akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
CLOUDS FM POLENI KWA KULAZIMIKA KUZOA MATAPISHI YA KIKWETE HAPO STUDIO MAANA AMETAPIKA MNO....HARUFU MBAYA IMESIKIKA MPAKA KWENYE RADIO ZETU.
Loh! mi naona kama wakati mwingine napoteza muda kumjadili huyu chizi..namwona kama punguani wa akili huyu, ok nichambue kidogo matapishi yake katika Clouds FM....ati Foleni kuongezeka Dar ndio maendeleo..kwamba wananchi sasa wanamudu magari, kwamba nyumba zimeongezeka Dar... Loh! haya maendeleo ya kikwete na CCM kweli matapishi.
Hizo nyumba zilizoongezeka ndio hizo za bonde la msasani na jangwani? ambazo hazina vyoo bali matundu wanayochimba kwa shs.2,000/= unawalipa mateja wanakuchimbia japo bagamoyo kwa JK halmashauri ingeyachimba kwa shs. milioni 700?
Nani asiyejua kuwa magari yaliyojaa Dar es Salaam ni ya serikali, hesabu magari yanayopita barabarani sasa hivi, mangapi STK, STJ, SU, DFP, SM na mangapi japo yako kwenye T000ZZZ lakini bado ni ya serikali kwa sababu Magufuli na sera zake wamepumzishwa kwenye mtungi..tuliiii. Uwiano ukoje??? Sasa kwa mtindo huu aliyeendelea nani? au Ofisi ya Katibu mkuu wa wizara imekuwa baba wa watanzania wote??? Au wanaokaa kwenye nyumba za tembe ndio wanaoyamiliki.
Hivi hata wapiganaji wenzangu mlioko Clouds FM, ni wote mna magari yenu binafsi na angalieni wangapi mpaka leo mnakatwa mishahara na kubaki na 'salary slip' tupu kwa kulipia magari ambayo hata hivyo yameshachakaa na hamyaendeshi tena isipokuwa kwenye 'party' na mitoko ili kuinua hadhi maana 'maintenance' yake ni balaa. Je na nyinyi mlindwe na PPRA kutonunua mitumba? Kwa mishahara hiyo ambayo michango miwili tu ya msiba( maana CCM inatuua njaa na sumu za mafuta ya transformer kwenye chipsi) kwishaaa!!!!????? Bado ada Mafuta je ya kuweka kwenye hayo magari..mishahara yenu inawapa ruhusa na fursa hiyo?????
Haya magari ya 'wabongo' ya mikopo tunajua yalivyo na uadui mkubwa na 'ozone layer' ?? yaani kujaza mitumba yenye kuharibu mazingira duniani ndio tuite maendeleo....mtanzania gani au ni wangapi wasio mafisadi wanaonunua gari mpya??????
Maendeleo kwa mujibu wa Dr. Slaa na Prof Lipumba ni Elimu bora kwa kila mtanzania, Afya bora kwa kila mtanzania, Makazi bora, Fursa sawa, Haki kwa jamii, Ongezeko la pato la taifa likiambatana na uwekezaji bora na matumizi bora ya rasilimali za Taifa, Amani na utulivu wa kweli na siyo wa maneno matupu na kadhalika wa kadha.
Maendeleo kwa mujibu wa Jakaya Kikwete ni ongezeko la foleni Dar es Salaam, Ongezeko la nyumba mbovu na zilizo nje ya mpangilio wa mipango miji ambazo siku za usoni zitakuja kubomolewa tu na wananchi watakosa maali pa kuishi kama ilivyotokea kurasini, tabata dampo na kwingineko.
Maendeleo kwa mujibu wa Kikwete ni kurudia ahadi zile zile alizotoa mwalimu nyerere miaka 50 iliyopita za kuiunganisha nchi kwa barabara...ahadi ambazo zitaendelea kutolewa miaka 50 ijayo kama CCM itapewa ridhaa kwa sababu barabara ni zilezile sikuzote, zinatengenezwa kwa viwango duni kwa sababu ya ufisadi mpaka zinaharibika na kurudi katika hali ya vumbi, ikipita miaka 20 ahadi zinatolewa kisha zinajengwa tena kwa kiwango cha lami na unaambiwa ni barabara mpya. 'CCM virtuos Circle of undeveloping Tanzania'.
Naomba nisipoteze muda wenu na wangu wakuu wana JF maana upuuzi wa Jakaya Kikwete na Serikali yake ya chama cha makafiri CCM unajulikana.
