Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wawe wanawaambia hivyo hivyo labda Kuna siku watakumbuka walipozisahau Akili zao.Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki,
Amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidiktetaView attachment 2351444
JK apambane na Tanzania yake, awaaachie Wakenya Kenya yao[emoji28][emoji28]Wakenya wapambane na hali zao!
Huyo si Mutahi Nguyi bali ni Abraham MutaiMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
twitwitwiiiMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Huyu Mkenya yupo sahihi kabisaMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Wamesema ukweli mchunguMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja!! narudia tena …(Africa ni moja!).....km hawataki kikwete aende Kenya na kutoa ushauri, nini maaana ya jumuiya!...….kama yeye mkenya aliona mapengo ya demokrasia aje huku atushauri hajazuiwa!Mutai ni Mkenya sio Wakenya. Mbowe huwa anawalipia ada za kusomea ujinga?