Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Matrix za kisiasa kama huzijui wewe kalime karafuu tu!
Halafu mwambie mama, teuzi za watu wa kwenu kwenye mambo yasiyo ya muungano zinatukera.
 
Bado yupo vizuri sana. Njia anayopita ni sahihi kabisa. Mfupa alioubakiza ni huu wa katiba mpya.
Pengine hao wanaolia na ushauri, ni kwa sababu ya kuona ana nia njema ya kuipata katiba mpya ambayo ni mwiba kwa CCM kama chama huko mbeleni.

Mama kanyaga twende, hao wametuchelewesha sana.
 
Mkuu hii inchi Ina hitaji akina makonda wengi Sana kusudi mambo ya songe πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu alikuja Sokoine waziri mkuu matata sana ikawa historia na akaja Magufuli tena akiwa na minguvu kama yote kaenda zake mapema sembuse makonda tena mwenezi, ujue katangulizwa mlima kitonga na baisikeli ya mbao!
 
I hate people who think are smarter than and own the majority.I regard them as fools because they take the position of God whilst they are mortal creatures.
Mkuu you seem to be Harbouring serious personal hate against HE JK for him giving an elderly advice to leadership of the day! Hate is not good for the hater bro!
 
Jifunze kuoga kila mara unapotoka kufanya ufedhuli. Itakusaidia kuacha kuhisi harufu ya kinyesi muda wote kiasi kinakukaa akilini na matokeo tunayasoma kwenye maandishi yako.


I’m truly sorry for your misery.
You're a blcksheep to your family ....your green brains its not for politics ni wakunyea mavi Tuu......unaongea na mwanaume sio demu kama wewe ...naweza kukugegeda tako hilo anytime.mavi ya nyoko
 
😑

Au ninasema uongo SHEIKH wangu? URAIS uliishia kwa KIKWETE! Hawa wengine wanajaribu jaribu tu πŸ™πŸΎπŸ˜‚


Sawa sawa kabisa na MANING NICE! URAIS uliishia awamu tano [2012/13] pale SOCIAL SCIENCES, wengine WAKASOME πŸ˜‚


JAMII FORUMS huwa inanipa raha sana. Ngoja nichomekee na dokezo la biashara kwa msimu huu wa SIKUKUU YA KRIMASI NA MWAKA MPYA.
 
Mama namsapoti, ila aangalie kila wakati, over her shoulder.
JK.mwenyewe aliwahi sema, hata huko CCM, watu
You are the one who has been having tangential thoughts just after my first quote to you.


Chose a line and stick to it otherwise unlearn to throw words aimlessly and master your emotions.


Politics is not a game for the weak & hopeless minded.
Mkuu usidadie treni kwa mbele, Mchambawima haziko huko!
 
Makonda hakuwa sahihi kurudi kwenye uongozi
 
Leo serikali imefanyia kazi maoni ya mheshimiwa Jakaya Kikwete
 
BADO SUALA LA MKATABA WA BANDARI HALIJAISHA VIZURI :

 
Leo serikali imefanyia kazi maoni ya mheshimiwa Jakaya Kikwete

URAIS uliishia kwa KIKWETE! Hawa wengine wanajaribu jaribu tu. Labda kwa miaka ya mbeleni, ndiyo TAASISI YA URAIS itarudi kama zamani. Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, sidhani.. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…