Kikwete hakuwa mwizi, Ila mfumo uliachwa na Mkapa ulimzidi nguvu

Kikwete hakuwa mwizi, Ila mfumo uliachwa na Mkapa ulimzidi nguvu

Kikwete jamani awe Mwizi sasa aibe nini cha maana ndani ya Bongo Humo!!??....mijitu ya mbagala inalishwa misaada km mitoto ndo inasema kikwete mwizi!! kazi haifanyi, uchawi tyuuu!! na kupigana miti usiku kucha!!!.....ohoo! kikwete anakula kona tuuu!!...ndiyo si anaalikwa?

kutokana na kile kilichomo ndani ya kichwa chake!! wanakitaka awape na wao!! ajabu nyie masikini wa akili mnaponda!! ngoja wanao jua wamtumie dhahabu adimu ile mjue?? ....... mnaichezea tuuu!! masihara meeengi!!

pia yaya alikuwa na ushawishi kwa wenye pesa! mpaka leo anapata mialiko ya kimataifa! Km Nyerere, Oliver tambo, Thabo mbeki, Mandelank, huyu jamaa yuko kundi hili!! tena wanaalikwa kwa hela zao hao waalikaji, hotel zao, magari yao!!...posho zao...

ili tu akatamke Busara zake huko mbele!! sasa badala ya kujifunza kutoka kwake wanamuita majina ya hovyo eti Vasco dagama kwakuwa hawakusoma wanadhani vasco dagama alikuwa anakula kona kujifurahisha kuuuumbe mvumbuzi yule!

wanampaisha kisaikorojia bila wao kujua yaani majitu meusi adhabu mbaya sana!! tena wachawi wananuna mbaya! mfyuuuxcvvbn!! yeye alichuma ili hayo hayo madomokaya yale!

na haya yoote ni kutokana na alivo na akili mingi!!! utu, kuijali Dunia na Africa km ilivo!! kusimamia ukweli, usafi wa moyo!! na hii ni tangu akiwa Waziri wa mambo ya nje! .... hata msipotambua kwa kiburi chenu tu!! Dunia na Mungu wa smaki wanamtambua ivo!

sasa leo hii watu wanataka kunywa sumu eti ni mwizi jamani mweee!! Jizi ni lile lililo wafinyanga watoto wa wakulima na kuwaita fake!! likafa kabisa kwa jinsi Mungu alivo kasirika!! ajabu lilivokuwa na kiburi hata halikukumbuka kutubu!!

sasa km mtu hakutubu mnaijua wazi adhabu yake!! kwa mujibu wa Biblia na Quran!!....achilia mbali ujinga wa sayansi za kishetani amabazo zinawafunga akili!!...hakuna aliye wahi kuwa Rais Bora km kikwete kwenye safu ya ubora!! watake wasitake!
 
Kikwete jamani awe Mwizi sasa aibe nini cha maana ndani ya Bongo Humo!!??....mijitu ya mbagala inalishwa misaada km mitoto ndo inasema kikwete mwizi!! kazi haifanyi, uchawi tyuuu!! na kupigana miti usiku kucha!!!.....ohoo! kikwete anakula kona tuuu!!...ndiyo si anaalikwa?

kutokana na kile kilichomo ndani ya kichwa chake!! wanakitaka awape na wao!! ajabu nyie masikini wa akili mnaponda!! ngoja wanao jua wamtumie dhahabu adimu ile mjue?? ....... mnaichezea tuuu!! masihara meeengi!!

pia yaya alikuwa na ushawishi kwa wenye pesa! mpaka leo anapata mialiko ya kimataifa! Km Nyerere, Oliver tambo, Thabo mbeki, Mandelank, huyu jamaa yuko kundi hili!! tena wanaalikwa kwa hela zao hao waalikaji, hotel zao, magari yao!!...posho zao...

ili tu akatamke Busara zake huko mbele!! sasa badala ya kujifunza kutoka kwake wanamuita majina ya hovyo eti Vasco dagama kwakuwa hawakusoma wanadhani vasco dagama alikuwa anakula kona kujifurahisha kuuuumbe mvumbuzi yule!

wanampaisha kisaikorojia bila wao kujua yaani majitu meusi adhabu mbaya sana!! tena wachawi wananuna mbaya! mfyuuuxcvvbn!! yeye alichuma ili hayo hayo madomokaya yale!

