Japani mpaka kupanda miti aaaaah
japani
marekani
china
kwani hii nchi ni nchi gani!
Raisi jk ni wa nchi gani????
I noted that.... Gerald sio yule wa siku zote, hawezi jata kumwambie afafnue majibu anayotoa nahisi anaoma hakina la maana atakalosema.Yani mpaka Mtangazaji Gerald Hando anamuonea JK huruma. sikiliza sauti yake ilivyobadilika anavyouliza kwa huruma
Kakiri kudploy vijana 200 kushughulika kura za CCM (uchakachuaji)