mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Muo
Muongo pamoja na uprofessor wake alisaidia nini taifa?kama sio kufanya udalali tu wa vitalu vya gesi na kudhiaki Watanzania wenzake,kuwa awawezi wekeza ktk gesi wao saizi yao ni kuuza matenga ya nyanya na juice,nibola ya Bitteko mala mia kuliko Muongo, tafuta takwimu na pato la madini wakati wa Muongo na Bitteko nikama mbingu na aridhi,sisi tunaangalia kazi sio sv Bitteko ni zaidi ya professor Muongo ingawa ana bachelorUmesahau JK alimchomoa pia Prof . Muhongo aliyekuwa akipiga mzigo nje. leo hii eti CCM ya Magufuli chini ya Musukuma na Kibajaji wanadhiaki usomi wa Muhongo. Kweli JK alikuwa na Maono..