na haya yoote ni kutokana na alivo na akili mingi!!! utu, kuijali Dunia na Africa km ilivo!! kusimamia ukweli, usafi wa moyo!! na hii ni tangu akiwa Waziri wa mambo ya nje! .... hata msipotambua kwa kiburi chenu tu!! Dunia na Mungu wa smaki wanamtambua ivo!

sasa leo hii watu wanataka kunywa sumu eti ni mwizi jamani mweee!! Jizi ni lile lililo wafinyanga watoto wa wakulima na kuwaita fake!! likafa kabisa kwa jinsi Mungu alivo kasirika!! ajabu lilivokuwa na kiburi hata halikukumbuka kutubu!!

sasa km mtu hakutubu mnaijua wazi adhabu yake!! kwa mujibu wa Biblia na Quran!!....achilia mbali ujinga wa sayansi za kishetani amabazo zinawafunga akili!!...hakuna aliye wahi kuwa Rais Bora km kikwete kwenye safu ya ubora!! watake wasitake!
Mbagala kazi yao ni kupigana miti usiku [emoji561] kucha ?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upuuzi mtupu umeandika, kumbuka mikataba yote mibovu na ya hovyo kuliko yote ni ya wakati wa huyu mtu wako na ambayo hadi leo inalitesa Taifa!
 
Kikwete jamani awe Mwizi sasa aibe nini cha maana ndani ya Bongo Humo!!??....mijitu ya mbagala inalishwa misaada km mitoto ndo inasema kikwete mwizi!! kazi haifanyi, uchawi tyuuu!! na kupigana miti usiku kucha!!!.....ohoo! kikwete anakula kona tuuu!!...ndiyo si anaalikwa?
Mwenyezi Mungu akusamehe, utapiamlo wa akili ndilo tatizo lako!
 
Aliye na ushaidi juu ya wizi wa Jakaya Mrisho Kikwete auweke hapa. Jk alikuwa mwasiasa mbobezi, alijua nchi inahitaji nini iendelee, aliujua uchumi vizuri.

Hana Mali au miradi binafsi, aliyoiacha kwake au kwa familia yake katika utawala wake. Kama unaushaidi weka hapa. Zaidi ya kijumba msoga. Tena chini ya mapato halali ya kwake.

Watu wengi hawajui ukubwa wa viongozi hasa maraisi wastafu wa Afrika. Ukidili na kiongozi aliyekutangulia siku zako zitahesabika.
JK na Luwasa walianza kwa Kasi ya ajabu. Walitaka kupitia mikataba yote ya madini ya awali, Walimuyang'anya Hadi Mkapa Mgodi wa makaa ya mawe aliojimilikisha akiwa Raisi. Lakini baada ya kuona mtu anayetaka kumshugulikia ndie aliyewaweka walinzi wake, usalama, uongozi wa Chama hakuwa na jinsi.

Kashfa zote zilizotokea, Zilijadiliwa kwa Uhuru na live bungeni na hatua zilichukuliwa.

Mfumo wa Mkapa ulijaa ufisadi na bado ulikuwepo na alishindwa kuudhibiti. Kuna wakati Jk alipiga kijembe waliposema kashfa Fulani hachomoi. Akauliza kwani alichomeka wapi? Alijua hausiki na hatohusika Katu.

Mkapa ndie Raisi aliyeunda mfumo wake mwenyewe na kuusimamia. Kwani aliyekuwa na nguvu kwenye mfumo alikuwa NI Nyerere na alipinga Sana Sera zake za ubinafsishaji wa hasara. Ila baada ya kuondoka mwaka 1999 Mkapa aliongoza kwa jinsi alivyotaka.

Kuna kasfa JK aliondoka na kuliacha bunge kujadili.

Tuwekane sawa, hapa licha ya Mkapa kuingiza wafanyabiashara kwenye siasa, Yeye mwenyewe kuanza biashara, Mke wake kuhusishwa kumiliki taasisi kubwa za kukopesha fedha kama Beypot. IliyoumizA Sana watumishi. Ila aliongoza nchi kuingia kwenye uchumi na mfumo wa kisasa wa uongozi.

Anayesema J K alikuwa mwizi alete ushaidi hapa.

