Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Je, Kikwete ametupa dongo kwenye familia ya Magufuli na Mkapa?
Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.
Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;
"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.
Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?
Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.