Kikwete asema Profesa Benno Ndulu ndiye aliyeleta utaratibu wa malipo ya fedha kwa njia ya simu

Mbna mmeshindwa kutuletea paypal??

Ndulu ansifiwa hapa kwa kua mwepesi kukubali na kupokea mabadiliko yenye tija sio kuanzisha.
 
NI bora Rais fisadi kuliko Rais Katili roho mkononi.
 
Kama laiti marehemu ndiye angekuwa Rais wakati huo, nina hakika asingekubali. Marehemu hakupenda kabisa mtu kuwa na uhuru kwenye masiala ya fedha, biashara na uchumi.
 
kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
muwe mnasoma mada kwanza kabla ya kuandika chochote, hiyo ilikuwa siku ya kumbukizi ya Kifo cha Prof. Beno Ndulu iliyofanyika huko Marekani kwenye chuo kikuu cha New York. Sasa ulitaka aongelee tu huko barabarani bila kuwa na sababu?

Mbona alishawahi kumpa makavu kwenye mazishi ya mzee mkapa kuhusu nchi kufikia uchumi wa kati wa chini? au umeshasahau? au ulitaka kila siku apinge tu hata kama Rais Magufuli anafanya vyema?
 
pesa mtandao ni bonge la huduma nasikia mwanzilishi ni mkenya, kwa kweli anastahili tuzo kubwa sana.
Si kweli mwanzilishi Ni muingereza ila utekelezaji ulianzia Kenya. Usidanganyike!
 
pumba dot com.
 
Halafu wanatokea sukumagang wanasema nchi iliibiwa sana, shenzi kabisa.
 
Mnaosema hio miamala tumeiga hatujakataa. Kikwete kasema huyo professor ndio kaja na wazo la hio miamala kufanyika hapa nchini... So kwa upande wetu ye ndio kaanzisha hio miamala hapa nchini... Lazima tumpe sifa hio na mambo mengi yanafanyika kwingine hapa hayafanyiki kwa hio akija mtu kuyaleta hapa lazima tumpe heshima hio.....
 
Chumba na sebule masaki kwa mwezi sh.

Kwanini asingelishauli serikali itunge sheria kuwa kila mwekezaji akija kuwekeza lazima ashilikiane na mzawa?Alafu akashauli serikali iwawezeshe mtaji wazawa, Maana hata hao wawekaji wanaokuja huku wanawezeshwa na serikali zao.Muongo ni msomi mwenye majivuno akuna alichosaidia serikali kwenye secta ya madini,labda udalali tu wa kuuza vitalu vya gesi kwa wachina
 
Kitaru kimoja ni dollar usd bil moja sawa na hela yoooote mara mbili inayokusanywa na serikali kwa mwezi kulipa mishahara madawa wafanyakazi etc wazawa washirikishweje aliweka huduma kama chakula usafiri etc vndo vitoke kwa wazawawatanzania ni masikini wanauwezo wa bviwanda vya maji kaka .huo ndo ukweli
 
Ndulu alikuwa anaujua Uchumi
 
Mkuu JK kaulizwa swali kuhusiana na Prof Beno Ndulu juu ya utendaji na mafanikio yake wakati akiwa Gavana wa BOT. Kwakuwa yeye ndiye aliyemteua wakati huo. Sasa ulitaka amwambie muuliza swali akamuulize Mama Samia kwakuwa yeye ndiye Rais kwa sasa??
Kuna watu awamu hii ya sita wameamua kuishi na vinyongo na chuki nyingi, sababu haswa ni kifo cha JPM kama vile Samia au JK ndio wahusika wakuu. Ushahidi wa ubaya wanaoudhania wakiombwa wauweke wazi hawawezi lakini wameamua kuishi kwa unyonge na mateso ya moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…