Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

Du huyu jamaa huwa inakuwaje akikaa na akina Obama!
 
Achaneni na kilaza jamani...Ni mtapeli huyu!


Yaani baada ya kumsikiliza leo nasikia uchungu sana kwamba ilikuwaje akapata urahisi 2005. Hawezi kueleza kitu chochote chenye mantiki na mvuto. Huwa anaongeaje na marais wenzake anapokwenda nje ya nchi? si ametutia aibu miaka yote hiyo mitano aliyokuwa anasafiri hovyo hovyo?
 
clouds wana mtindo mmoja, wakiwa wanamhoji mtu wao. Wanatunga msg na kisha kuzisoma. Hata hizo za leo ni mtindo huo huo.
 
Du huyu jamaa huwa inakuwaje akikaa na akina Obama!
hahaha yuu noo obama hahaha owa kentri haha izi veri pua pipo ara noti no skuli hahaha aha ha puuuliizi hehehe teki machi hahaha konsidaresheni teteh teeh yuu noo hihihi wora amu tokini..
 
Can anything good come from JK at this time of frustrations
 
yaani waandishi wetu wanashindwa kuuliza maswali ya msingi,rushwa,ufisadi,wanauliza mambo ya barabara za dar,mambo ya kumuliza diwani,nimeuzunika sana.

kama unaona uandishi ni mzuri na una maswali mengi mwanaharakati wewe ungeingia kwenye uandishi au mgemtuma mnaye mwamini akaulize hayo maswali mnayoyataka loooooh
 
kwa sababu ya kumlamba viatu walipangiwa maswali ya kumuuliza ili asije tapatapa
 
Nahakikisha jumapili nammaliza huyu juma kilaza asirudi tena ofisini
 



You have spoken well ndugu yangu. Umekula senksi!

Wahenga walisema - A toad does not jump in broad daylight for nothing
 
Clouds wamemuharibia sana JK wameuliza maswali ambayo hayakuwa yanachallenge maeneo ambayo wananchi hawaridhiki kwa namna hiyo akaonekana anaimba ngonjera tuu,wananchi wamemsusia hakuna simu illiita kuuliza swali na hata watangazaji maswali yale ya mwisho hawakusema yameulizwa na wasikilizaji tafsiri yabgu ni kuwa wanachi hawakumuona ana jipya
 
He's not even specific eti tumefanya lile, na lile na lile what a f..k!
 
Wajameni,

Nilikua sijamsikiliza Kikwete kwenye kampeni leo nikasema ngoja nibuy time nimsikilize. Jamaaa ni mweupe hakuna mfano. Hata hayo machache aliyofanya kashindwa kuyaelezea pamoja na kuulizwa guided questions. Sijaona cha kuvutia kutoka kwake hata kidogo. sioni kwa nini TV na Radio leo jioni kupoteza Valuable time kuendesha mahojiono kwenye vyombo hivyo wakati hana jipya la kutuelezea. Nasema ni bora hata zile hotuba zake za mwezi walau alikua anagusia jambo liliotokea mwezi huo.

Nenda kapumzike kaka yetu, umechoka saaana, umesahau watu wako, umeisahau nchi yako, umeshau wapiga kura wako, hata kule kwako kiwangwa, chalinze, yombo, Ubena, fukayosi, bagamoyo, vigwaza wamekuchoka, hivyo kwa nini usiende ukajipange tena uje 2015? kwa sababu hujamaliza 10 years unaweza kuja kugombea tena 2015, Pumzika kwa sasa mpatie Dr. Slaa,

Hakuna mtu anaheshimika kama kiongozi anayesikia na kutenda yale anaowangoza wanataka.
Hatutaki ufisadi hujasema utalishughulikia vipi,maradhi hatuoni jinsi gani ushugulikia
Elimu hatuoni...... nk

Nenda kapumzike ukipata nguvu za kutosha kuja kuwatumikia kwa kasi na nguvu mpya kama ulivyosema
njoo uje utuombe ridhaa tena tunaweza kukufikiria vinginevyo kapumzike ulee familia yako vema.
Sisi wananchi tutakuenzi kwa kukuita Rais mstaafu nenda kapumzike.

Unatumia rasimali za nchi vibaya na sasa hadi vyombo vya habari unavitumia vibaya
kwa sababu umeshindwa kutimiza wajibu wako sasa unatumia vyombo vya habari kuwafanya watu
waamini umefanya mengi, kweli umefanya mengi (ufisadi na mengine) lakini sio hayo tunayoyataka sisi.

tunataka maendeleo ya nchi pamoja na mtu mmoja moja, umeshindwa kutimiza hilo watanzania tunasema
tunashukuru kwa kutupotezea muda hivyo nenda kapumzike mstaafu wetu tuko tayari tuingie hasara ya kukulipa10million kila mwezi pension lakini ukapumzike kuliko kututia hasara ya mabilion ukiendelea kuwa rais. Tunasema nenda kapumzike
 
tapeli ni tapeli tu hata kama kavaa kanzu ama suti heeheeee mwogopeni huyo jamaa
 
Hana jipya huyo msanii tu, kwelia ameamua kuiga kila kitu anachokifanya dr wa ukweli, si aige mbinu za kupambana na ufisadi. Oh sorry kumbe muda wake wa uongozi ndo umefikia mwisho!
Mhhhh!!! hata kuiba mke wa mtu ameweza kuiga???
 
Unauliza majibu?.Kama anaweza sema hajui kwa nini waTz ni maskini unategemea nini?
Ameshindwa kutumia bongo ya kuzaliwa tu.Huwezi kusimama jukwaani na mwizi uliyempeleka mahabusu na kusema ni mtu safi alafu akiwa yuko mbali wewe unasema na mshughulikia/nitamfunga huu ni zaidi ya sanaa au uhalifu uliopitiliza kiwango.
 

TATIZO la JK ana uwezo mdogo sana wa kufikiri , yaani IQ yake ni ndogo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…