Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR. Jakaya Mrisho Kikwete ametia ya moyoni akiwa msibani kwa John Malecela kuwa wakati wa kikombe cha babu wa Loliondo wamo Mawaziri katika Serikali yake walienda kunywa kikombe hicho na amesema kuwa wengine walikuwa wakimwambia wanatengeneza barabara.

Na ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa katika jamii ya kitanzania wapo wanaoamini kuwa kama mganga akimwambia anakuloga huamini moja kwa moja na akiambiwa kuwa ameoteshwa na kitu chochote huamini hivyo hivyo.

Aidha hiki ni kipande cha clip alichosema msibani hapo.


 
Eulogy inaongelea kuhusu uongozi wake na marehemu anatajwa kama anecdote on his story it’s all about J.K and how he handled the loliondo saga.

Naanza kuona traits of narcissism, kwake ni umuhimu wa J.K kwenye ili taifa auna kifani as far as he is concerned kama wananchi atujajua bado.

Ni sawa na Mwamunyange pamoja na wastaafu wengine wa vyombo vya ulinzi kila mara kutukumbusha wao walikuwa na majukumu gani, wana siri zipi za nchi, namna walivyotulinda, wanavyoijua mipaka ya nchi, security threats walizokutana nazo kutoka ndani na nje ya nchi ambazo bila ya weredi wao taifa lingetumbukia pabaya. Halafu at the end of the day waamini hakuna mtu anaeweza hiyo kazi zaidi yao, ivyo ni jukumu lao kuwasimanga watu kama hakina Mabeyo kwa sababu at one point walikuwa chini yao. As far as they understand huko jeshini ni wao tu ndio walikuwa trained kuongoza taasisi za ulinzi.

Huyo ndio J.K ukimsikiliza it’s been seven years lakini anaongea kama kaondoka jana tu, mzee Shein mwaka mmoja tu ukimya wake unaonyesha kuna change of administration Zanzibar.

Mzee wa Msoga it’s me me me, sorry to say this ila ndio ukweli wenyewe kuna elements of narcissism may be a psychological intervention is needed.
 
Eulogy inaongelea uongozi wake na marehemu anatajwa kama anecdote it’s all about J.K akipewa

Naanza kuona traits of narcissism umuhimu J.K kwenye ili taifa auna kifani as far as he is concerned.

Ni sawa na Mwamunyange pamoja na wastaafu wengine wa vyombo vya ulinzi kila mara kutukumbusha wao walikuwa na majukumu gani, wana siri zipi za nchi, namna walivyotulinda, wanavyoijua mipaka, security threats; halafu at the end of the day waamini hakuna mtu anaeweza hiyo kazi zaidi ivyo ni jukumu lao kuwasimanga watu kama hakina Mabeyo kwa sababu at one point walikuwa chini yao.

Huyo ndio J.K ukimsikiliza it’s been seven years lakini anaongea kama kaondoka jana tu, mzee Shein mwaka mmoja tu ukimya wake unaonyesha kuna change of administration.

Mzee wa msoga it’s me me me, sorry to say this ila ndio ukweli may be psychological intervention is needed.
Very smart observation, huyu mzee ana matatizo sana . Tena sio kidogo, he just want to be relevant unfortunately majority hawana time nae.,
 
Back
Top Bottom