Magufuli kwenye wizi alipambana Sana na mfumo uliachwa na Mkapa. Na baada ya Mkapa kuondoka gafla inaonekana wazi mfumo mzima ungezimwa kabisa. Mikataba ya iptl sijui Songas na Tanesco kwenda kuwa huru ndio hofu mpya ya wezi ndani ya mfumo wa Jpm. Ila bahati mbaya jpm alitutoka punde.

Timu Magufuli tusimchanganye Mama. Magufuli ameweza kuharibu kwa kiasi kikubwa mfumo wa wizi. Sasa NI wakati wa mama kujenga mfumo Bora wa KIUCHUMI. Kwani mfumo wa Jpm ulikuwa unawapeleka wananci kwenye umasikini wa kutupa.

Maraisi waliojaribu kubadili mifumo gafla au kuwashugulikia watangulizi wao Afika wengi walipotea gafla.
Zungumzia Bingwa mutarika au Revy Mwanawasa. Au Tomas Sankara.
Nchi hii imeharibikia kwa JK nitasema hivyo hadi naingia kaburini na nitamwambia hata nikipata bahati ya kukutana nae mbinguni leo hii ni mwendelezo wa ramani yake inaendelea
 
Aliye na ushaidi juu ya wizi wa Jakaya Mrisho Kikwete auweke hapa. Jk alikuwa mwasiasa mbobezi, alijua nchi inahitaji nini iendelee, aliujua uchumi vizuri.

Hana Mali au miradi binafsi, aliyoiacha kwake au kwa familia yake katika utawala wake. Kama unaushaidi weka hapa. Zaidi ya kijumba msoga. Tena chini ya mapato halali ya kwake.

Watu wengi hawajui ukubwa wa viongozi hasa maraisi wastafu wa Afrika. Ukidili na kiongozi aliyekutangulia siku zako zitahesabika.
JK na Luwasa walianza kwa Kasi ya ajabu. Walitaka kupitia mikataba yote ya madini ya awali, Walimuyang'anya Hadi Mkapa Mgodi wa makaa ya mawe aliojimilikisha akiwa Raisi. Lakini baada ya kuona mtu anayetaka kumshugulikia ndie aliyewaweka walinzi wake, usalama, uongozi wa Chama hakuwa na jinsi.

Kashfa zote zilizotokea, Zilijadiliwa kwa Uhuru na live bungeni na hatua zilichukuliwa.

Mfumo wa Mkapa ulijaa ufisadi na bado ulikuwepo na alishindwa kuudhibiti. Kuna wakati Jk alipiga kijembe waliposema kashfa Fulani hachomoi. Akauliza kwani alichomeka wapi? Alijua hausiki na hatohusika Katu.

Mkapa ndie Raisi aliyeunda mfumo wake mwenyewe na kuusimamia. Kwani aliyekuwa na nguvu kwenye mfumo alikuwa NI Nyerere na alipinga Sana Sera zake za ubinafsishaji wa hasara. Ila baada ya kuondoka mwaka 1999 Mkapa aliongoza kwa jinsi alivyotaka.

Kuna kasfa JK aliondoka na kuliacha bunge kujadili.

Tuwekane sawa, hapa licha ya Mkapa kuingiza wafanyabiashara kwenye siasa, Yeye mwenyewe kuanza biashara, Mke wake kuhusishwa kumiliki taasisi kubwa za kukopesha fedha kama Beypot. IliyoumizA Sana watumishi. Ila aliongoza nchi kuingia kwenye uchumi na mfumo wa kisasa wa uongozi.

Anayesema J K alikuwa mwizi alete ushaidi hapa.

Magufuli kwenye wizi alipambana Sana na mfumo uliachwa na Mkapa. Na baada ya Mkapa kuondoka gafla inaonekana wazi mfumo mzima ungezimwa kabisa. Mikataba ya iptl sijui Songas na Tanesco kwenda kuwa huru ndio hofu mpya ya wezi ndani ya mfumo wa Jpm. Ila bahati mbaya jpm alitutoka punde.

Timu Magufuli tusimchanganye Mama. Magufuli ameweza kuharibu kwa kiasi kikubwa mfumo wa wizi. Sasa NI wakati wa mama kujenga mfumo Bora wa KIUCHUMI. Kwani mfumo wa Jpm ulikuwa unawapeleka wananci kwenye umasikini wa kutupa.

