Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Post yangu #139 uliyo quote mara ya kwanza kule nimesema itakuwa kachukuliwa out of context tu in my opinion alichosema kwenye huo mkutano ili watu watengeneze story za ugomvi ambao haupo.

JK hana sababu ya kulumbana na Samia hadharani watu wote muhimu ambao raisi anashauriana nao ndani ya serikali na kwenye chama ni watu waliokuwa kwenye system ya J.K.

Ukitaka system yako weka wapya, ndio maana Magufuli watu kama kina Lhuwavi aliwatoa nje ya nchi na nafasi za ubalozi, same thing, Samia kapangua Ikulu na kwenye chama watu wa Magufuli kaweka wake.

Be it Samia karudisha watu wa JK Ikulu na kwenye chama sasa sioni sababu ya JK kutaka kulumbana na raisi hadharani wakati logic ni kwamba anapata habari zote za hii serikali hata zile ambazo raisi ana confide to very few individual kuhusu mipango yake.

nafikiri labda unamchanganya na rostamu …
 
Nimekuelewa
Kwa Sasa Makonda ndiyo sauti ya Mama

Nandiyo maana majuzi mama kupitia Makonda alimdhalilisha Mwanamke mwenza
Kwaile kauli
Swali Hilo kamuulize "mamako"

Jambo hili Raisi asipo likemea hadharani no doa la "milele' kwake

Inashangaza UWT wapo kimya
Umoja wa awake Chadema kimya
Hata wanawake na wanaume walio zaliwa na wanawake kimya

Hili neno la dharau Kwa mama lisiachwe lipite hivi hivi ni Tusi kubwa Kwa jamii iliyo staarabika
Hata Nyerere alimjibu hivyo hivyo mwandishi wa BBC, alipomuuliza swali asilolipenda. Hakuna aliyemuonya.
 
Nchi hii inahitaji ianze upya. Siasa za kizamani zimepitwa na wakati. JPM alilianzisha, na ndio mwanzo wa mapinduzi ya siasa za Tanzania. Kudhani kuwa tutafanya vitu vile vile vya zamani, ili tupate matokeo tofauti, hiyo sahau.

Kikwete anahitaji kuhodhi nchi hii, lakini ni yeye ni Rais mwenye point ndogo sana kwa marais wote wa TZ. Kikwetelism kamwe haiwezi kushamiri na wala hatuwezi kutoboa naye. Kauli thabiti ni ile iliyosemwa " kuna watu wanawashwa washwa. Watakunwa pale panapostahiki.

Kama ujio wa Makonda ndio unaomsumbua, jibu langu ni hili: Mama kanyaga na ongeza mwendo.. Mlete na Pole Pole aka "wahuni watoke pangoni" tumalize list. Mama uko sahihi , endelea.
 
Kwanini ninyi viumbe mnalazimisha kuziweka hizi Siasa za nchi hii kibinafsi sana?

Mko way too personal and emotional, kwanini hasa?

Huu uchonganishi unasaidia nini?

Kwanini Rais asiachwe akatimiza wajibu wake kuliko ili mradi hakuna sheria inayovunjwa?

Hii hofu yote ya nini??
Mkuu wewe mgeni wa siasa za nchi hii?
Uko naive!
 
Mkuu wewe mgeni wa siasa za nchi hii?
Uko naive!


I may be naive but ninyi mmezidi kuzifanya hizi Siasa way too personal. Kibaya zaidi mnaweka na emotions zenu humo humo.

Mko kukisiakisia tu na kulazimisha adui yenu awe adui wa wote.

Mpeni Rais Samia nafasi afanye kazi na watu anaoona wanamfaa kwani tatizo nini? Anavunja sheria gani?

Hamna tofauti na watoto wa kambo kutwa kuchonganisha watu.
 
Mama anatakiwa awe makini na mzee wa born town maana ushauri wake amefanya Mambo mengi hayaendi huku vijana wao wakifanya watakayo ukute vijana wamemwambia sema mzee
Oyaa wewe rudisha hii avatar picha yako ya awali.
images.jpeg
 
Eti ngano imepanda Bei Kwa Sababu ya Vita ya Ukraine Halafu akaishia hapo?

Hivi Nani aliua mashamba ya ngano kule Manyara ?
Hivi Tanzania inashindwa kuwatumia wataalamu Wa kilimo Wa ndani wakishirikiana na Majeshi yetu kama JKT na Magereza wakawekeza kwenye kilimo cha ngano na kuachana na mashoga Wa Ukrein na mabwana Zao?
Tanzania ni Kati ya nchi zenye idadi kubwa ya watu Duniani . Watu mil.61 kuishi Kwa kutegemea biashara za kuuza midoli vikorokoro Toka china Huku Chakula kikiwa kinategemewa Toka brazili,Ukraine na Misri ni huzuni kubwa sana .

