Mkuu
Ntawezaje kuwa mpole huku Rais wangu huyo anayoyaongea ni kama vile huwa hawana watu wa mipango miji na mgawanyo wa Funds huko mikoani jamani ukiangalia rasilimali nyingi za Taifa zatokea Kanda ya ziwa ambako huko ndiko kulitakiwa kuwe baraaaa kupita mikoa mingine ukicheki Shinyanga utalia, nenda Kahama ndio usiseme, Rudi Nyamongo - Tarime wacha bwana maendeleo ni zero tuu neda Arusha nako ndiko kila siku kukicha leo wanaambiwa JIJI mara kesho wanaambiwa vigezo havijitoshelezi sasa ni nini seriklai imejipanga,
Serikali inapo kuza maendeleo inatakiwa ijipange na kuangali future ya wananchi na vizazi vilivyopo na vijavyo itakuwaje. na ndio maana nikasema au kushauri sera ya Majimbo irudi muone kama Dar watu watakaaa watu wote utawaona Arusha au Mwanza