Maraisi waliojaribu kubadili mifumo gafla au kuwashugulikia watangulizi wao Afika wengi walipotea gafla.
Zungumzia Bingwa mutarika au Revy Mwanawasa. Au Tomas Sankara.
Kweli kabisa JK sio mwizi ila wanamsingizia na story za vijiweni awe mwizi kwa shida gani? Aliyonanayo.mzee wake alikuwa mkuu wa wilaya naye akawa waziri miaka chungu mzima na baadae Rais acheni kumsingizia kuwa ni mwizi
* wezi ni wale waliotangulia mbele za haki walilitesa sana Taifa letu ndo maana hata Mungu aliwachukua mapema.mwacheni mzalendo wetu JK chaguo la Mungu apumzike
 
Hivi wanaosema Mzee JK amejilimbikizia mali wana maana kazificha mbinguni? Ziko wapi? Kwa record za Marais wa baadhi ya nchi za Africa kujilimbikizia utajiri nadiriki kusema Tanzania ni nchi yenye Marais waadilifu mno. Kuanzia Mwalimu hakuna yeyote ambaye ni tajiri bali wana pesa za kuishi maisha ya kawaida tu.
 
Anayesema J K alikuwa mwizi alete ushaidi hapa.
Ni hesabu za logic zimetumika, ukipewa mamlaka ya juu kabisa maana yake una nafasi ya kutengeneza mfumo safi wa uongozi, lakini ukiamua kubaki na wezi nyumbani kwako wakati unaweza kuwaondoa au kuwachukulia hatua, basi wewe unakuwa unafuga wezi, tafsiri yake nawe unakuwa unanufaika na wizi, maana yake unakuwa mwizi kama wao
 
Aliye na ushaidi juu ya wizi wa Jakaya Mrisho Kikwete auweke hapa. Jk alikuwa mwasiasa mbobezi, alijua nchi inahitaji nini iendelee, aliujua uchumi vizuri.

Hana Mali au miradi binafsi, aliyoiacha kwake au kwa familia yake katika utawala wake. Kama unaushaidi weka hapa. Zaidi ya kijumba msoga. Tena chini ya mapato halali ya kwake.

Watu wengi hawajui ukubwa wa viongozi hasa maraisi wastafu wa Afrika. Ukidili na kiongozi aliyekutangulia siku zako zitahesabika.
JK na Luwasa walianza kwa Kasi ya ajabu. Walitaka kupitia mikataba yote ya madini ya awali, Walimuyang'anya Hadi Mkapa Mgodi wa makaa ya mawe aliojimilikisha akiwa Raisi. Lakini baada ya kuona mtu anayetaka kumshugulikia ndie aliyewaweka walinzi wake, usalama, uongozi wa Chama hakuwa na jinsi.

Kashfa zote zilizotokea, Zilijadiliwa kwa Uhuru na live bungeni na hatua zilichukuliwa.

Mfumo wa Mkapa ulijaa ufisadi na bado ulikuwepo na alishindwa kuudhibiti. Kuna wakati Jk alipiga kijembe waliposema kashfa Fulani hachomoi. Akauliza kwani alichomeka wapi? Alijua hausiki na hatohusika Katu.

Mkapa ndie Raisi aliyeunda mfumo wake mwenyewe na kuusimamia. Kwani aliyekuwa na nguvu kwenye mfumo alikuwa NI Nyerere na alipinga Sana Sera zake za ubinafsishaji wa hasara. Ila baada ya kuondoka mwaka 1999 Mkapa aliongoza kwa jinsi alivyotaka.

Kuna kasfa JK aliondoka na kuliacha bunge kujadili.

Tuwekane sawa, hapa licha ya Mkapa kuingiza wafanyabiashara kwenye siasa, Yeye mwenyewe kuanza biashara, Mke wake kuhusishwa kumiliki taasisi kubwa za kukopesha fedha kama Beypot. IliyoumizA Sana watumishi. Ila aliongoza nchi kuingia kwenye uchumi na mfumo wa kisasa wa uongozi.

Anayesema J K alikuwa mwizi alete ushaidi hapa.

Magufuli kwenye wizi alipambana Sana na mfumo uliachwa na Mkapa. Na baada ya Mkapa kuondoka gafla inaonekana wazi mfumo mzima ungezimwa kabisa. Mikataba ya iptl sijui Songas na Tanesco kwenda kuwa huru ndio hofu mpya ya wezi ndani ya mfumo wa Jpm. Ila bahati mbaya jpm alitutoka punde.

