Alitumiwa na ccm kama toilet paper huyu profesa uchwara kumpigia promo dikteata jiwe.Kuna yule prof. Lumumba kikaragosi wa Jiwe sijui kaishia wapi siku hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitumiwa na ccm kama toilet paper huyu profesa uchwara kumpigia promo dikteata jiwe.Kuna yule prof. Lumumba kikaragosi wa Jiwe sijui kaishia wapi siku hizi.
dawa imekuingiaWakenya wapambane na hali zao!
Mnafiki na mfitini sana huyuMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Ni kweli kiongozi kutoka Tanzania hana moral authority ya kuongelea democracy popote pale duniani labda makaburini na kuzimu na chini ya bahari Kwa mashetaniMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Kama ni lecture kwani unalazimishwa kuingia? Si uendelee na mishe zako.Na bado atakuja 🤪Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Huyo ni mkenya, anaogopa musiwaambukize maujinga yenuwatanzania bila mjeledi hawaendi, watapiga soga weee.......hadi muda unakwisha.
ndio maana hayati JPM aliwashikia mjeledi na akili ziliwakaa sawa, sasa naona mama kawalegezea sasa wanaanza kubweka!!
tunamuomba mama akaze vilivyo.
Mkiambiwaga ukweli mchungu mnaanza ooh Tanzania ni nchi huru hatupangiwi cha kufanya, Huko Kenya mnapeleka bumbu za nini?Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja!! narudia tena …(Africa ni moja!).....km hawataki kikwete aende Kenya na kutoa ushauri, nini maaana ya jumuiya!...
WoteKasema ukweli
Sasa kwani wanaongea uongo?huwa haendi kwao kuwahubiria?Wakenya wapambane na hali zao!
Laana haitamuachaAlitumiwa na ccm kama toilet paper huyu profesa uchwara kumpigia promo dikteata jiwe.