugegeda tako hilo anytime.mavi ya nyoko
 
b6f0a1bd9c1a6fd21c602e27aca21c8c.png

Au ninasema uongo SHEIKH wangu? URAIS uliishia kwa KIKWETE! Hawa wengine wanajaribu jaribu tu 🙏🏾😂

DOCUMENT 442 (2).jpg

Sawa sawa kabisa na MANING NICE! URAIS uliishia awamu tano [2012/13] pale SOCIAL SCIENCES, wengine WAKASOME 😂

03f8631589ef9b1e46f4a1d22110e0c6.png

JAMII FORUMS huwa inanipa raha sana. Ngoja nichomekee na dokezo la biashara kwa msimu huu wa SIKUKUU YA KRIMASI NA MWAKA MPYA.
 
Bado yupo vizuri sana. Njia anayopita ni sahihi kabisa. Mfupa alioubakiza ni huu wa katiba mpya.
Pengine hao wanaolia na ushauri, ni kwa sababu ya kuona ana nia njema ya kuipata katiba mpya ambayo ni mwiba kwa CCM kama chama huko mbeleni.

Mama kanyaga twende, hao wametuchelewesha sana.
Mama namsapoti, ila aangalie kila wakati, over her shoulder.
JK.mwenyewe aliwahi sema, hata huko CCM, watu
You are the one who has been having tangential thoughts just after my first quote to you.


Chose a line and stick to it otherwise unlearn to throw words aimlessly and master your emotions.


Politics is not a game for the weak & hopeless minded.
Mkuu usidadie treni kwa mbele, Mchambawima haziko huko!
 
Makonda hakuwa sahihi kurudi kwenye uongozi
 
Leo serikali imefanyia kazi maoni ya mheshimiwa Jakaya Kikwete
 
BADO SUALA LA MKATABA WA BANDARI HALIJAISHA VIZURI :

 
Leo serikali imefanyia kazi maoni ya mheshimiwa Jakaya Kikwete
IMG_20231210_113900.jpg

URAIS uliishia kwa KIKWETE! Hawa wengine wanajaribu jaribu tu. Labda kwa miaka ya mbeleni, ndiyo TAASISI YA URAIS itarudi kama zamani. Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, sidhani.. 😂😂
 
Back
Top Bottom