Timu Magufuli tusimchanganye Mama. Magufuli ameweza kuharibu kwa kiasi kikubwa mfumo wa wizi. Sasa NI wakati wa mama kujenga mfumo Bora wa KIUCHUMI. Kwani mfumo wa Jpm ulikuwa unawapeleka wananci kwenye umasikini wa kutupa.

Maraisi waliojaribu kubadili mifumo gafla au kuwashugulikia watangulizi wao Afika wengi walipotea gafla.
Zungumzia Bingwa mutarika au Revy Mwanawasa. Au Tomas Sankara.
Tanzania haijawahi kupata Rais asiyempigaji ..... Ni Nyerere peke yake. Labda na Maza, atleast mpaka sasa hatujasikia kitu!!

Uzuri pia ni kuwa Marais wetu siyo wapigaji kisana kama nchi nyingine.
 
Kikwete jamani awe Mwizi sasa aibe nini cha maana ndani ya Bongo Humo!!??....mijitu ya mbagala inalishwa misaada km mitoto ndo inasema kikwete mwizi!! kazi haifanyi, uchawi tyuuu!! na kupigana miti usiku kucha!!!.....ohoo! kikwete anakula kona tuuu!!...ndiyo si anaalikwa?

kutokana na kile kilichomo ndani ya kichwa chake!! wanakitaka awape na wao!! ajabu nyie masikini wa akili mnaponda!! ngoja wanao jua wamtumie dhahabu adimu ile mjue?? ....... mnaichezea tuuu!! masihara meeengi!!

pia yaya alikuwa na ushawishi kwa wenye pesa! mpaka leo anapata mialiko ya kimataifa! Km Nyerere, Oliver tambo, Thabo mbeki, Mandelank, huyu jamaa yuko kundi hili!! tena wanaalikwa kwa hela zao hao waalikaji, hotel zao, magari yao!!...posho zao...

ili tu akatamke Busara zake huko mbele!! sasa badala ya kujifunza kutoka kwake wanamuita majina ya hovyo eti Vasco dagama kwakuwa hawakusoma wanadhani vasco dagama alikuwa anakula kona kujifurahisha kuuuumbe mvumbuzi yule!

wanampaisha kisaikorojia bila wao kujua yaani majitu meusi adhabu mbaya sana!! tena wachawi wananuna mbaya! mfyuuuxcvvbn!! yeye alichuma ili hayo hayo madomokaya yale!

na haya yoote ni kutokana na alivo na akili mingi!!! utu, kuijali Dunia na Africa km ilivo!! kusimamia ukweli, usafi wa moyo!! na hii ni tangu akiwa Waziri wa mambo ya nje! .... hata msipotambua kwa kiburi chenu tu!! Dunia na Mungu wa smaki wanamtambua ivo!

sasa leo hii watu wanataka kunywa sumu eti ni mwizi jamani mweee!! Jizi ni lile lililo wafinyanga watoto wa wakulima na kuwaita fake!! likafa kabisa kwa jinsi Mungu alivo kasirika!! ajabu lilivokuwa na kiburi hata halikukumbuka kutubu!!

sasa km mtu hakutubu mnaijua wazi adhabu yake!! kwa mujibu wa Biblia na Quran!!....achilia mbali ujinga wa sayansi za kishetani amabazo zinawafunga akili!!...hakuna aliye wahi kuwa Rais Bora km kikwete kwenye safu ya ubora!! watake wasitake!

Jamani unaeza ukakuta wewe ni diwani ama mbunge….hv tutafika kweli watanzania kuwapa madaraka watu km hawa wakina smaki
 
Mwenyezi Mungu akusamehe, utapiamlo wa akili ndilo tatizo lako!
Kwa maisha yale anayo ishi palee Chalinze Mzee Barabarani?? ardhi ile haijawahi pimwa?? iko siku itapigwa grader! napita kila siku kwenda Nairobi!! duuu! Huyo ndo mpigaji wa nchi yenye hela huyo?? Ndo nyie mnafanya watu wanakimbia nchi!!

km Rais amepiga hela anaishi vile kimaskini hana hata Helikopita ya kupiga misele! mnaumia mkija huku je si mtakufa kabisa Nenda Butiama kwa mchonga ujionee!! Mahekalu yalivyo shushwa Bureeee!! na Dogo marehemu Samora!! Museven!nk!

ile ni km shukrani kwa mchonga.....!! bado lile la jeshi la Wananchi JWTZ,,,,bado lile la OAU Leo AU........Basi kama Vijumba vya msoga vile vya mstaaafu ni upigaji nchi yenu hiyo na wewe mwenyewe ni Mfu kabisa!! haina kitu!.....

