Kikwete ashambuliwa vikali na Wakenya. Adaiwa mnafiki

Kikwete ashambuliwa vikali na Wakenya. Adaiwa mnafiki

watanzania bila mjeledi hawaendi, watapiga soga weee.......hadi muda unakwisha.

ndio maana hayati JPM aliwashikia mjeledi na akili ziliwakaa sawa, sasa naona mama kawalegezea sasa wanaanza kubweka!!

tunamuomba mama akaze vilivyo.
 
Huyo Mkenya kama bado hajaoa nampa binti yangu bikra kama tuzo.
Ameandika ukweli mtupu ambao watu wengi kama sio wote hawawezi kuandika wala kusema hadharani.
 
watanzania bila mjeledi hawaendi, watapiga soga weee.......hadi muda unakwisha.

ndio maana hayati JPM aliwashikia mjeledi na akili ziliwakaa sawa, sasa naona mama kawalegezea sasa wanaanza kubweka!!

tunamuomba mama akaze vilivyo.
Una mawazo ya kikoloni sana
 
Back
Top Bottom