Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kombora limerengeta shabaha yaaani mulemule ....Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
.Kasema ukweli
Na huu ndiyo ukweli wenyeweMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Wewe jamaa mpumbavu sana hapa Mbowe anaingiaje? Hicho chuo chenu cha kuzalisha wajinga huko CCM kinafanya kazi sana wajinga mnaongezeka kwa kasi sanaMutai ni Mkenya sio Wakenya. Mbowe huwa anawalipia ada za kusomea ujinga?
safiiiiMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Acha kutetea ujinga ,ndio maana unarukwa tuWakenya wapambane na hali zao!
Wewe hurukwi hapo Ufipa st?Acha kutetea ujinga ,ndio maana unarukwa tu
Ukweli mtupu🤣🤣Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Jamaa wa magufulification na wasiojulikanationsKuna yule prof. Lumumba kikaragosi wa Jiwe sijui kaishia wapi siku hizi.
Hahaha Kikwetwe ameumbuka kweli kwahiliHii habari ya ku-lecture nchi nyingine juu ya demokrasia ni ulozi uliotukuka, ingekuwa tunatoa elimu ya wizi wa kishamba na kitoto wa kura ningeelewa vyema.
He is bold manHuyo Mkenya kama bado hajaoa nampa binti yangu bikra kama tuzo.
Ameandika ukweli mtupu ambao watu wengi kama sio wote hawawezi kuandika wala kusema hadharani.
Una mawazo ya kikoloni sanawatanzania bila mjeledi hawaendi, watapiga soga weee.......hadi muda unakwisha.
ndio maana hayati JPM aliwashikia mjeledi na akili ziliwakaa sawa, sasa naona mama kawalegezea sasa wanaanza kubweka!!
tunamuomba mama akaze vilivyo.