Kikwete ashambuliwa vikali na Wakenya. Adaiwa mnafiki

Kikwete ashambuliwa vikali na Wakenya. Adaiwa mnafiki

Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.

View attachment 2351444
Kama ushauri wa mzee Kikwete ni mbaya basi wangeshika bunduki na wale mungiki wangeingia mitaani tu yaani hivyo kudai matokeo, mbona wameenda mahakamani?

Ni mtu dhaifu na mjima anayejadili watu badala ya hoja. Tanzania iko mbele sana kiustarabu🙏🙏🙏
 
Kama ushauri wa mzee Kikwete ni mbaya basi wangeshika bunduki na wale mungiki wangeingia mitaani tu yaani hivyo kudai matokeo, mbona wameenda mahakamani? #Ni mtu dhaifu na mjima anayejadili watu badala ya hoja. Tanzania iko mbele sana kiustarabu🙏🙏🙏
Sasa hapoamejadili mtu?
 
Safi aache unafiki wa kujifanya wanajua demokrasia wakati huku wanafanya uchafu na uchafuzi
 
Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.

View attachment 2351444
Nawaunga mkono wakenya. Ila kwenye uongoz wake JK alijitahidi kupanua wigo wa democracy japo kwa kiasi chake. Tatizo ni mrith wake dicteta JPM akatarudisha enzi za wajerumani
 
watanzania bila mjeledi hawaendi, watapiga soga weee.......hadi muda unakwisha.

ndio maana hayati JPM aliwashikia mjeledi na akili ziliwakaa sawa, sasa naona mama kawalegezea sasa wanaanza kubweka!!

tunamuomba mama akaze vilivyo.
JPM nasikia walimuua , ni kweli?
 
Una mawazo ya kikoloni sana
Mimi na wewe nani mwenye mawazo ya kikoloni?!!!

wananchi wanataka wajitegemee kwa kuchangia maendeleo yao wenyewe wewe unapinga halafu kila mwezi unachangia harusi na sherehe zingine! Ila hutaki kuchangia maendeleo ya hospitali wala barabara!!!

Halafu wakati huohuo unataka msaada!

Ndugu yangu ondokana na fikira za kikoloni toa tozo kwa maendeleo yako na kizazi chako.
 
Huyo ndio aliwafundisha uungwana nyie manyangau wa K mliokua mnachinjana kisa kugombea madaraka kwa vigezo vya ukabila.
 
Back
Top Bottom