Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Opportunity haiwezi kubaki kwako kwa muda mrefu ikiwa huna IQ ya maana. Kupata opportunity hata mjinga anapata ila swala la kuitunza na kuiendeleza ni swala la I

Nchi zinazoongoza kwa kula papa ni Italia, Span, Korea na Hong Kong!
Japan ndio inaongoza kwa kula Tuna, robo ya tuna duniani inaliwa na Japan!
Hapa siongelei takwimu nchi gani inakula na kwa kiasi gani,. Ila uelewe kuna correlation ya ulaji wa samaki na IQ, nchi nyingi wanazokula samaki, hata hapa Tz sehemu wanazokula samaki wana ubongo mkubwa, kuna hiyo scientific correlation and it's not a coincidence. Is it hard to grasp that?
 
Nilifikiri unazungumzia swala la akili kumbe ulimaanisha kupata nafasi serikalini?? Kupata nafasi haina maana kuwa una akili, we huoni mama yenu anavyohangaika??

Mpira na pwani wapi na wapi? Mziki na pwani wapi na wapi??
Hiyo nafasi unaipataje? Kama ni rahisi mbona wewe hupati? Utawezaje kuwatawala watu bila akili? Waasisi wa harakati za Uhuru wa nchi hii umeanzishwa na watu wa Pwani kina Sykes, Dosa Aziz nk.. Nyerere alikuja jiunga baadae. Kwenye mziki wanaoongoza au kitovu cha muziki kipo Dar- Pwani, Mpira, biashara nk. Kwanini isiwe Songea? Au Rukwa?
 
Mimi ninachosisitiza ni kwamba, pamoja na hizo factor nyingine unazotaja swala la IQ litakuwa included tu, no matter how unajaribu kuliruka.

Yes kuna factor nyingine nyingi zinazofanya wafanikiwe, IQ ni moja ya factor.
Sasa kwenye IQ ndo tumekwisha kuconclude..wanaoongoza kwa IQ wanatokea Mashariki ya mbali. Yeye anasema Ashkenazi Jews. No
 
Kikwete alikuwa anakula na watz wote. Huoni watu wanaandika thread humu kwamba "JK alikuwa anapata wapi hela za kuajiri nyomi kiasi kile kila mwaka"?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Na ndiomaana karibia 85% ya watumishi wa umma Tz ni incompetent, wengi ni wajinga tu. Eti division four ya 28 mtu anaenda kusomea nursing, ooh polisi matokeo yake tumaejaza watu wa hovyo tu kwenye sekta nyeti na hao ndo wanatupa shida mpaka hii leo.
 
Kwa hiyo ile kuwateka Azory Gwanda na kina Ben Saa8 ni science?!
 
Ndio ukweli,
Hivi tujiulize sie na wachina wanaoishi hapa bongo nani ana maisha mazuri?wao hawaendi kwa mwamposa,kuhani musa Wala kwa gwajima,wao wanaanzisha makampuni nk,harafu wanatupa ajira,mshahara ukiwa mdogo,sie tunaenda kwa "manabii"watuombee Ili mshahara uongezeke.
 
Ki
Nitajie wanamziki wenye mafanikio waliopo Dar ambao asili yao ni pwani au ni wazawa wa Dar, hiyo Dar unayoiona na maendeleo unayoyaona hapo 90% si ya wazawa ni ya watu wakuja. Wazaramo hawana chao hapo Dar.

Katika hii nchi swala la kuongoza bado linategemea akili kubwa?? Hahahah wewe hujui lolote. Nitajie viongozi wa juu hata 7 tu wenye profile kubwa ya elimu.
 
Viongozi tukianzia rais wa Tz na Zanzibar na mawaziri kibao tu ni watu wa Pwani. Tatizo wewe akili yako ni finyu unaona pwani ni Dar na ni wazaramo. Pwani ni kuanzia Tanga mpaka Mtwara huko. Kifupi unatawaliwa na watu wa Pwani, kina JK na kina Awesso nk. Nusu ya baraza la mawaziri wanatoka Pwani.. hesabu mwenyewe
 
Kwa nini wakati huko wanakula samaki pia kama kanda ya ziwa Manelezu ?
I would encourage you usome papers za Neurogenesis then we can have a meaningful discussion, don't underestimate the power of nutrition to creating a smart person and smart community. Carbohydrates hauwezi Jenga community ya watu wenye uwezo kiakili even if they are genetically disposed! Nurture ni kitu muhimu sana ikiwemo na elimu Bora, huu mtaala wa Sasa unazalisha wajinga and not independent thinkers.
 
Waafrika tumeacha tamaduni zetu kwa vusingizio vya kijinga tu, mtu anaambiwa kutimiza matakwa ya mila zake ni kuabudu sanamu ilhali yeye anaabudu mizimu na mababu wa kizungu ambao hata hawamjui, Yakobo, Isaka sijui Yohana hiyo sio mizimu ya kizungu?? Maana ni watu waliokufa.

Wachina wana Budhist, Wahindi wanaabudu misanamu yao, lakini sijawahi ona wakifeli katika maswala ya kidunia.
 
Correlation is not causation.
Correlation ziko nyingi kama hivi;
1.Nchi nyingi za waarabu, za jangwani, za Kiislamu zina mafuta na gesi
2.Nchi chache za Tropic ni maskini na nchi nyingi za Northeren pole kwenye baridi ni Tajiri
3.Nchi nyingi wanazokula Ngano badala ya ugali ni tajiri
 
Hoja yangu ni kwamba wana akili sana kama unavyowanadi?? Swala la kuongoza hapa Tz halihitaji akili na elimu kubwa kama kwa wenzetu hata wewe hapo unaweza ukawa pamoja kwamba hauna akili. Hao wote ulionitajia ni matutusa tu.
 
Nipe links 3 ya hizo papers
 
Hoja yangu ni kwamba wana akili sana kama unavyowanadi?? Swala la kuongoza hapa Tz halihitaji akili na elimu kubwa kama kwa wenzetu hata wewe hapo unaweza ukawa pamoja kwamba hauna akili. Hao wote ulionitajia ni matutusa tu.
Mpaka wanakuongoza wewe mwenye akili, ni wazi wana akili zaidi yako. Wewe unadhani tu una akili, lakin wao ndo wana akili.
 
Weka Angalau papers tatu, halafu unatumia kipimo gani kusema watu wana akili sana?

Ntakutafutia specific papers ila soma hii itakupa perspective, na tafuta hata kwa ku google maziwa ya mama yenye DHA O.7% and above and its relationship with Intelligence Quotent! Ni vizuri kujisomea widely, maybe kutokusoma ndio chanzo Cha our misery!
 
Mpaka wanakuongoza wewe mwenye akili, ni wazi wana akili zaidi yako. Wewe unadhani tu una akili, lakin wao ndo wana akili.
Ahahahahahaha kwahiyo Bwn msukuma nae anakili kuliko watz wengine kwakua ni kiongozi??

Nimekulewesha vizuri kabisa, hapa Tz swala la kuongoza halihitaji akili hata wewe hapo pamoja na ujinga wako ninaouona katika kujenga hoja unaweza kabisa kuwa kiongozi.

Na swala hilo ndo limefanya hii nchi ishindwe kuendelea, we fikiria kwa jinsi ambavyo miaka ya 2005-2010 yalijazwa matutusa yaliyofeli formfour kwenye utumishi wa umma halafu kaa chini ujiulize.

Mtu kapata four ya 26-28 anaenda kusomea Nursing, Clinical Officer, Polisi ,wengine Bandarini, TRA...na mengine hata bila kusoma yamo serikalini huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…