Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
VIswahili vya pwani usivipe umuhimu sana.Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Kina kingunge 😜🤭Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Huyu alikosa kabisa hekima na akili. Huwa hajui hata kuongea. Hana akili. Amwache Samia aongoze nchiAkitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.
Yeye Mwenyewe ndiye Mchawi. Kitendo cha yeye kubebeshwa zigo la kumfagilia Maza apitishwe bila kufuata katiba kwa kudai kuwa Mkutano Mkuu wana huo uwezo unamfanya awe ni Mchawi.
Alivyo itamka tu hii kauli hata Mimi mzuka wa kumsikiliza ulikata kimtindo ni kama alijishtukia kurekebisha akabezi kwenye mada ya kumtangaza mgombea ajae wa chamaAkitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.
Yote maisha Kanda ya Ziwa twende na ChademaLeo mzee wangu JK kaniangusha sana.
Kwahiyo yeye hatokufa? Kumbe kuwa Mzee wakati mwingine ni jau tu
Hata akifa leo, kishasema wachawi wamekufa,kosa lao siyo kufa bali uchawiUzuri wa kifo hua hakina macho wala wakati, muda wowote ule yeyote yule anaenda kulazwa panapostahili
Lowasa,maana jk wakati akigombea alishaanguka sana jukwaani,watu wakiitaka nafasiJPM ( Ile crew iliyokuwa inamzunguka Rais JPM )
MAHIGA n.k
MEMBE
LOWASA