Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Ha ha hahaha! Nachoweza kusema tu nj kuwa watanzania wajjnga sana; wapumbavu.....mbururaz
 
Mlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo[emoji23][emoji23]
Wahi hospitali. Utukane, ufurahie, ushangilie, wala haitabadilisha chochote.

Magufuli, Membe, Mkapa na ndugu zetu wengi tunaowasindikiza kila siku, wamemaliza safari yao ya hapa Duniani. Kila mmoja jina lake litaendelea kunenwa kwa yale waliyoyaishi wakati wa uhai wao.

Kama ulikiwa muuaji, mwizi, mporaji, mcheshi, katili, mwema, mpole, mpatanishi, mwenye hekima, kichaa, au mengine yoyote, kwayo jina lako litanenwa.
 
Msilolijua ni moja tu. Magufuli alikuwa anatumikia kusudi la Mungu.
Hivi Nikuulize kwa Bunge hili la Tanzania Kuna siku litafanya maamuzi ya kuliletea maendeleo Taifa?
Kuna siku litatengeneza sheria yenye maslahi ya wananchi bila wao kufikiri maslahi yao kwanza?

Msijidangane baada ya Magufuli na miradi yake kukamilika Hakuna atakayekuja na wazo jipya
Hayupo Sio CCM wa CHADEMA.

CCM wanawaza kuuana tu mtu akipita mbele ya maslahi yake.
Wewe mwenyewe umeona Membe ameondolewa mapema asije akamsumbua Mama kesho kutwa.

Mwenye ufahamu anaelewa
Hizi ni karata za awali zinachezwa
Kwani hili Bunge bandia ni nani alilitengeneza?
 
Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.

Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.

Lugha zina utamu wake.
Aniaminiye japo akifa, anaishi milele.
 
Sasa ilikuwaje Rais Samia na mwenyekiti wa CCM taifa, alikiri statement ya Makamba Snr haikuwa sahihi? angeishia kwenye statement ya kuwa watu wazuri hawafi, ingemaanisha ulichokisema. Lakini alienda mbele na kusema "ndio maana JK yuko hapa anadunda na kuwataja watu kadhaa walio hai"

Nilifikiri wewe upo vizuri upstairs, kumbe na wewe ni hamna kitu. statement rahisi hivi unashindwa kui analyze, ama unafikiri mimi ni mmoja wa maboya unaobishana nao huku kila uchwao?
Kama Makamba alimaanisha kifo cha mwili, basi atakuwa aliropoka kiasi cha kupuuzwa. Ni sawa mtu akuambie kuwa watu wazuri hawazaliwi, wanazuka tu. Utajua kuwa ni upuuzi.

Kauli hiyo ingeweza kuwa na uzito kama kweli kunngekuwa na watu ambao hawafi. Hapo ndiyo tungeweza kujadili kama hawa ambao miili yao haifi ni kwa sababu ni watu wema sana au kuna sababu nyingine.
 
Ona mawazo ya mtu duni kama huyu utadiscuss naye nini?

Mtu duni anawaza uchi, stupid kabisa.
Kuna watu, yale yaliyopo katika vicjwa na mioyo yao, huyafanya kuwa ya watu wote.

Watu wenye akili ndogo huwaza ngono maana huko hakuhitaji akili, ndiyo maana hata konokono, licha ya kutokuwa na ubongo, wanajamihiana, kwa sababu tendo hilo halihitaji akili.
 
Kama Makamba alimaanisha kifo cha mwili, basi atakuwa aliropoka kiasi cha kupuuzwa. Ni sawa mtu akuambie kuwa watu wazuri hawazaliwi, wanazuka tu. Utajua kuwa ni upuuzi.

Kauli hiyo ingeweza kuwa na uzito kama kweli kunngekuwa na watu ambao hawafi. Hapo ndiyo tungeweza kujadili kama hawa ambao miili yao haifi ni kwa sababu ni watu wema sana au kuna sababu nyingine.
Ila wewe huwa ni chizi sana na kama
Familia yako imekula asala kuwa na mtu tahira kama wewe
 
Kisa ni mkristu ndio hawezi kuwa na marafiki
Punguza udini wewe bibi mchawi
Kwahiyo Lowasa na Membe ni waislamu?

Hata kama Faiza Foxy ni mdini kwa yuko sahihi na namuunga mkono.

Mimi ni Mkatoliki kama Magufuli lakini namchukulia ni kama next to Lucifer.
 
Kwahiyo Lowasa na Membe ni waislamu?

Hata kama Faiza Foxy ni mdini kwa yuko sahihi na namuunga mkono.

Mimi ni Mkatoliki kama Magufuli lakini namchukulia ni kama next to Lucifer.
Kwanza si mnamsiba nyie nendeni mkaomboleze fisadi lenzenu limekufa
 
Ila wewe huwa ni chizi sana na kama
Familia yako imekula asala kuwa na mtu tahira kama wewe
Ninyi wenye akili kibaba hakuna mnachojua zaidi ya kutukana.

Mtu unashindwa hata kuandika sentensi 2 kwa Kiswahili halafu bado unaona una uwezo hata wa kutoa hoja!! Bahati mbaya Elimu ya watu wazima imefutwa siku hizi, lakini unaweza kuwatafuta hata watoto wa darasa la pili, watakufundisha kuandika, kuhesabu na kusoma vizuri. Wapo watoto wa darasa la pili wengi wenye uwezo mzuri zaidi ya wa kwako katika kuandika, na huenda hata katika kufikiri.
 
Back
Top Bottom