Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

Jamani hii radio ctamani hata kuickia tena haina usawa hta kdg but km wao wanaukumbatia mbuyu cc 2nauzunguka ngoja waone trh31

Subiri jioni uone fungakazi ya majuha wawili ktk kipindi chao cha pwagu na pwaguzi ......Jahazi, mmoja anatwanga mwingine anapepeta...LOL
 
Clouds haina waandishi ina maMC njaa(Kibonde) na maDJ wa kipaimara,kitchen parties(Hando)
Wanahabari wetu: G. Hando, Babra Hassan, Gea Habib, Dina Marios, Gadna Habash, Punga Kibonde, Diva,Yvone Kamuntu, Violeth Mzindakaya, Marine Hassan, na wengineo. Ni msiba mkubwa kwenye tasnia ya Habari.
Jana Absalom Kibanda alimuuliza swali ustaadh Lipumba ndo nikaelewa nini maana ya weledi na kwa nini nakala za Tanzania Daima zinapendwa na wengi!
 
Hez a joker!! hizi Machinga complex ahh ahh eh teh teh teh ni Karumehii teh teh teh!! tutajenga nyingi tuu na kila wilaya tutajenga mbili mbili! kule......, kule......, etc!! Damn!! this guy is NOT gettin it! huh!?? Let me ask him Mr President how much and how long you spent to build and handing over the so called 1 Machinga complex??? so last 5 years umejenga Machinga Complex Rait! next 5 years! hizo zote utaziweza baba???????? yarkkk!! Wacha kudanganya wananchi! those days are gone!
 


Mmeniacha hoi kweli. Hivi nilifikiri ilikuwa live kwenye TV kumbe ni Radio?? Sasa ilikuwaje mpaka watu wanasema mbona anacheuacheua hivyo??
 
Hez a joker!! hizi Machinga complex ahh ahh eh teh teh teh ni Karumehii teh teh teh!! tutajenga nyingi tuu na kila wilaya tutajenga mbili mbili! kule......, kule......, etc!! Damn!! this guy is NOT gettin it! huh!?? Let me ask him Mr President how much and how long you spent to build and handing over the so called 1 Machinga complex??? so last 5 years umejenga Machinga Complex Rait! next 5 years! hizo zote utaziweza baba???????? yarkkk!! Wacha kudanganya wananchi! those days are gone!
Mkuu punguza hasira, rais wetu anaumwa either stress au mojo sijui??


Ninasikitika sana kwamba kwa hali inavyoenda, kama prof janabi hatakua makini JK anweza kuwa kichaa... sio kila kichaa anavuta bangi.. wengine ni kwamba wana-succumb to social pressure

Nimepata wasiwasi sana leo
 
Clouds IPI tena iliyoendesha mhojiano na mgombea wa CCM JK? Je ni kile kituo kiliyomfanyia birthday yake hivi karibuni? Kama ni hao basi wale ni watanganzaji tu sio waandishi wa habari. hamshangai kwanini CCM wamemruhusu JK aende. Si walisema hawashiriki midahalo/mahojiano kuwa wana njia zao za majukwaa!!
 
Inatisha kuona waandishi wetu wanashindwa kuuliza maswali yenye mantiki mbele ya mgombea urais. Kwa upande mmoja wanaruhusiwa kulaumiwa lakini kwa upande mwingine inawezekana walipewa mwongozo na mafisadi ili kulinda maslahi yao. Nahofu na leo kwenye mdahalo wa kikwete ITV watajazwa waandishi wa uhuru, mzalendo, daily news, habari leo, n.k ambao ni vibaraka wa CCM. inasikitisha
 
naona kama jk alipiga glasi kadha za piwa kabla ya kuingia kwenye mahojiano, maana anababaika sana katika kuongea, sijui ana matatizo huyu?

jamaa akiwa ansoma jukwaani huwa anakuwa very straight, issues hizo hizo akiulizwa na watu bila kusoma anakuwa na kigugumizi kweeeli..labda ndivyo alivyozaliwa......amenifurahisha aliposema plastic ni gesi ile na sio plastic kama mnavyodhani..pale ni gesi tupu watalaam wanaifanya nyie muione kama plastic..ahahahahaha
mi nadhani hakukuwa na ulazima wa kuongelea fani za watu..angezungumzia gesi kwa ujumloa wake bila kuingia in to those details..
 