Tusiende Mbali nenda Badolite hapo!! uone wezi walivo jenga kwao!! tena na wana vijiji wanakopeshwa Mikopo nafuu wooote! hata ukijipendekeza kuwa wa kabila lile unapigwa mkopo Nafuu!

Nenda Gikuyu Uone utajiri wa wapigaji wewe!!........Nenda Banana High Land wewe!! wale ndo walijua wanafanya nini!! kupiga hela ndefu za nchi zao!! na bado ili kuzima wajinga km weye wakaweka ulinzi wa mali zao kupitia Boko haramu! itakupitia tu!

Bila kusahau AL shaabab! inavo watesa wasema hovyo! ili kuwaminya domo kaya km lako kuuumbe mna stahili haya!! jamani tule tu takatataka ndo mumseme eti jakaya mwizi??? nyie watu!...km unasema kweli basi wewe kwenu ni Maskini wa kutupwa!!

vile vijumba havifikii hadhi hata ya jumba moja la Babu yangu!!....ana nini yule?? Wapigaji wako Shinyanga, nyamongo,Ulyahulu hapo wanachimba usiku na mchana! wamejenga Toronto yooote ile!! wewe unahangaika na takataka hizi huna ufahamu!!
 
Jamani unaeza ukakuta wewe ni diwani ama mbunge….hv tutafika kweli watanzania kuwapa madaraka watu km hawa wakina smaki
Mtafika vyema kwa sababu smaki ana akili ya mafuta ya utajiri
 
Tatizo la maskini wengi humu JF!! wanadhani kikwete anatumia hela za nchi yao fukara Hiyo!!!... kuumbe ni wafadhili tu!...roho ya visununu pia inachangia yaani maskini anaumia tuu kila wkt!! ndo maana mzungu yeye aliona isiwe tabu

akaweka mipaka mpaka kesho hajichanganyi na waswahili!! wahindi waarabu nao wameiga mtindo huo huo!! na hakuna mswahili anae ongelea kundi hili la pili la wahindi na waarabu!..tena wanahujumu kishenzi!!

ukijipendekeza kufanya kazi kwa mweupe atakutenga tu!! na kukufanya ujidharau! mwenyewe! .....yeye anajiweka juuu!! ...Tatizo kikwete alikuwa karibu na maskini wengi mnooo wakamjua ndo matokeo yake haya!...

Miafrica yote kasoro mie tu na wanangu ili mwende nayo sawa ni kuitenga tu na kuibagua kwa sana!, hkuna kula meza moja hata akija mgeni mweusi asizoee familia yako mtenge!...ili kupunguza ujinga na majungu, uchawi na fitina!!
 
Aliye na ushaidi juu ya wizi wa Jakaya Mrisho Kikwete auweke hapa. Jk alikuwa mwasiasa mbobezi, alijua nchi inahitaji nini iendelee, aliujua uchumi vizuri.

Hana Mali au miradi binafsi, aliyoiacha kwake au kwa familia yake katika utawala wake. Kama unaushaidi weka hapa. Zaidi ya kijumba msoga. Tena chini ya mapato halali ya kwake.

Watu wengi hawajui ukubwa wa viongozi hasa maraisi wastafu wa Afrika. Ukidili na kiongozi aliyekutangulia siku zako zitahesabika.
JK na Luwasa walianza kwa Kasi ya ajabu. Walitaka kupitia mikataba yote ya madini ya awali, Walimuyang'anya Hadi Mkapa Mgodi wa makaa ya mawe aliojimilikisha akiwa Raisi. Lakini baada ya kuona mtu anayetaka kumshugulikia ndie aliyewaweka walinzi wake, usalama, uongozi wa Chama hakuwa na jinsi.

Kashfa zote zilizotokea, Zilijadiliwa kwa Uhuru na live bungeni na hatua zilichukuliwa.

Mfumo wa Mkapa ulijaa ufisadi na bado ulikuwepo na alishindwa kuudhibiti. Kuna wakati Jk alipiga kijembe waliposema kashfa Fulani hachomoi. Akauliza kwani alichomeka wapi? Alijua hausiki na hatohusika Katu.