USICHAGUE CHAMA CHA MASHETANI CCM. CHAGUA CHADEMA(Muungano) NA CUF(Zanzibar-Seif) ULIKOMBOE TAIFA LAKO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Loh! mi naona kama wakati mwingine napoteza muda kumjadili huyu chizi..namwona kama punguani wa akili huyu, ok nichambue kidogo matapishi yake katika Clouds FM....ati Foleni kuongezeka Dar ndio maendeleo..kwamba wananchi sasa wanamudu magari, kwamba nyumba zimeongezeka Dar... Loh! haya maendeleo ya kikwete na CCM kweli matapishi.
Hizo nyumba zilizoongezeka ndio hizo za bonde la msasani na jangwani? ambazo hazina vyoo bali matundu wanayochimba kwa shs.2,000/= unawalipa mateja wanakuchimbia japo bagamoyo kwa JK halmashauri ingeyachimba kwa shs. milioni 700?
Nani asiyejua kuwa magari yaliyojaa Dar es Salaam ni ya serikali, hesabu magari yanayopita barabarani sasa hivi, mangapi STK, STJ, SU, DFP, SM na mangapi japo yako kwenye T000ZZZ lakini bado ni ya serikali kwa sababu Magufuli na sera zake wamepumzishwa kwenye mtungi..tuliiii. Uwiano ukoje??? Sasa kwa mtindo huu aliyeendelea nani? au Ofisi ya Katibu mkuu wa wizara imekuwa baba wa watanzania wote??? Au wanaokaa kwenye nyumba za tembe ndio wanaoyamiliki.
Hivi hata wapiganaji wenzangu mlioko Clouds FM, ni wote mna magari yenu binafsi na angalieni wangapi mpaka leo mnakatwa mishahara na kubaki na 'salary slip' tupu kwa kulipia magari ambayo hata hivyo yameshachakaa na hamyaendeshi tena isipokuwa kwenye 'party' na mitoko ili kuinua hadhi maana 'maintenance' yake ni balaa. Je na nyinyi mlindwe na PPRA kutonunua mitumba? Kwa mishahara hiyo ambayo michango miwili tu ya msiba( maana CCM inatuua njaa na sumu za mafuta ya transformer kwenye chipsi) kwishaaa!!!!????? Bado ada Mafuta je ya kuweka kwenye hayo magari..mishahara yenu inawapa ruhusa na fursa hiyo?????
Haya magari ya 'wabongo' ya mikopo tunajua yalivyo na uadui mkubwa na 'ozone layer' ?? yaani kujaza mitumba yenye kuharibu mazingira duniani ndio tuite maendeleo....mtanzania gani au ni wangapi wasio mafisadi wanaonunua gari mpya??????
Maendeleo kwa mujibu wa Dr. Slaa na Prof Lipumba ni Elimu bora kwa kila mtanzania, Afya bora kwa kila mtanzania, Makazi bora, Fursa sawa, Haki kwa jamii, Ongezeko la pato la taifa likiambatana na uwekezaji bora na matumizi bora ya rasilimali za Taifa, Amani na utulivu wa kweli na siyo wa maneno matupu na kadhalika wa kadha.
Maendeleo kwa mujibu wa Jakaya Kikwete ni ongezeko la foleni Dar es Salaam, Ongezeko la nyumba mbovu na zilizo nje ya mpangilio wa mipango miji ambazo siku za usoni zitakuja kubomolewa tu na wananchi watakosa maali pa kuishi kama ilivyotokea kurasini, tabata dampo na kwingineko.
Maendeleo kwa mujibu wa Kikwete ni kurudia ahadi zile zile alizotoa mwalimu nyerere miaka 50 iliyopita za kuiunganisha nchi kwa barabara...ahadi ambazo zitaendelea kutolewa miaka 50 ijayo kama CCM itapewa ridhaa kwa sababu barabara ni zilezile sikuzote, zinatengenezwa kwa viwango duni kwa sababu ya ufisadi mpaka zinaharibika na kurudi katika hali ya vumbi, ikipita miaka 20 ahadi zinatolewa kisha zinajengwa tena kwa kiwango cha lami na unaambiwa ni barabara mpya. 'CCM virtuos Circle of undeveloping Tanzania'.
Naomba nisipoteze muda wenu na wangu wakuu wana JF maana upuuzi wa Jakaya Kikwete na Serikali yake ya chama cha makafiri CCM unajulikana.
USICHAGUE CHAMA CHA MASHETANI CCM. CHAGUA CHADEMA(Muungano) NA CUF(Zanzibar-Seif) ULIKOMBOE TAIFA LAKO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!