sijui ni kwa nini wenzetu hawa hawataki kutafuta elimu. Au ni mazoea ya kuchekesha watu ktk sherehe sasa wanadhani kila sehemu ni vichekesho. Leo wametoa simu ya uongo na hiyo ndo ingewasaidia kupata maswali ya maana.

lakini pia mkuu wa clouds, lazima ajifunze kupanga watu wake. Huwezi ukampa kijana wa miaka 30 kumuhoji mkuu wa nchi wa miaka 60. Labda kama kaona rais ana tabia za umri huo.

ni jambo la kuiga tu. Waangalie wazoefu bbc, voa ili waone umri na elimu ya wanaowahoji ma-rais wa nchi.

mc anamuhoji rais juu ya mambo ya kisiasa!!!!!!!!!!!!!!

ngoja akutane na mama mwakitwange....atazimia huyu.....
 
Clouds haina waandishi ina maMC njaa(Kibonde) na maDJ wa kipaimara,kitchen parties(Hando)

Sitegemei swali la msingi lolote kutoka clouds,, ukizingatia wanampapatikia kwa kuwapa vimiradi vidogovidogo kupitia kwa riz1:A S-baby:
 
Tatizo kubwa lenu CHADEMA hapa JF ni kwamba mnavuruga kwa makusudi mijadala ya wagombea wengine, kuanzia Prof. Lipumba jana na leo JK.

Acheni wanaotaka kupashwa habari wapate na kisha ndio tujadiliane na kuchambua.

Mnachofanya sasa ni kuwanyima Watanzania wenzenu uwezo wa kujua viongozi wengine wanasema nini.

Mnajifanya mnamsaidia Dr. Slaa ila ukweli ni kwamba mnaudhi watu wengi ambao ni neutral na matokeo yake watamnyima huyo Dr. Slaa wenu.

Demokrasia mnayoililia inahitaji uvumilivu na kusikia hoja za pande zote na wala sio matusi tu kila saa.
 
Hao jamani si waandishi ni kama safari ni safari alivyo coment hao ni ma MC na DJ wa vipaimara hawana elimu ya kutosha kufanya interview na mkuu wa kaya pia wameambiwa waulize nini, mwandishi wa kweli asingeambiwa cha kuuliza angekwenda na maswali yake
 
Tatizo kubwa lenu CHADEMA hapa JF ni kwamba mnavuruga kwa makusudi mijadala ya wagombea wengine, kuanzia Prof. Lipumba jana na leo JK.

Acheni wanaotaka kupashwa habari wapate na kisha ndio tujadiliane na kuchambua.

Mnachofanya sasa ni kuwanyima Watanzania wenzenu uwezo wa kujua viongozi wengine wanasema nini.

Mnajifanya mnamsaidia Dr. Slaa ila ukweli ni kwamba mnaudhi watu wengi ambao ni neutral na matokeo yake watamnyima huyo Dr. Slaa wenu.

Demokrasia mnayoililia inahitaji uvumilivu na kusikia hoja za pande zote na wala sio matusi tu kila saa.

Huu ni upuuzi, wewe lete hoja si kulalamikalalamika tuu! You guy is a joke period!
 


Mkuu

Ntawezaje kuwa mpole huku Rais wangu huyo anayoyaongea ni kama vile huwa hawana watu wa mipango miji na mgawanyo wa Funds huko mikoani jamani ukiangalia rasilimali nyingi za Taifa zatokea Kanda ya ziwa ambako huko ndiko kulitakiwa kuwe baraaaa kupita mikoa mingine ukicheki Shinyanga utalia, nenda Kahama ndio usiseme, Rudi Nyamongo - Tarime wacha bwana maendeleo ni zero tuu neda Arusha nako ndiko kila siku kukicha leo wanaambiwa JIJI mara kesho wanaambiwa vigezo havijitoshelezi sasa ni nini seriklai imejipanga,

Serikali inapo kuza maendeleo inatakiwa ijipange na kuangali future ya wananchi na vizazi vilivyopo na vijavyo itakuwaje. na ndio maana nikasema au kushauri sera ya Majimbo irudi muone kama Dar watu watakaaa watu wote utawaona Arusha au Mwanza


Jamaa hamna kitu yule, tumhurumie tu ila kura hatumpi.
 
Nimesikiliza katoa ujumbe mzuri tu uchaguzi wa haki na uhuru ndio anachokitegemea....uchaguzi mwema jumapili jamani msikae kwenye forum mkajisahaau kwenda kituoni..
 
Back
Top Bottom