Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Kabla ya hiyo 1990's jamaa walikuwa marafiki tayari.Urafiki haulazimishwi Membe amekuwa bestfriend wa Kikwete toka 1990's.
Magufuli hakuwa rafiki yake Kikwete alikuwa mwanasiasa mwenzake tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya hiyo 1990's jamaa walikuwa marafiki tayari.Urafiki haulazimishwi Membe amekuwa bestfriend wa Kikwete toka 1990's.
Magufuli hakuwa rafiki yake Kikwete alikuwa mwanasiasa mwenzake tu
Duuuh! Ngoja nimuulize MusibaHivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
Kwa sababu ali slim mara ya mwisho au sio?Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Una uhakika kwamba alibadili dini? au na wewe unakurupuka na story za vijiweni kwenye kahawa?Kwa sababu ali slim mara ya mwisho au sio?
Udini utakuua wewe mwanamke.
Lakini hii kauli itawatafuna watu miaka nenda rudiWazuri hawafi
ooooh "Kifo hakina mwenye"!??Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Mnapenda kushadadia ujinga tu, Nyerere hajakufa mpaka leo ingali anaishi.Lakini hii kauli itawatafuna watu miaka nenda rudi
Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.ooooh "Kifo hakina mwenye"!??
Nilikua sijui hili, nilifikiri "Watu wazuri hawafi".
Hiyo kauli lengo lilikuwa kukejeli mkuu usimtetee Makamba, angalia mtiririko wa hotubaMnapenda kushadadia ujinga tu, Nyerere hajakufa mpaka leo ingali anaishi.
Ukiamuwa kujitowa akili ni maamuzi yako mwenyewe.
Magufuli alikuwa anatimiza ilani ya Ccm, soma kwanza ilani inasema nini ndio uje kukakita mauno hapa.Msilolijua ni moja tu. Magufuli alikuwa anatumikia kusudi la Mungu.
Hivi Nikuulize kwa Bunge hili la Tanzania Kuna siku litafanya maamuzi ya kuliletea maendeleo Taifa?
Kuna siku litatengeneza sheria yenye maslahi ya wananchi bila wao kufikiri maslahi yao kwanza?
Msijidangane baada ya Magufuli na miradi yake kukamilika Hakuna atakayekuja na wazo jipya
Hayupo Sio CCM wa CHADEMA.
CCM wanawaza kuuana tu mtu akipita mbele ya maslahi yake.
Wewe mwenyewe umeona Membe ameondolewa mapema asije akamsumbua Mama kesho kutwa.
Mwenye ufahamu anaelewa
Hizi ni karata za awali zinachezwa
Wazee wa kubadili gia angani mnahamisha tu magoli. Huyo babu yako alipotamka alikuwa kwenye muktadha gani au wewe peke yako ndo ulimwelewa??? Wazuri hawafi bwanaaa Acha kupaparika hapa.Mnapenda kushadadia ujinga tu, Nyerere hajakufa mpaka leo ingali anaishi.
Ukiamuwa kujitowa akili ni maamuzi yako mwenyewe.
Hivi mtu anawezaje kuwa na urafiki na bwana yule?
Hata wewe ukiwa na "mwenzako" yako wa karibu akifa utaumia.Kikwete ameumia mwenzake kufa.
Unaota.How can a dishonest, criminal, amoral and a vice-ridden person of Kikwete’s standing befriend a virtuous, orderly and principled person?
Don't you know birds of the same color fly together?
Mimi sipo hapa kumtetea yeyote sijawahi kufanya ujinga huo, Makamba ni upuuzi tu kama wapuuzi wengine, ila kumbuka Makamba ni msomi mzuri wa Biblia na anaijuwa vizuri na hayo yamo ndani ya Biblia.Hiyo kauli lengo lilikuwa kukejeli mkuu usimtetee Makamba, angalia mtiririko wa hotuba
Matola anajifanyaga gaidi sanaWazee wa kubadili gia angani mnahamisha tu magoli. Huyo babu yako alipotamka alikuwa kwenye muktadha gani au wewe peke yako ndo ulimwelewa??? Wazuri hawafi bwanaaa Acha kupaparika hapa.
Sasa ilikuwaje Rais Samia na mwenyekiti wa CCM taifa, alikiri statement ya Makamba Snr haikuwa sahihi? angeishia kwenye statement ya kuwa watu wazuri hawafi, ingemaanisha ulichokisema. Lakini alienda mbele na kusema "ndio maana JK yuko hapa anadunda na kuwataja watu kadhaa walio hai"Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Acha porojo, mimi sio team Magufuli, kilichonisikitisha ni huyo mzee Makamba kukosa haya, kujikomba kwa Samia kuwa wazuri hawafi akimaanisha Magufuli kafa kwasababu alikuwa ni mbaya.Mimi zipo hapa kumtetea yeyote sijawahi kufanya ujinga huo, Makamba ni upuuzi tu kama wapuuzi wengine, ila kumbuka Makamba ni msomi mzuri wa Biblia anajuwa vizuri na yamo ndani ya Biblia.
Na wewe kama unaamini Magufuli alikuwa mzuri basi hawezi kufa ataendelea kuishi.