Wana JF,
JK ameelezea swala la miundombinu Dar na ukiangalia kweli serikali itaimarisha miundombinu kataka hilo Jiji, which Means DAR-ES-SALAAM ndio TANZANIA tuuuu basi, Kwahiyo Mikoa mingine yote haiitaji Miundombinu kuboreshwaa?
Katika Ilani ya CCM serikali iliposwa kuhamia DODOMA mpaka leo hakuna dalili hiyo kutokana na maelezo yake ya hiyo miundombinu itakayo tekelezeka DAR pekeyake.
Machinga Copmlex utazijenda wilaya zote za DAR je Mikoa mingine watasubili kwanza mpaka za DAR ziishe ndio wahamie Mwanza au zote zitakuwa zikijengwa kwa wakati huo huo katka baadhi ya mikoa mikubwa kwanza?
Kwa hali hiyo sidhani kama watu wataendelea kukaa huko Lindi/Kigoma/Tabora/ Sumbawanga kwani mikoa mingine itabaki nyuma sana kimaendeleo ni bora Nchi igawanywe kwenye Majimbo
Leo ndio siku aliyoisema Yahaya. Nasikia miziki laini tu
Nimeipenda 2saidie ht huku shy wapo maci4ngaWana JF,
JK ameelezea swala la miundombinu Dar na ukiangalia kweli serikali itaimarisha miundombinu kataka hilo Jiji, which Means DAR-ES-SALAAM ndio TANZANIA tuuuu basi, Kwahiyo Mikoa mingine yote haiitaji Miundombinu kuboreshwaa?
Katika Ilani ya CCM serikali iliposwa kuhamia DODOMA mpaka leo hakuna dalili hiyo kutokana na maelezo yake ya hiyo miundombinu itakayo tekelezeka DAR pekeyake.
Machinga Copmlex utazijenda wilaya zote za DAR je Mikoa mingine watasubili kwanza mpaka za DAR ziishe ndio wahamie Mwanza au zote zitakuwa zikijengwa kwa wakati huo huo katka baadhi ya mikoa mikubwa kwanza?
Kwa hali hiyo sidhani kama watu wataendelea kukaa huko Lindi/Kigoma/Tabora/ Sumbawanga kwani mikoa mingine itabaki nyuma sana kimaendeleo ni bora Nchi igawanywe kwenye Majimbo
Gonga link hiyo hapo juu umsikilize JK na sera zake leo Clouds FM
Jamani tupakulieni kidogo mliosikiliza
bwahahahhahaJamani kumbe vyoo vile vya mabilioni kuna maabara?!! Maana JK si amejibu? Kwamba wapinzani hawajui ki2
It is very likely maana huyu jmaa hana utamaduni wa kuembrace free and open discussion! kwa kifupi ni mwoga kuliko kawaida!