Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Goooooood !!!!!!!!!! To me nimekukubali HU siitaji tena ushuhuda manake hii ndiyo iliyokuwa inaniumiza kichwa sasa umeifumua nimepigia mstari kamanda nasalute.GOD BLESS YOU HAKIKA NA MWENYE MASIKIO NA MACHO UJUMBE NDIO HUO.

Na iwapo tetesi hizi zina ukweli, ni lazima tukubali kwamba kelele za Serikali ya Tanzania kupinga misaada ya wahisani inayokuja na masharti ya ushoga sio suala la kudumu. Isitoshe, wahisani wote, Benki Ya Dunia, IMF, balozi mbalimbali - marekani, uingereza, Israel etc, nchini Tanzania wanalalamika nchi haina dira na wanapendelea EL akamate uongozi, kwa madai kwamba, uongozi wa EL utakuwa very favourable kwa mitaji kutoka nje.
 
Hii ni kweli,huyo kijana nae ni member mwenzetu pale club japo huwa sipendi ku urge nae....

Bar unayoizungumzia ni ile Bar yetu pale legend, karibia na jumba la sanaa ambako Kamanda Mbowe na wenzake (wakiwa katika magwanda yao), hujumuika na wafuasi wa EL, wakiongozwa na Mheshimiwa Mwanae, Fred, kwa shampeni nyakati za jioni?
 
kuna uongo mwingi sana hapa zaidi ya ukweli.............very interesting to read..........kwa wale waliokuwepo hapa JF muda mrefu watanielewa............the good thing ni kuwa.........."ONLY TIME WILL TELL"

uongo mwingi na bado unatoa ''like'' kwa kila post ya members!!!!
 
ndugu yangu wee hiko kitu hakipo ni kivuli chako mwenyewe tu...yani hata wewe leo ukilewa unaweza kusimama pale bar unapokunywa na kudai yeyote atakayemsema vibaya lowassa kuanzia leo ajiangalie,ni kauli ya kilevi tu lakini kuna watu hapo bar nao wanaweza kuichukulia serious wakaenda kuisema kwingine na hao wa kwingine wakaipeleka mbele zaidi kesho yake ukiwa huna pombe kichwani ukaisikia na wewe tena kwa mtu mwingine na wewe mwenyewe ulieianzisha ukaanza kuiamini na kuingiwa na hofu then ukaendelea kuisambaza hiyo hofu kwa wengine zaidi matokeo yake nchi nzima ikajikuta inatawaliwa nahofu uliyoianzisha wewe ukiwa bar umelewa!that's it!

Duh nimekuaminia lakini kuna mahala ulisema munakuwa nao club club gani hiyo
 
Na iwapo tetesi hizi zina ukweli, ni lazima tukubali kwamba kelele za Serikali ya Tanzania kupinga misaada ya wahisani inayokuja na masharti ya ushoga ni suala la muda mfupi tu. isitoshe, wahisani wote, Benki Ya Dunia, IMF, balozi mbalimbali - marekani, uingereza, Israel etc, nchini Tanzania wanalalamika nchi haina dira na wanapendelea EL akamate uongozi, kwani kwamba, uongozi wake utakuwa very favourable kwa mitaji kutoka nje.

ha ha haaa mzee uko very technical kukuelewa inabidi kichwa cha juu kifanye kazi zaidi ya uwezo wake wa kawaida ule wa kusoma na kuandika!
 
Mtoa habari sio bar ya salender bridge kaka! Pink cocunut? Au mie ndo nipo outdated? Ngoja Romantic kama atathubutu aseme! Lol
 
Tetesi nyingine ni kwamba, huyu mheshimiwa anafanya ule mchezo mchafu, ile dhambi kuu mbele ya mwenyezi mungu na rafiki yake na mpiganaji wake, yule kijana (PS), mwakilishi wa wananchi kutoka jimbo moja wapo kule kanda ya ziwa Tanganyika. Tukiwa Dodoma, kuna wakati fulani, wenzetu ambao ni wafanyakazi mahotelini, walitoa taarifa kwa wenzao wengine (sio ofisini), jinsi gani waheshimiwa wawili hawa walivyokuwa wanatembeleana nyakati za usiku vyumbani wakiwa na soksi na kaptura za kulalia tu. Taarifa hizi zinapelekea wengi wetu kuamini ule msemo kwamba ukishakuwa na utajiri wa kupitiliza, maovu kama yale sio ajabu kuyatenda. Lakini hizi nazo ni tetesi, hazina uthibitisho.
Mtoa habari, sio kila tetesi ni kweli zingine ni uwongo!.

