Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.

Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.

Lugha zina utamu wake.
Nimekuelewa vzr mkuu! Uko sahihi
 
Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Angekuwa mwema asingekata vichwa vya binadamu wenziwe na kuvitia katika jokofu. Yule mama wa kiizrael( 90 minutes at Entebe Mary, Kichwa cha rpc wa west lake region " kagera Afande Pope 1971)
Unakumbuka aliwafurusha Waasia?
Nimekukumbusha kwa uchache sana.
 
Mwaka 2015 , JK alitamani sana huyu ndugu yake awe Rais, akafanikiwa kumpitisha 5 bora huku Lowasa akiachwa kwa kigezo kwamba anaumwa.

Sheria ya uchaguzi ccm baada ya 5 bora mnachagua 3 bora na kila member lazima ajaze majina 3.

Tatizo likajitomeza timu lowasa walikua zaidi ya 2/ 3 ya mkutano na wakakubaliana kila timu lowasa ajaze Magufuli, Amina, na Rose na kuwatema Makamba na Membe ambao waliishia kupata kura za watu wao tuu.

Jk ilimuuma sana sema ki utu uzima akakubali kwamba Lowasa kashida pamoja na kukatwa.

Kwenye tatu bora timu lowasa wakakubaliana kumchagua Amina ili wakienda ili ccm wapate mgombea dhaifu na wao wakienda chadema iwe mteremko kushinda, bahati mbaya bundi wa kina mzew mangula akashtukia, ikabidi wasimamishe kutangaza matokeo hadi asububi wapate muda wakupindua meza..

Inasmekana aliyeshinda alikua ni amina ikabidi wapindue meza na kumpa magufuli ili kuipa ccm nguvu kwa wananchi..

Kwa tafsiri moj kama haya ni kweli basi Magufuli hakuwahi kushinda uchaguzi kwenye michakato ya urais hadi kifo chake ..


Timu JK poleni sana..
 
..Kikwete hakumuelezea kwa kirefu Mkapa.

..Na hakumuelezea kwa kirefu Magufuli.
Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo nchini kwa sasa ni KIKWETE.

Huyu ndio shida kubwa na chanzo cha ufisadi na kushindikana kuwajibishwa mafisadi. Wizara zote CAG alizotaja kuhusika na ufisadi wa kutisha ni vijana wa Kikwete aliyeiteka CCM na mtandao wake wa uhalifu.
 
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.

Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.

Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.

Magufuli ni nani kila mtu amuelezee, Sabaya alimlilia hiyo inatosha. Huyo JK ana watu wake anaowakubali na waliokuwa na ukaribu naye na sio huyo jamaa yako.
 
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.

Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.

Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Dhambi imeanza kuwala taratibu wahusika
 
Urafiki haulazimishwi Membe amekuwa bestfriend wa Kikwete toka 1990's.

Magufuli hakuwa rafiki yake Kikwete alikuwa mwanasiasa mwenzake tu
M2 na mdg wake sio marafiki jamaa alikuwa moslem akabadili din km kipara anavotaka kufanya
 
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.

Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.

Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Yaani mtu atumie akili yake kumuandika kichaa jiwe?
Nae atakua kakosa akili.
 
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.

Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.

Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Wewe mbona umeandika Aya mbili tu
 
Back
Top Bottom