Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Post yangu #139 uliyo quote mara ya kwanza kule nimesema itakuwa kachukuliwa out of context tu in my opinion alichosema kwenye huo mkutano ili watu watengeneze story za ugomvi ambao haupo.
JK hana sababu ya kulumbana na Samia hadharani watu wote muhimu ambao raisi anashauriana nao ndani ya serikali na kwenye chama ni watu waliokuwa kwenye system ya J.K.
Ukitaka system yako weka wapya, ndio maana Magufuli watu kama kina Lhuwavi aliwatoa nje ya nchi na nafasi za ubalozi, same thing, Samia kapangua Ikulu na kwenye chama watu wa Magufuli kaweka wake.
Be it Samia karudisha watu wa JK Ikulu na kwenye chama sasa sioni sababu ya JK kutaka kulumbana na raisi hadharani wakati logic ni kwamba anapata habari zote za hii serikali hata zile ambazo raisi ana confide to very few individual kuhusu mipango yake.
nafikiri labda unamchanganya na rostamu …