Kikwete: Kwanza wachawi walishakufa

Kikwete: Kwanza wachawi walishakufa

Rost na Dr. Nchimbi ni timu Lowassa. Lowassa alihitilafiana na born town.

Japokuwa Rais Samia anajitahidi kubalance hizi timu msoga, timu lowassa na sukuma gang lakini nawaona timu Lowassa wanang'aa zaidi. Hata aliye nyuma ya Rais Samia kuhusu ajenda ya nishati safi ni Rostam Aziz.
Kwahiyo kumkataa EL 2015 ndio ilikua sababu ya rost na BT kuhitilafiana sio?

Naona kama timu BT inapigwa bench hivi kimtindo, marope, NN, tembo
 
Kama makubaliano yalikua nakusaidia wakati huu ww utanisaidia wakati ujao, huoni naye ana haki kusaidiwa huo wakati ukifika?
Kurudishiwa fadhila sio haki yako, ww fanya mema yako afu kuwa mpole
 
Ukiishaona na kusikia mtu anasimanga marehemu bila hiana ujue hayuko mbali na mwisho wake pia.
Ila najiuliza tu kama na yeye akifa itawapendeza wapendwa wake akitambulishwa kama mchawi mkuu wa taifa hili? 😲
 
ukiona hivyo ujue ananufaika nae kwa kumnyooshea madili yake au makamu mteuliwa ni mtu wake na hajateuliwa hapo bahati mbaya huwezi jua labda kuna plan ya kuja kufanya reverse huko mbele ya safari kuna hesabu zishapigwa hapo.!
Hapo kwenye reverse mbele ya safari hata mimi nimepahisi sana.
 
Na kuna nabii ameshaonyeshwa na Mungu.
Ukiishaona na kusikia mtu anasimanga marehemu bila hiana ujue hayuko mbali na mwisho wake pia.
Ila najiuliza tu kama na yeye akifa itawapendeza wapendwa wake akitambulishwa kama mchawi mkuu wa taifa hili? 😲
 
Wafanye maamuzi magumu CCM siyo mama yao.
Kuna nafasi ya waziri mkuu bado.....na hio yule jamaa kama atalikumbuka lile jimbo la kigamboni kuchukua ubunge anaweza akaikwapua au wa upande wake,,,maana kwa urais sidhani kama ataweza maana si mkatoliki kama mwenzie....,ila hio nafasi ya hapo anafit......bimkubwa anajua mambo ya divide and conquer na anayatumia vizuri yale makundi kwa manufaa yake...atadonoa msoga, atadonoa kwa wale wa laigwanan atadonoa huku kwa wakina ulimola
 
Miaka miwili ya Rais Ibrahim Traoré 🇧🇫 vs miaka mitatu ya Samia Suluhu

1. GDP ya Burkina Faso ilikua kutoka takriban dola bilioni 18.8 hadi $ 22.1 bilioni.

2. Amekataa mikopo kutoka kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia. Alisema, "Afrika haiitaji Benki ya Dunia, IMF, Ulaya, au Amerika."

3. Alipunguza mishahara ya mawaziri na wabunge kwa 30% na akaongeza mishahara ya watumishi wa umma na 50%.

4. Alilipa deni la Burkina Faso.

5. Alianzisha viwanda viwili ya usindikaji wa nyanya, hakukuwa na kiwanda hata kimoja Burkina Faso.

6. Mnamo 2023, alianzisha mgodi wa dhahabu wa hali ya juu ili kuongeza uwezo wa usindikaji wa ndani.

7. Alisimamisha usafirishaji wa Dhahabu ya Burkina Faso Gold kwenda Ulaya.

8. Aliunda kiwanda cha pili wa usindikaji wa pamba wa Burkina Faso. Hapo awali, nchi ilikuwa na ki moja tu.

9. Alifungua Kituo cha Msaada wa Kitaifa cha kwanza cha Usindikaji wa Pamba ya Artisanal kusaidia wakulima wa pamba wa ndani.

10. Alipiga marufuku kuvaa kwa wigs za kisheria za Uingereza na gauni katika korti za mitaa na kuanzisha mavazi ya jadi ya burkinabé.

11. Alitanguliza kilimo kwa kusambaza matrekta zaidi ya 400, viboreshaji 239, pampu 710 za gari, na pikipiki 714 ili kuongeza uzalishaji na kusaidia wadau wa vijijini.

12. Alianzisha viwanda vya mbegu zilizoboreshwa na pembejeo zingine za shamba ili kuongeza pato la kilimo.

13.Uzalishaji wa nyanya huko Burkina Faso uliongezeka kutoka tani 315,000 za tani 2022 hadi tani 360,000 za tani mnamo 2024.

14. Uzalishaji wa Millet uliongezeka kutoka tani 907,000 za tani mnamo 2022 hadi tani milioni 1.1 mnamo 2024.

15. Uzalishaji wa mpunga uliongezeka kutoka tani 280,000 za tani 2022 hadi tani 326,000 mnamo 2024.

16. Alipiga marufuku shughuli za kijeshi za Ufaransa huko Burkina Faso.

17. Alipiga marufuku vyombo vya habari vya Ufaransa huko Burkina Faso.

18. Aliwafukuza askari wa Ufaransa kutoka Burkina Faso.

19. Serikali yake inaunda barabara mpya, kupanua zile zilizopo, na kuboresha barabara za changarawe hadi nyuso zilizowekwa.

20. Anaunda uwanja wa ndege mpya, uwanja wa ndege wa Ouagadougou-donsin, ambao unatarajiwa kukamilika mn
Eric Samuel 🙏amo 2025 na uwezo wa kushughulikia abiria milioni 1 kila mwaka.

##SAMIA KTK MIAKA MI 3 AMENUNUA MABASI YA CCM , PIKIPIKI ZA SAMIA 2025, BAISKELI ZA SAMIA 2025, AMEHONGA MAKANISA ,MISIKITI , TIMU ZA MIPIRA NA WANASIASA, AMEPAISHA DENI LA TAIFA KUTOKA TRILIONI 60 HADI TRILIONI 100 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
 
Je, Kikwete ametupa dongo kwenye familia ya Magufuli na Mkapa?

Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa pamoja na mambo mengine akitamka;

"...kwanza wachawi walishakufa." Mwisho wa kunukuu.

Je, ni nani hao wachawi wafu aliomaanisha Kikwete?

Mama JANETH MAGUFULI ENDELEA KUWA NA MOYO MAMA.

Duh
 
Back
Top Bottom