Paulo Makonda yupo Sahihi.
JK atulie nyumbani kwake. Analifanya taifa hili liendelee kuwa Taifa Tegemezi.
Badala ya wataalamu kufanya Kazi wanashinda kwenye Maukumbi wakiwa Laptop na remote mkononi. Wanagawana pesa za walipa Kodi na mikopo .
Tunataka wasomi vijana wapewe Nafasi na mitaji . Vyama Vya ushirika viundwe upya na visimamiwe na vijana Wa WAKATI Huu. Hawa wazee ndio walioua mashamba yote ya serikali na Vyama Vya ushirika wakajigawia Kwa uroho na ubinafsi Halafu wakawakabidhi wahindi na Waarabu .
JK anatetea biashara zake . Hatumsikii akizungumzia masuala ya kilimo cha ndani, treni ya mwendo Kasi, umeme. Madini , ufugaji, Uvuvi kwenye Bahari kubwa na maziwa Mengi na mito ya kutosha.
Hatumsikii akizungumzia ni vipi bado tunategemea uchumi Wa Tozo na mikopo WAKATI yeye pamoja na Profesor Muhongo WAKATI wanafanya udalali Wa kuuza gesi yetu walituaminisha kuwa uchumi Wa nchi utapanda sana na patakua ña mfuko maalumu Wa kuweka Akiba Kwa ajili ya vizazi vijavyo .
[emoji848][emoji120]
 
Kwanini ninyi viumbe mnalazimisha kuziweka hizi Siasa za nchi hii kibinafsi sana?

Mko way too personal and emotional, kwanini hasa?

Huu uchonganishi unasaidia nini?

Kwanini Rais asiachwe akatimiza wajibu wake kuliko ili mradi hakuna sheria inayovunjwa?

Hii hofu yote ya nini??
Hili ni jukwaa la wasiokuwa na jukwaa !
Acha watiririke 😅🙏🙏
 
Kikwete anahitaji kuhodhi nchi hii, lakini ni yeye ni Rais mwenye point ndogo sana kwa marais wote wa TZ. Kikwetelism kamwe haiwezi kushamiri na wala hatuwezi kutoboa naye. Kauli thabiti ni ile iliyosemwa " kuna watu wanawashwa washwa. Watakunwa pale panapostahiki
Huwezi kujifanya deep state kwa madhambi haya mawili wakati wa uongozi wako.

1) Kufuta uchaguzi halali wa Zanzibar, na kudhani eti poa tu. Kavunja katiba.
2) Katumia pesa nyingi za nchi kuanza mchakato wa katiba, baadae anatupilia mbali mchakato mzima. Yaani unatuletea uswahili swahili tu. Eti fuata ushauri!
 
Huwezi kujifanya deep state kwa madhambi haya mawili wakati wa uongozi wako.

1) Kufuta uchaguzi halali wa Zanzibar, na kudhani eti poa tu. Kavunja katiba.
2) Katumia pesa nyingi za nchi kuanza mchakato wa katiba, baadae anatupilia mbali mchakato mzima. Yaani unatuletea uswahili swahili tu. Eti fuata ushauri!
Na dhambi ya kudhalilisha wazee !!
 
I may be naive but ninyi mmezidi kuzifanya hizi Siasa way too personal. Kibaya zaidi mnaweka na emotions zenu humo humo.

Mko kukisiakisia tu na kulazimisha adui yenu awe adui wa wote.

Mpeni Rais Samia nafasi afanye kazi na watu anaoona wanamfaa kwani tatizo nini? Anavunja sheria gani?

Hamna tofauti na watoto wa kambo kutwa kuchonganisha watu.
Mkuu hizo ndo siasa za Bongo.
Mbwa kumrarua mbwa.
Usiingie siasa kutegemea utasifiwa tu, kuna wakati hata wanaokupenda watakurarua, tena kwa nia njema.

Muhimu mwanasiasa kufanya siasa kwa misingi ya maendeleo ya watu, utu na kuheshimu wale anaowaongoza kwa siasa za ukweli.
Mama alianza vizuri sana, lakini suala la DP Weldi has left a bitter taste.
 
Mkuu hizo ndo siasa za Bongo.
Mbwa kumrarua mbwa.
Usiingie siasa kutegemea utasifiwa tu, kuna wakati hata wanaokupenda watakurarua, tena kwa nia njema.

Muhimu mwanasiasa kufanya siasa kwa misingi ya maendeleo ya watu, utu na kuheshimu wale anaowaongoza kwa siasa za ukweli.
Mama alianza vizuri sana, lakini suala la DP Weldi has left a bitter taste.


Hii statement yako na hiko kiumbe kinazunguka hapo kwenye avatar yako ni mapacha.

Unayoyazungumzia hapa wala sio msingi wa majibizano yetu yaliyotangulia.

Ama ndio unakwepa mishale?
 
Hii statement yako na hiko kiumbe kinazunguka hapo kwenye avatar yako ni mapacha.

Unayoyazungumzia hapa wala sio msingi wa majibizano yetu yaliyotangulia.

Ama ndio unakwepa mishale?
Nope!
Umeamua kwa makusudi kumzungumzia mama, nimekuambia exactly what is felt by many.
Is it so difficult kuelewa?
 
Nope!
Umeamua kwa makusudi kumzungumzia mama, nimekuambia exactly what is felt by many.
Is it so difficult kuelewa?


Umezungumzia uteuzi wa Makonda na kuhusu teamwork kwenye CC.

Umezungumzia kucheka kwa Mzee Kikwete huku akificha kisasi cha hatari moyoni na kupuuzwa ushauri wake.

Na haya yote yametokana na hotuba ya Mzee Kikwete kuhusu Ushauri.


Sasa DP World imetoka wapi?

Hao ‘many’ wametoka wapi?
 
Back
Top Bottom