Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo namanyele umenigusa ndo hom kabisaa. Mitaa ya nkomolo.Nikweli kabisa mkuu, upo zako Kakonko huko unamtumia Bi mkubwa aliye Namanyele buku ten.....maisha yanasonga mbele.....au umekwama sehemu unahitaji msaada mshikaji anakuboost unasaidika....maisha yanaenda
MatagaNitamkumbuka Nduru kwa kuigeuza shiling yetu kuwa pesa ya madafu,mpaka ilifikia kupata chumba na sebule mitaa ya ostbah au massaki mpaka uwe na dollar,na kuruhusu watu wajichotee hela BOT jinsi wanavyo taka,kwanza aliisha tuhumiwa na bunge kuwa aliishi kifisadi.
Nipe shikamoo dogoMwaka 2009 nikiwa darasa la nne bibi yangu M-Pesa alikuwa anaiita Mapesa. Hata transactions za mitandao mingine zilizofuatia aliziita hivohivo mpaka badae akajua kuzitofautisha. Mwanzoni alikuwa anagoma wasitume hela uko akidai itaibiwa na wafanyakazi wa mitandao ya simu.
Shujaa wa Africa hakuwa fisadi?Nitamkumbuka Nduru kwa kuigeuza shiling yetu kuwa pesa ya madafu,mpaka ilifikia kupata chumba na sebule mitaa ya ostbah au massaki mpaka uwe na dollar,na kuruhusu watu wajichotee hela BOT jinsi wanavyo taka,kwanza aliisha tuhumiwa na bunge kuwa aliishi kifisadi.
Anasema eti kazi zilisimama kwa muda wa miaka 5 ila kwa sasa kazi zinatakiwa ziendeleeKwani watumiaji wa hela kwa njia ya.mtandao wanasemaje wao
Faida ni nyingi kuliko hasara.Mwendazake profesa abarikiwe sana katika hii huduma. Japokuwa imeharibu mambo hasa kwa mabaharia (Kwenye kutuma na ya kutolea) ila imerahisisha sana mambo mengine ya kijamii
Nafikiri ni kwa sababu enzi za mwendazake hakukutokea majadiliano maalumu ya kumbukizi ya Profesa Ndulu yaliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha New York (NYU) kupitia jukwaa lake la Africa House.kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
Kulikuwa na kumbukumbu ya kifo cha Prof. Ndulu..?kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
Yeye ndo pia aliruhusi beroud de change kiholela na utoroshwaji wa fedha za kigeni ukifabyika kipindi chake na dollar ikapaa kweli kweli kutoka 1600 hadi 2400Umuhimu wa wasomi Prof..Lakini Ukija Bungeni Speaker Ndugai anawaacha akima Musukuma , Kibajaji na Jaa pipo Ndio waongoze Bunge kwa Mipasho huku wakiwananga Wasomi wetu.. Pathetic this is only in Tanzania Parliamentary sessions.
huu ndiyo unafiki.Kulikuwa na kumbukumbu ya kifo cha Prof. Ndulu..?
Yeye ndo pia aliruhusi beroud de change kiholela na utoroshwaji wa fedha za kigeni ukifabyika kipindi chake na dollar ikapaa kweli kweli kutoka 1600 hadi 2400
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Kwa comment hii inanipa uhalali kusema kwamba, "Wewe sio mtumiaji wa $"Yeye ndo pia aliruhusi beroud de change kiholela na utoroshwaji wa fedha za kigeni ukifabyika kipindi chake na dollar ikapaa kweli kweli kutoka 1600 hadi 2400
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Umesahau JK alimchomoa pia Prof . Muhongo aliyekuwa akipiga mzigo nje. leo hii eti CCM ya Magufuli chini ya Musukuma na Kibajaji wanadhiaki usomi wa Muhongo. Kweli JK alikuwa na Maono..All in all JK alijitahidi sana kuchomoa Wasomi huko Dunian na kuwarudisha Nyumban kupiga Mzigo, kuna huyu wa BOT, TIC na TPDC na wengine wengi tu
'…leo nipo hapa Makaburi ya Kinondoni kwa huzuni kubwa sana kushuhudia MAKTABA ya uchumi ikizikwa…'
Kumbe humu ndani tupo na watoto????Mwaka 2009 nikiwa darasa la nne bibi yangu M-Pesa alikuwa anaiita Mapesa. Hata transactions za mitandao mingine zilizofuatia aliziita hivohivo mpaka badae akajua kuzitofautisha. M wanzoni alikuwa anagoma wasitume hela uko akidai itaibiwa na wafanyakazi wa mitandao ya simu.
Umenikumbusha kisa cha mzee aliyekataa kupokea fedha kwa mwanae alizotoa kwenye ATM akidai ni bandia kwakuwa hakumwona bank teller yeyote pale kwenye kibox alipotoka na fedhaMwaka 2009 nikiwa darasa la nne bibi yangu M-Pesa alikuwa anaiita Mapesa. Hata transactions za mitandao mingine zilizofuatia aliziita hivohivo mpaka badae akajua kuzitofautisha. Mwanzoni alikuwa anagoma wasitume hela uko akidai itaibiwa na wafanyakazi wa mitandao ya simu.