Nshukuru sana mkuu wangu wala huna sababu ya kuniheshimu kwa sababu ya kupigania kanisa. yes Mohammed Said na Faizafoxy wataniona hivyo kwa sababu wao na wewe hamna tofauti inapokuja maswala ya dini wewe KANISA, wao EAMWS na mimi MTANZANIA na mimi siwatetei kanisa wala EAMWS maana wote hawa ni wafanya biashara wakitumia jina la dini...Hoja hapa ni swala la Umeme, imekuwaje Mkandara awe issue kwenu? ebu jiulizeni mbona mimi sizungumziii maisha yenu lakini mara Mkandara mkimbizi na kadhalika..hakika mkiishiwa hoja mnakuja na mengi ya Udini.Mkuu nilikuwa nakuheshimu sana ...lakini huu unafiki umezidi!! Ndiyo maana FaizaFoxy na Mohamed Said walisema wewe ni Muislam fake.
Lakini mimi nadhani wengi wenu ni fake tu ndiyo maana mtaendelea kulalamika mpaka mwisho wa wakati!
Sawa niite mimi mdini, lakini haya anayoyafanya JK ambaye nyie wenyewe mnamwita Mdini sijui inabadilika vipi akiwatendea nyie na leo ndiye rais mzuri kwenu akifuata ya kanisa. CCM wataachaje kuitawala nchi milele ikiwa dawa ni kuendeleza mfumokristu!
Tatizo la Watanzania ni KANISA KATOLIKI.