Unazeeka vibaya. Wazee mnatakiwa kuwafundisha jamii busara!Punguani wahed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazeeka vibaya. Wazee mnatakiwa kuwafundisha jamii busara!Punguani wahed.
Aah inauma eeh?Punguani mwenyewe mzee usiye na adabu hadi uzeeni
Hujajifunza kitu?Unazeeka vibaya. Wazee mnatakiwa kuwafundisha jamii busara!
Hivi nyie wafuasi na chawa wa Magufuli mnaamini adui wa Jiwe alikuwa Membe , kwanini ?Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Alimsaidia kuficha aibu ya kumfia chama 2015 kama sio magu ccm ilikuwa haibebekiKikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Usinambie kuwa sasa hivi ni Rais wa malaika.Bwana wa mabwana ainuliwe yakhee
Kila mtu atimize ndoto zakeUsinambie kuwa sasa hivi ni Rais wa malaika.
Thubutu, cheza na Kikwete wewe.Alimsaidia kuficha aibu ya kumfia chama 2015 kama sio magu ccm ilikuwa haibebeki
Huko hakuna ndoto, ni reality tu. Ndoto zinaishia hapahapa kwenye uhai.Kila mtu atimize ndoto zake
Kila mtu anacheza kwa step zake, kuna wa bara kakuklia ugali wa mtama na kuna wa pwani kazoea biriani.....Thubutu, cheza na Kikwete wewe.
Uliiona ccm ina uhai wakati wa Mwendazake? Au tuliiona demokrasia ikiminywa?
Usililojuwa ni usiku wa kiza.
Kumbe upoKikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Ndo reality hio inakuja. ST. Magufuli kafufukaHuko hakuna ndoto, ni reality tu. Ndoto zinaishia hapahapa kwenye uhai.
Kwanza elewa hizi page zinaendeshwa na wasaidi wao, Pili ratiba ya mazishi imeshatoka, wazee wa Lindi wana jambo lao, tutegemee nini baada ya VAR ya wazee? Tukae kitako kwa kutulia.Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Umemaliza kusoma sekondari?Ndo reality hio inakuja. ST. Magufuli kafufuka
Mie bado vidudu na nzi wakeUmemaliza kusoma sekondari?
Hao walikua pamoja muda mrefu kazini,Kikwete ameumia mwenzake kufa.
Sikushangai.Mie bado vidudu na nzi wake
Siku hizi labda tukashangae tu jua feki china maana hamna jipyaSikushangai.
Bora umenena, watu wanakurupuka sana katika mambo wasiyoyajua. Moja ya janga kubwa sana kwenye jamii yetu ya sasa ni watu kupenda "Attention" kupitiliza.Kikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Kama royo tuaBora umenena, watu wanakurupuka sana katika mambo wasiyoyajua. Moja ya janga kubwa sana kwenye jamii yetu ya sasa ni watu kupenda "Attention" kupitiliza.