Hoteli yao wote hao ni DD, nami hufikia hoteli hiyo hiyo, nature ya hoteli yenyewe inatoa fursa watu kujiachia maana lounge, garden, swimming pools, dinning, restaurant na bar zote ziko mahali pamoja, mtu akitoka pool na swim suit akaa garden anaweza kukutana na watu waliokuja formal dinner hapo hapo garden, hivyo sio ajabu mtu kukatisha from one place to another akiwa na boxer shot!.

Siamini hata kama ni kweli wana mahusiano yasiyo ya kawaida, hawawezi kufanya upuuzi huo hapo DD hotel, wale wasukuma, Cheyo, Chenge, Ndasa na Kikula wa UDOM, counter ndio sebuleni kwao na mpaka wachoke ndipo bar ifungwe!, nani afanye upuuzi huo open place kama pale!, I don't buy this!
 
Mtoa habari sio bar ya salender bridge kaka! Pink cocunut? Au mie ndo nipo outdated? Ngoja Romantic kama atathubutu aseme! Lol

Hapana, sio salender, naongelea Legend, imejificha sana na ni kwa members peke yake. Ipo upande wa kushoto, barabara kuu,kama unatokea palm beach kuelekea mjini. Ipo upande wa kushoto, ukishavuka Jengo la Zamani la TCRA/Las vegas Casino, kama mita 70 hivi kutoka kwenye kona/mataa ya kuingilia Mtaa wa Ohio/Movenpick.
 
Pasco ahat mimi niliwahi au nakutana na mzee Chenge hapo DD!
 
Mtoa habari, sio kila tetesi ni kweli zingine ni uwongo!.

Hoteli yao wote hao ni DD, nami hufikia hoteli hiyo hiyo, nature ya hoteli yenyewe inatoa fursa watu kujiachia maana lounge, garden, swimming pools, dinning, restaurant na bar zote ziko mahali pamoja, mtu akitoka pool na swim suit akaa garden anaweza kukutana na watu waliokuja formal dinner hapo hapo garden, hivyo sio ajabu mtu kukatisha from one place to another akiwa na boxer shot!.

Siamini hata kama ni kweli wana mahusiano yasiyo ya kawaida, hawawezi kufanya upuuzi huo hapo DD hotel, wale wasukuma, Cheyo, Chenge, Ndasa na Kikula wa UDOM, counter ndio sebuleni kwao na mpaka wachoke ndipo bar ifungwe!, nani afanye upuuzi huo open place kama pale!, I don't buy this!
Ndio maana nimeweka msisitizo wa neno "TETESI."
 
uongo mwingi na bado unatoa ''like'' kwa kila post ya members!!!!

interesting to read!...........usanii ni kazi au ulikuwa hujui.......usipotee njia kwa kuona "Ogah" ame-like............utaingia choo ambacho sicho mazee........hahaha
 
Mtoa habari sio kabla ya kuingia Ohio? Ukumbi ambao pia harusi zinafanyikia hapo? Kushoto ya kuingia serena ukitokea salender?
 
Bar unayoizungumzia ni ile Bar yetu pale legend, karibia na jumba la sanaa ambako Kamanda Mbowe na wenzake (wakiwa katika magwanda yao), hujumuika na wafuasi wa EL, wakiongozwa na Mheshimiwa Mwanae, Fred, kwa shampeni nyakati za jioni?
Asante, niliwahi kufika pale kwa mwaliko maalum, the other day nimekwenda, nikajukuta out of place, nikajiishia zangu na kujirudia hivi vibaa vyetu vya uswazi!
 
Asante, niliwahi kufika pale kwa mwaliko maalum, the other day nimekwenda, nikajukuta out of place, nikajiishia zangu na kujirudia hivi vibaa vyetu vya uswazi!
What happened mkuu?
 
Back
Top Bottom