GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Umenena vyema kabisaJpm alikuwa siyo rafiki wa kikwete
Mnaota.Kikwete ameumia mwenzake kufa.
Hivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?Jpm alikuwa siyo rafiki wa kikwete
Hata Idd Amin Dada alikuwa na marafiki itakuwa JPM kwa lipi akose rafiki?Hivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.Hata Idd Amin Dada alikuwa na marafiki itakuwa JPM kwa lipi akose rafiki?
Bwana wa mabwana ainuliwe yakheeHivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
Lazima ligeukeGwaride afande akisema nyumazzz geuka
Ila za JPM ni zaukweli?Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Wa mbele anakuwa nyumaLazima ligeuke
Swali zuri.Kikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.