Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani unastahili kuwa hapa JF.Kikwete ameumia mwenzake kufa.
Kwa sababu alikuwa muislamu 🤣🤣Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Leo ndio umeyajua hayo ? Mbona yule mzee aliposema wazuri hawafi hukusema kitu ?Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Kwa hiyo wewe ndio unahekima? Duuh tema mate chini 🤣🤣🤣Mleta mada, nadhani kuna mahali kumeyumba. Tuzidi kumwomba Mungu JF ijae zaidi wenye hekima.
Sasa kwani ameandika uongo?Sidhani unastahili kuwa hapa JF.
Wahi hospitali. Utukane, ufurahie, ushangilie, wala haitabadilisha chochote.Mlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo[emoji23][emoji23]
Kwani hili Bunge bandia ni nani alilitengeneza?Msilolijua ni moja tu. Magufuli alikuwa anatumikia kusudi la Mungu.
Hivi Nikuulize kwa Bunge hili la Tanzania Kuna siku litafanya maamuzi ya kuliletea maendeleo Taifa?
Kuna siku litatengeneza sheria yenye maslahi ya wananchi bila wao kufikiri maslahi yao kwanza?
Msijidangane baada ya Magufuli na miradi yake kukamilika Hakuna atakayekuja na wazo jipya
Hayupo Sio CCM wa CHADEMA.
CCM wanawaza kuuana tu mtu akipita mbele ya maslahi yake.
Wewe mwenyewe umeona Membe ameondolewa mapema asije akamsumbua Mama kesho kutwa.
Mwenye ufahamu anaelewa
Hizi ni karata za awali zinachezwa
Aniaminiye japo akifa, anaishi milele.Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Kama Makamba alimaanisha kifo cha mwili, basi atakuwa aliropoka kiasi cha kupuuzwa. Ni sawa mtu akuambie kuwa watu wazuri hawazaliwi, wanazuka tu. Utajua kuwa ni upuuzi.Sasa ilikuwaje Rais Samia na mwenyekiti wa CCM taifa, alikiri statement ya Makamba Snr haikuwa sahihi? angeishia kwenye statement ya kuwa watu wazuri hawafi, ingemaanisha ulichokisema. Lakini alienda mbele na kusema "ndio maana JK yuko hapa anadunda na kuwataja watu kadhaa walio hai"
Nilifikiri wewe upo vizuri upstairs, kumbe na wewe ni hamna kitu. statement rahisi hivi unashindwa kui analyze, ama unafikiri mimi ni mmoja wa maboya unaobishana nao huku kila uchwao?
By Senior MakambaWazuri hawafi
Kuna watu, yale yaliyopo katika vicjwa na mioyo yao, huyafanya kuwa ya watu wote.Ona mawazo ya mtu duni kama huyu utadiscuss naye nini?
Mtu duni anawaza uchi, stupid kabisa.
Ila wewe huwa ni chizi sana na kamaKama Makamba alimaanisha kifo cha mwili, basi atakuwa aliropoka kiasi cha kupuuzwa. Ni sawa mtu akuambie kuwa watu wazuri hawazaliwi, wanazuka tu. Utajua kuwa ni upuuzi.
Kauli hiyo ingeweza kuwa na uzito kama kweli kunngekuwa na watu ambao hawafi. Hapo ndiyo tungeweza kujadili kama hawa ambao miili yao haifi ni kwa sababu ni watu wema sana au kuna sababu nyingine.
Kwahiyo Lowasa na Membe ni waislamu?Kisa ni mkristu ndio hawezi kuwa na marafiki
Punguza udini wewe bibi mchawi
Kwanza si mnamsiba nyie nendeni mkaomboleze fisadi lenzenu limekufaKwahiyo Lowasa na Membe ni waislamu?
Hata kama Faiza Foxy ni mdini kwa yuko sahihi na namuunga mkono.
Mimi ni Mkatoliki kama Magufuli lakini namchukulia ni kama next to Lucifer.
Si alikuwa mwenezi wa Afrika mashariki wa ile dini ya Mungu mwenye mguu mmoja, jicho Moja na mikono miwili ya kulia, akidanganywa na jinga Moja lililokuwa linalipia wanaume mahari ?Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Ninyi wenye akili kibaba hakuna mnachojua zaidi ya kutukana.Ila wewe huwa ni chizi sana na kama
Familia yako imekula asala kuwa na mtu tahira kama wewe
Faiza ulikaa Kampala miaka ya 1970,s wakati alhaji Amin yupo madarakani????? Au unaleta ushabiki wa kinasaba za kiimani ???¿?Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.