Kama ushauri wa mzee Kikwete ni mbaya basi wangeshika bunduki na wale mungiki wangeingia mitaani tu yaani hivyo kudai matokeo, mbona wameenda mahakamani?Mwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Basi nitampa kijana wake au mjukuu wake.He is bold man
Mungu wabariki WakenyaMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
π€£π€£π€£mpe tu sisee. Jamaa ameupiga mwingiBasi nitampa kijana wake au mjukuu wake.
Maana tuzo haikataliwi.
Sasa hapoamejadili mtu?Kama ushauri wa mzee Kikwete ni mbaya basi wangeshika bunduki na wale mungiki wangeingia mitaani tu yaani hivyo kudai matokeo, mbona wameenda mahakamani? #Ni mtu dhaifu na mjima anayejadili watu badala ya hoja. Tanzania iko mbele sana kiustarabuπππ
Sasa hapoamejadili mtu?
Aisei!ππππππ
Wewe mpumbavu Sasa hapa CCM inaingiaje?Wewe jamaa mpumbavu sana hapa Mbowe anaingiaje? Hicho chuo chenu cha kuzalisha wajinga huko CCM kinafanya kazi sana wajinga mnaongezeka kwa kasi sana
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
π€£π€£Wewe jamaa mpumbavu sana hapa Mbowe anaingiaje? Hicho chuo chenu cha kuzalisha wajinga huko CCM kinafanya kazi sana wajinga mnaongezeka kwa kasi sana
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huo ndio ukweli, mnafiki na aliliingiza taifa kwenye janga la MagufuliMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Mzee mnafiki huyu π€ hamjui tuMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
Ila ujumbe umekufikia?Sijui unakula mikusu ukiwa wapi?Wakenya wapambane na hali zao!
Nawaunga mkono wakenya. Ila kwenye uongoz wake JK alijitahidi kupanua wigo wa democracy japo kwa kiasi chake. Tatizo ni mrith wake dicteta JPM akatarudisha enzi za wajerumaniMwanasiasa wa Kenya Mutahi Ngugi amemshambulia vikali Kikwete kwa unafiki, amedai Kikwete anaenda Kenya kila mara kuwahubiria kuhusu demokrasia huku nchi yake ikiongozwa na katiba ya kidikteta.
View attachment 2351444
JPM nasikia walimuua , ni kweli?watanzania bila mjeledi hawaendi, watapiga soga weee.......hadi muda unakwisha.
ndio maana hayati JPM aliwashikia mjeledi na akili ziliwakaa sawa, sasa naona mama kawalegezea sasa wanaanza kubweka!!
tunamuomba mama akaze vilivyo.
Nakushauri ukubali Ukweli na utakuwa HURU.Wakenya wapambane na hali zao!
Hahahaaaaaa...........ππKiukweli hakuna kiongozi Tz anapaswa kwenda ke kuhubiri demokrasia!! Nikama taahira kutaka kufundisha maprofesa
Mimi na wewe nani mwenye mawazo ya kikoloni?!!!Una mawazo ya kikoloni sana