Mkapa ndie Raisi aliyeunda mfumo wake mwenyewe na kuusimamia. Kwani aliyekuwa na nguvu kwenye mfumo alikuwa NI Nyerere na alipinga Sana Sera zake za ubinafsishaji wa hasara. Ila baada ya kuondoka mwaka 1999 Mkapa aliongoza kwa jinsi alivyotaka.

Kuna kasfa JK aliondoka na kuliacha bunge kujadili.

Tuwekane sawa, hapa licha ya Mkapa kuingiza wafanyabiashara kwenye siasa, Yeye mwenyewe kuanza biashara, Mke wake kuhusishwa kumiliki taasisi kubwa za kukopesha fedha kama Beypot. IliyoumizA Sana watumishi. Ila aliongoza nchi kuingia kwenye uchumi na mfumo wa kisasa wa uongozi.

Anayesema J K alikuwa mwizi alete ushaidi hapa.

Magufuli kwenye wizi alipambana Sana na mfumo uliachwa na Mkapa. Na baada ya Mkapa kuondoka gafla inaonekana wazi mfumo mzima ungezimwa kabisa. Mikataba ya iptl sijui Songas na Tanesco kwenda kuwa huru ndio hofu mpya ya wezi ndani ya mfumo wa Jpm. Ila bahati mbaya jpm alitutoka punde.

Timu Magufuli tusimchanganye Mama. Magufuli ameweza kuharibu kwa kiasi kikubwa mfumo wa wizi. Sasa NI wakati wa mama kujenga mfumo Bora wa KIUCHUMI. Kwani mfumo wa Jpm ulikuwa unawapeleka wananci kwenye umasikini wa kutupa.

Maraisi waliojaribu kubadili mifumo gafla au kuwashugulikia watangulizi wao Afika wengi walipotea gafla.
Zungumzia Bingwa mutarika au Revy Mwanawasa. Au Tomas Sankara.
Usisumbuke kupasua nywele. Hakuna mtu mwenye dhamira ya ukweli, anayechukia ufisadi na unyanyasaji atakayeweza kukubali kuendelea kufanya kazi ndani ya mfumo unaolindwa na CCM by hooks and crooks. Lazima ataongoza mabadiliko ya MSINGI (fundamental) kwenye katiba ya nchi, katika miundo na mifumo yake.

Kilichopo ni ROTTEN SYSTEM inavyovutia mafisadi wa kila aina kwenye uongozi. Kujaribu kuonyesha kiongozi mmoja alikuwa bora kuliko wengine ni ulaghai kwa jamii ya watanzania. Waone uozo huu au ule ni nafuu kulinganisha na huu au ule hivyo tusihangaike kusafisha sana.

Kujaribu kuonyesha kuwa Kikwete alikuwa msafi zaidi ya Mkapa au Magufuli zaidi ya Kikwete au Mama zaidi ya wote is called SPLITTING HAIRS! It's an exercise in futility. Tupiganie mabadiliko ya msingi kusafisha uozo wote.
 
Hivi wanaosema Mzee JK amejilimbikizia mali wana maana kazificha mbinguni? Ziko wapi? Kwa record za Marais wa baadhi ya nchi za Africa kujilimbikizia utajiri nadiriki kusema Tanzania ni nchi yenye Marais waadilifu mno. Kuanzia Mwalimu hakuna yeyote ambaye ni tajiri bali wana pesa za kuishi maisha ya kawaida tu.
Una akili sana bro chukua moja baridi hapo kwa Mangi ntalipa.................huu unoko wao ndo unafanya nchi zenye matajiri wanalinda utajiri wao kwa mgambo wa Boko haramu, Al kaida na wale wa kenya wanaitwaje? wale ...al--shabu sijui vile?? aaah !!!

walijua wanadamu hawana jema kabisaaa hata uwabebe mgongoni!!.....cha msingi ni kuwapiga tu!!! vinginevyo watakuua! Mungu aliwashindwaga hao! walio kula kwa pupa walikufa woote km Ben na jiwe ivo kula sana ni hasara
 
Aliye na ushaidi juu ya wizi wa Jakaya Mrisho Kikwete auweke hapa. Jk alikuwa mwasiasa mbobezi, alijua nchi inahitaji nini iendelee, aliujua uchumi vizuri.

