Una uhakika urais wa JPM ulihidhinishwa na JK?Unapaswa kushangaa kwamba JPM hakuwa rafiki wa JK lakini JK alimpa u waziri na baadaye kuruhusu hata awe rais! Kama Kikwete ana chuki na JPM basi kosa ni la JPM sio la JK. Unaelewa?
Amin Dada alikua bonge la mtu poa sana sema alichafuliwa tu na vyombo vya habari na ile ninyi kukarilishwa nyimbo za mchaka mchaka kumpondaHata Idd Amin Dada alikuwa na marafiki itakuwa JPM kwa lipi akose rafiki?
Pole jwa kuondokewa na rafiki yako.Alikua rafiki yangu kinomanoma
Nilitumia nguvu kubwa mno kumshawish aachane na uvaaj wa kisukuma avae kidaresalama
Anamkataa magufuli kwa sababu ni JOHN na anamkubali AMIN kwa sababu ni IDDSi kuelewi ustadhat, unamkubali idd Amin unamktaa magufuli, seriously?
CCM na demokrasia wapi na wapiThubutu, cheza na Kikwete wewe.
Uliiona ccm ina uhai wakati wa Mwendazake? Au tuliiona demokrasia ikiminywa?
Usililojuwa ni usiku wa kiza.
Yusuf Makamba ataijutia sana kauli yake ya KUFURU!
Miaka mingi ilani za ccm mwandishi mkuu alikuwa Kingunge Ngombale Mwiru.Magufuli alikuwa anatimiza ilani ya Ccm, soma kwanza ilani inasema nini ndio uje kukakita mauno hapa.
Mgombea Urais anapoomba kura anashika ilani na kuahidi kutekeleza mazuri yaliyopo ndani ya ilani, na katika waandishi wa ilani ya Ccm yupo pia Mzee Wasira, msingoje afe ndio muelezwe msiyoyajuwa.
Huyo kiwete mwenyewe anakufa lini? Tunasubiri kwa hamu sana
Two Three to go.
Nashukuru kwa maoni yako, haya nijibu sasa anakufa lini Kiwete? Tunasubiri hilo shangweIla nyie naona kama mnazidi saingine aisee?!
Kweli unaweza kuwaza na kuandika hayo? [emoji848]
Huu Uhuru unataka kuvuka mipaka sasa halafu mko ingilia kati mnasema hakuna demokrasia?
Amekusea nini wewe binafsi bana wa watu?
Nyie tumuogope Mwenyezi Mungu.!
Hiyo ni wazi. Kikwete alikuwa peace sema jamaa ndo alikuwa mshamba, anataka kila mtu amwabudu.Jpm alikuwa siyo rafiki wa kikwete
😁😁Wema hawafi my wife
We jamaa akili mbovu, hivi kwa akili yako unaona CCM inaweza kutoka, hata likiwekwa jiwe linashindaAlimsaidia kuficha aibu ya kumfia chama 2015 kama sio magu ccm ilikuwa haibebeki
Hajui kesho yake,amezoea kukenua kinywa,ngoja tuone kwenye huu msiba kama atakenua kinywa kama alivyofanya kwa mzee Nkapa
Bado yule anajifanya ataki kuitwa mstaafuTulilijuwa alipoondoka janga yule.
Tego warithi hukimbiaAah porojo za alinacha.
Membe anao warithi wake, hilo ni deni ambalo msiba anatakiwa alilipe.
Muda mwalimu yeye aendelee kukenua tu, binocular visionYale ni majaliwa yake, ndivyo alivyo hawezi kununa Na kukunja ndita kama IGP fulani wa zamani!
Tena ana bahati na ndio maana hazeheki na kuchoka.
Kisaikolojia ukiweza kutabasamu na kucheka muda wote hata afya yako inakuwa njema muda wote.
Mueleweni tu wala si kwa ubaya .
Mimi ningejaliwa karama ya JK ya kutabasamu na kucheka muda mwingi ningeshukuru sana!
Have you taken into account the context in which Mzee Makamba uttered those words? Context matters in order to get the right interpretation.Ni kweli wazuri hawafi kwa maana ya wema hawafi.
Mtu ukiwa mwema siku zote watu watakumbuka mema yako na duniani imani nyingi zinahimiza watu kuwa wema ili iwe akiba kwao huko waendako na hapa duniani.
Watu wameshasahau ule msemo wa "Wema hauozi"?
Asante kwa ufafanuzi mzuri.