Hana Mali au miradi binafsi, aliyoiacha kwake au kwa familia yake katika utawala wake. Kama unaushaidi weka hapa. Zaidi ya kijumba msoga. Tena chini ya mapato halali ya kwake.

Watu wengi hawajui ukubwa wa viongozi hasa maraisi wastafu wa Afrika. Ukidili na kiongozi aliyekutangulia siku zako zitahesabika.
JK na Luwasa walianza kwa Kasi ya ajabu. Walitaka kupitia mikataba yote ya madini ya awali, Walimuyang'anya Hadi Mkapa Mgodi wa makaa ya mawe aliojimilikisha akiwa Raisi. Lakini baada ya kuona mtu anayetaka kumshugulikia ndie aliyewaweka walinzi wake, usalama, uongozi wa Chama hakuwa na jinsi.

Kashfa zote zilizotokea, Zilijadiliwa kwa Uhuru na live bungeni na hatua zilichukuliwa.

Mfumo wa Mkapa ulijaa ufisadi na bado ulikuwepo na alishindwa kuudhibiti. Kuna wakati Jk alipiga kijembe waliposema kashfa Fulani hachomoi. Akauliza kwani alichomeka wapi? Alijua hausiki na hatohusika Katu.

Mkapa ndie Raisi aliyeunda mfumo wake mwenyewe na kuusimamia. Kwani aliyekuwa na nguvu kwenye mfumo alikuwa NI Nyerere na alipinga Sana Sera zake za ubinafsishaji wa hasara. Ila baada ya kuondoka mwaka 1999 Mkapa aliongoza kwa jinsi alivyotaka.

Kuna kasfa JK aliondoka na kuliacha bunge kujadili.

Tuwekane sawa, hapa licha ya Mkapa kuingiza wafanyabiashara kwenye siasa, Yeye mwenyewe kuanza biashara, Mke wake kuhusishwa kumiliki taasisi kubwa za kukopesha fedha kama Beypot. IliyoumizA Sana watumishi. Ila aliongoza nchi kuingia kwenye uchumi na mfumo wa kisasa wa uongozi.

Anayesema J K alikuwa mwizi alete ushaidi hapa.

Magufuli kwenye wizi alipambana Sana na mfumo uliachwa na Mkapa. Na baada ya Mkapa kuondoka gafla inaonekana wazi mfumo mzima ungezimwa kabisa. Mikataba ya iptl sijui Songas na Tanesco kwenda kuwa huru ndio hofu mpya ya wezi ndani ya mfumo wa Jpm. Ila bahati mbaya jpm alitutoka punde.

Timu Magufuli tusimchanganye Mama. Magufuli ameweza kuharibu kwa kiasi kikubwa mfumo wa wizi. Sasa NI wakati wa mama kujenga mfumo Bora wa KIUCHUMI. Kwani mfumo wa Jpm ulikuwa unawapeleka wananci kwenye umasikini wa kutupa.

Maraisi waliojaribu kubadili mifumo gafla au kuwashugulikia watangulizi wao Afika wengi walipotea gafla.
Zungumzia Bingwa mutarika au Revy Mwanawasa. Au Tomas Sankara.
Tuache kuropoka tu na kufuatiliza sauti kama kasuku,mwenye ushahidi wa wizi wa kikwete auwrke hadharani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nyie misukule ya Mzoga…kuleni pumba huku mkikaa kwa kutulia
 
Hii Dunia maajabu hayataisha ...sasa mutu akakuombee msaada ili ule!!! wanao waende chooni...utibiwe......ajabu unaona ni mwizi!! kodi yenyewe hutoi!! haya kalime hutaki!! unakunywa kahawa tuuu! kula unataka sasa weye km siyo mzigo ni nini??

mngekuwa mnalia kuwa amekula hela -+ambayo mlitoa misaada kwa waliofiwa ukrain hapo sawa!!..... mnalia na cha kupewa? tena alicho waombea kwa watu baki ili mkipate?? yaani miafrica mijinga sana ...

hapa kungenoga endapo mngemikataaa hiyo misaaada na mumwambie hiyo misaaada yako kula mwenyewe hapo ndo ninge waona wanaume!...sasa kurisk afanye yeye nyie mlie!!! ooh!eti fisadi!!..ndiyo ni fisadi si alizitafuta yeye??
 
Back
Top Bottom